Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,955
- 8,120
Mamlaka za maji mmezisahau huko kuna hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balaa. Omba kazi fastaWadau vipi hii Taasisi ya WCF hao wanalipaje? Posho zao na mshahara
Mkuu bado sijui kuhusu hiliEti ni kweli mkuu asali imejaa hadi inamwagika NOAT?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe, kuna Senior mmoja yupo MWAUWASA tangu miaka ya late 1990 tena alikuwa Technician, yuko njema sana na kashawekeza kitamboMamlaka za maji mmezisahau huko kuna hela
Kale Asali mkuuKiongozi etyy training za tra ngazi za Officer wanalipaje?
Na viposho poshoo
Pakawaida sana. TGS D. Agro Officer NAOT, ila anadai posho za kutoshaEti ni kweli mkuu asali imejaa hadi inamwagika NOAT?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Jamani POSTA salary zao zipoje kwa ngazi ya digrii...TPCSS 4 ni kiasi gani na je posho zipo au ndio kwangu pakavu tia mchuzi....wenye marafiki au ndugu huko nipeni detailsMsife moyo wapambanaji weekend hii PT wanatoa pdf mungu ni mwema mtaondoka tuu kwenda ccp..
Mkuu
Mkuu mimi Niko sensitive sana na mshahara, kazi yangu ya kwanza nilikua nalipwa laki nane na nusu take home, huku nimepewa nyumba, gharama za umeme plus maji lakini nilifanya kazi mwaka mmoja tu nikaandika barua ya kuacha kazi nikaomba kazi mahali pengine
Vp Kaka naomb no akoMkuu
Mkuu mimi Niko sensitive sana na mshahara, kazi yangu ya kwanza nilikua nalipwa laki nane na nusu take home, huku nimepewa nyumba, gharama za umeme plus maji lakini nilifanya kazi mwaka mmoja tu nikaandika barua ya kuacha kazi nikaomba kazi mahali pengine
Wcf wanalipa Sh ngapi mishahara na posho zao zipoje?Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Hawa wanahusika na nini1.Tpdf
2.Tpdf
3.Tpdf
4.
5.
Hao wanalipwa kawaida sio vxuri wala sio vibaya1.Tpdf
2.Tpdf
3.Tpdf
4.
5.
Jamaaa wapo vizuri sana luteni mwenye bachelor anakunja mil.3 hapo cjakwambia major na kuendeleaHao wanalipwa kawaida sio vxuri wala sio vibaya
Jamaaa wapo vizuri sana luteni mwenye bachelor anakunja mil.3 hapo cjakwambia major na kuendelea
Naomba kufahamu Accounts officer II anapata ngapi kwenye hizo taasisi?
- CPA wa TCRA ni 4.5 M hapo bado Posho?
- CPA wa EWURA ni 4M