Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Je, naweza kupata ajira magereza kwa cheti cha kidato cha nne?

Upo TPDF tangu lini? Unaijua kweli mishahara ya TPDF au ndio wale changamsha genge?
Nilijua tu huyu hawezi kuwa analipwa salary popote pale
 
Senior HR wa TPA apart from salary, anakunja 850k kama mileage allowance, 45% of his/her salary kama housing allowance, 200k meal allowance kila mwezi. Mshahara kwa mwaka ni 26M. na vichench kadhaa, you can calculate it monthly. Watu wanabwia asali.
 
Back
Top Bottom