Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

We jamaa Mshamba kweli; Milioni 21 kwa mwezi kwako ni hela ? Unajua kazi ninazofanya?

Mkurugenzi wa MSD Aliyetumbuliwa anapokea 20 M kwa mwezi ; Mbona mishahara ya 20 M ni kawaida hata bongo!

Unajua Range za mishahara ya WHO?

Punguzeni ushamba basi kwa yale msiyoyajua. Unaweza kusikia nalipwa Dola hizo lakini do you know work permit nalipia kiasi gani kila mwaka ?

Yaani katika East Africa Tz ndio taifa Lina watu washamba na wasiokuwa na exposure ya maisha.


Mk54
Sikupingi ofisa
 
Huu uzi nimegundua kumbe vingi vinavyozungumzwa hapa ni blah blah tu,nimekuja kugundua baada ya wadau kuzungumzia moja ya taasisi ninayofanyia kazi,vinavyozungumzwa ni sawa na mbingu na ardhi hakuna uhalisia hata kdgo,kama kilichozungumzwa kwenye taasisi ninayofanyia kazi naona sio sahihi kwa asilimia mia,je vinavyozungumzwa juu ya taasisi nyingne vitakuwa na ukwel
 
T
Huu uzi nimegundua kumbe vingi vinavyozungumzwa hapa ni blah blah tu,nimekuja kugundua baada ya wadau kuzungumzia moja ya taasisi ninayofanyia kazi,vinavyozungumzwa ni sawa na mbingu na ardhi hakuna uhalisia hata kdgo,kama kilichozungumzwa kwenye taasisi ninayofanyia kazi naona sio sahihi kwa asilimia mia,je vinavyozungumzwa juu ya taasisi nyingne vitakuwa na ukwel
kuna ukweli kiasi fulani taasisi mbili nilifanya kazi ...Wametaja kama ilivyo posho zao.
 
Huu uzi nimegundua kumbe vingi vinavyozungumzwa hapa ni blah blah tu,nimekuja kugundua baada ya wadau kuzungumzia moja ya taasisi ninayofanyia kazi,vinavyozungumzwa ni sawa na mbingu na ardhi hakuna uhalisia hata kdgo,kama kilichozungumzwa kwenye taasisi ninayofanyia kazi naona sio sahihi kwa asilimia mia,je vinavyozungumzwa juu ya taasisi nyingne vitakuwa na ukwel
Wengi wanaongea uduwanzi huo bado ni majobless wanaishi kwa shemeg
 
shida ya hizi posho na safari sio constant, anaweza akatokea boss kavurugwa anafuta zote au anawapa kidogo sana na hamna la kumfanya.....so kwa wadau ambao hamjapata kazi, mkipata kazi wekeni kwenye mindset yenu kwamba mshahara ndo haki yako, ivyo vingine lolote linaweza kutokea.
 
shida ya hizi posho na safari sio constant, anaweza akatokea boss kavurugwa anafuta zote au anawapa kidogo sana na hamna la kumfanya.....so kwa wadau ambao hamjapata kazi, mkipata kazi wekeni kwenye mindset yenu kwamba mshahara ndo haki yako, ivyo vingine lolote linaweza kutokea.
Ni kweli, Kuna taasisi Fulani Mkurugenzi mpya kaingia akafuta baadhi ya posho, Watu wakaqnza kutafuta kazi kwingine
 
Mkuu hiyo namba moja tema mate chini! Njaa kali... labda kwa wazee wachache wa kujipigia pande. Mfano technician hapo kwenye namba moja take home ni laki 6!

Sent using Capo Dei Capi
Mkuu hiyo namba moja tema mate chini! Njaa kali... labda kwa wazee wachache wa kujipigia pande. Mfano technician hapo kwenye namba moja take home ni laki 6!

Sent using Capo Dei Capi
Mkuu unamaaanisha TPDC njaa kali?
 
Halmashauri hizi wanaita OT. Mkurugenzi huamua tu kulingana na bajeti yetu tulipane siku 3 au 5. Miezi mingine inapita kavu. Hivyo hivyo siku zinasonga kibishi. Ila serikali inatakiwa iboreshe sana maslahi ya halmashauri hali ni ngumu.
Kada gani halmashauri wana maisha?
 
Kada gani halmashauri wana maisha?
Halmashauri hakuna formula mkuu!
Afisa biashara kaenda kuomba nyama kilo 10 buchani kama leseni ya biashara imeisha utampa tu. HR hapitishi fomu ya mkopo mpaka loan officer utoe chochote. Kama wewe mzabuni ukitaka malipo yawahi lazima umtoa muhasibu. Wagavi hawa ndio wazee wa 10% kwenye manunuzi. Kama vita ya porini tu hujui adui anatokea wapi muda wowote unabutuliwa.
 
Huu uzi nimegundua kumbe vingi vinavyozungumzwa hapa ni blah blah tu,nimekuja kugundua baada ya wadau kuzungumzia moja ya taasisi ninayofanyia kazi,vinavyozungumzwa ni sawa na mbingu na ardhi hakuna uhalisia hata kdgo,kama kilichozungumzwa kwenye taasisi ninayofanyia kazi naona sio sahihi kwa asilimia mia,je vinavyozungumzwa juu ya taasisi nyingne vitakuwa na ukwel
Usihukumu uzi mkuu ila baadhi ya wachangiaji hawako sahihi. Ila 75% ni sahihi
 
Halmashauri hakuna formula mkuu!
Afisa biashara kaenda kuomba nyama kilo 10 buchani kama leseni ya biashara imeisha utampa tu. HR hapitishi fomu ya mkopo mpaka loan officer utoe chochote. Kama wewe mzabuni ukitaka malipo yawahi lazima umtoa muhasibu. Wagavi hawa ndio wazee wa 10% kwenye manunuzi. Kama vita ya porini tu hujui adui anatokea wapi muda wowote unabutuliwa.
Wenye hela halmashauri ni Wataalam wa Ardhi,
 
Back
Top Bottom