Najua mishahara yao kama kuna mtu anabisha aje hapa, chukua hii meneja wa pale TAA hamfikii kwa mshahara afisa anayeanza TCRA,TANAPA ,LATRA ,huyo ni meneja na miaka 13 kweny utumishi..
Kweny pesa ni TCAA ila wapo kimya hao jamaa wanapiga pesa hatari ,safari za kutosha ila TAA inafanya kazi kama subsidiary ya TCAA ila TAA ndio ina miaka mingi kweny utumishi kuliko TCAA... Maslahi duni kutwa wanataka kubadili salary scale ila hawana uwezo.
Kwanza wanalipwa kweny mfumo wa utumishi kama watu wa Tamisemi tu ,hwana mpya.