Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Dola haijawahi kuwa na mambo ya hovyo.....uitwao hivyo ni MTAZAMO tu......Duh,
Hii ni hatari.
Mambo ya hovyo ndo yanapewa kipaumbele kwa sasa!
Ifike mahali machawa kama Tlaatlaah na wenzake waone aibu kutetea huu ujinga