Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Dola haijawahi kuwa na mambo ya hovyo.....uitwao hivyo ni MTAZAMO tu......Duh,
Hii ni hatari.
Mambo ya hovyo ndo yanapewa kipaumbele kwa sasa!
Ifike mahali machawa kama Tlaatlaah na wenzake waone aibu kutetea huu ujinga
Unajua maana ya taasisi ya serikali? Ndio shida ya kuamkia viporo vya viazi vitamuHizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa;
1. TAA
2. TCRA
3. PPRA
4. BRELA
5. EWURA
6. TACAIDS
7. SUMATRA
8. TANROADS
9. TAKUKURU
10. TRA.
11. MKUKUTA.
12.MKURABITA.
Awamu ya sita ni
ππΎ
1. Samia Legal Aid
2. Goli la Mama
3. Samia App
3. Kazi Iendelee
4. Generation Samia
5. Mama Anaupiga Mwingi
6. Wasanii na Mikopo
7.Chawa wa Mama
8.kizimkazi Festival
9.Pika na Mama
10.Mitano Tena
Kwa CHAWA na mfugaji wake?Uwe na adabu na heshima
CHAWA Lucas Mwashambwa haoni aibu, eti ananipiga mikwalaDuh,
Hii ni hatari.
Mambo ya hovyo ndo yanapewa kipaumbele kwa sasa!
Ifike mahali machawa kama Tlaatlaah na wenzake waone aibu kutetea huu ujinga
hata pale marekani USAID na green card vimefutwa na vimenadilishwa na kuanzishwa vitu vingine vyenye tija na malengo yanayowafikia walengwa kwa ufanisi,Duh,
Hii ni hatari.
Mambo ya hovyo ndo yanapewa kipaumbele kwa sasa!
Ifike mahali machawa kama Tlaatlaah na wenzake waone aibu kutetea huu ujinga
rostam naJk ,walimtia dosari zile Dola zakwenye kitabu chakeMachawa wapambe wenyewe walikuwa wanashindwa kumsogolea π
Ova
pamoja na vurugu za chakechakeMachawa wapambe wenyewe walikuwa wanashindwa kumsogolea π
Ova
Nimecheka kuona mama anaupigamwingiHizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa;
1. TAA
2. TCRA
3. PPRA
4. BRELA
5. EWURA
6. TACAIDS
7. SUMATRA
8. TANROADS
9. TAKUKURU
10. TRA.
11. MKUKUTA.
12.MKURABITA.
Awamu ya sita ni
ππΎ
1. Samia Legal Aid
2. Goli la Mama
3. Samia App
3. Kazi Iendelee
4. Generation Samia
5. Mama Anaupiga Mwingi
6. Wasanii na Mikopo
7.Chawa wa Mama
8.kizimkazi Festival
9.Pika na Mama
10.Mitano Tena
Si kila siku unatengeneza njia. Inafika kipindi inabidi kukarabati njia na kubuni juu ya kuzitumia njia hizo kiufanisi zaidi. Fahamu baada ya miaka kumi njia lazima ikarabatiwe.Mkapa alikuwa na akili , maono mapana, mtengeneza njia pasipo na njia. Huyu shangazi mfuga CHAWA kama Lucas Mwashambwa, hana maono, hana ubunifu, yaani anamaliza uchumi wa Tanganyika kwa kujenga na kupeleka kila kitu kwao.
Tanganyika anawatimua Wamasai kwenye ardhi yao ili awape Waarabu, hii ni laana kubwa.
Kauza bandari yetu kwa DP WORLD kwa mkataba mbovu usio na ukomo.
Hili ni janga la kitaifa
Kila mmoja kaanzisha kwa mujibu wa upeo na vipaumbele vyake. Ni dhahiri wa awamu ya 6 yeye kipaumbele chake ni kusifiwa na kula bata.Awamu ya sita ni
ππΎ
1. Samia Legal Aid
2. Goli la Mama
3. Samia App
3. Kazi Iendelee
4. Generation Samia
5. Mama Anaupiga Mwingi
6. Wasanii na Mikopo
7.Chawa wa Mama
8.kizimkazi Festival
9.Pika na Mama
10.Mitano Tena
Kama hukuelewa, ngoja nikufahamishe; mtoa mada ametumia bongo kuhoji;Nilitegemea umzodoe mh.Rais Samia kama angekuwa AMEZIFUTA hizo taasisi alizoanzisha mh.Mkapa....