Hizi ndio timu 10 ambazo zimekuwa confirmed zitashiriki Super League Msimu 2023

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Hizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe

Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121

Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.
 
utopolo inafanya nini hapo namba 8???? jinga mkubwa
 
๐ŸšจSUPER CUP 2023.

Timu ya Wananchi Yanga imepata nafasi ya kushiriki michuano ya Super cup ๐Ÿ† mwakani.Yanga itaungana na timu za.

๐Ÿ”นAl ahly (Misri)๐Ÿ…๐Ÿ†
๐Ÿ”นZamelek (Misri)๐Ÿ…๐Ÿ†
๐Ÿ”นMamelodi sundown (Afrika ya kusini)๐ŸŽ–๏ธ๐Ÿ†
๐Ÿ”นOrlando pirates (Afrika ya kusini)๐ŸŽ–๏ธ๐Ÿ†
๐Ÿ”นWydad Casablanca (Morocco)๐ŸŽ–๏ธ๐Ÿ†
๐Ÿ”นRaja Casablanca (Morocco)๐ŸŽ–๏ธ๐Ÿ†
๐Ÿ”นRs berkane (Morocco)๐ŸŽ–๏ธ๐Ÿ†
๐Ÿ”นYanga sc (Tanzania)๐ŸŽ–๏ธ๐Ÿ†
๐Ÿ”นSimba sc (Tanzania)๐Ÿค
๐Ÿ”นTp mazembe ( Dr Congo)๐ŸŽ–๏ธ๐Ÿ†

NB:Kuna watu walikuwa wanasema Yanga hawezi kushiriki Super cup ๐Ÿ† ๐ŸคฃSasa mnajiskiaje baada ya kupata hii habari leo kuwa wababe wenu wa muda wote watakuwepo kupeperesha bendera ya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

๐ŸšจHalafu unaambiwa pesa ambayo Yanga watabeba baada ya kuchukua ๐Ÿ†๐ŸŽ–๏ธ๐ŸŽ–๏ธzao ni zaidi ya zile za mwekezaji Mudy๐Ÿคฃ
 
Wakati wanadai hamshiriki mmeufyataaa.
Sasa mtashiriki mnaongea.
Moral of the story: Mmebebwa aka zali, Nani kawabeba? Mnamjua anaeibeba Tanzania ktk international competition.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ