Kama hamjapewa taarifa hizi na Barbra, basi ni za uongo maana aliyealikwa na kuhudhuria kikao Tanzania ni Barbra tuHizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
Wewe kabwela unapenda sana kujipa umuhimu, emb uza nyanya huko mtaani kwenu.Niko Arusha katika mkutano mkuu CAF.
Ya 74 brazaYaaani nyie Utopolo aka Vinyesi FC inabidi tuwaonee tu huruma saa nyingine. Mnapenda sana ukubwa ambao hata hamna.. team ya 67 huko unawezaje kusema mkubwa mwenzio yupo 15 Bora. Kimataifa mna point 0.5 hii aibu hata hamuisemi..
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huyu sio yule aliyetuonesha Uzi mpya wa Simba kumbe sio wenyewe?
Nimekupenda bure[emoji8][emoji8][emoji8][emoji1787][emoji1787]Wewe ndio umeandika kisokorokwinyo kisokorokwinyo yaani una gubuu kwa maandishi tuu venye yanaonekana.
Labda CUF ya LipumbaNiko Arusha katika mkutano mkuu CAF.