Hizi ndiyo mechi zitakazo mfukuza kocha wa simba (Robertinho) na mikoba atairithi mgunda

Yule Mzungu Hana uchawi wa kutuzuia,angekuwa Mgunda hapo sawa
 
Comment saved [emoji3578]
 
Hapo club utabakia na Guadiola Mnene.Mzungu Nje,tuna mwesabia siku tu🦁.tunawajueni baada ya goli hamsa za mtani hapo kesho kutwa mnaenda mtimua😂
 
Hapo club utabakia na Guadiola Mnene.Mzungu Nje,tuna mwesabia siku tu[emoji881].tunawajueni baada ya goli hamsa za mtani hapo kesho kutwa mnaenda mtimua[emoji23]
[emoji23]
 
Bado unaamini ulichokiandika
 
Hivi kinyume cha kukanda ni nini?Gongowazi anapita alichokiandika kama si yeye.Kapata upofu wa kuchagua ghafla.
 

Ulikuwa unaota mkuu,ulishaamka au bado umelala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…