Hizi ndiyo sababu kuntu zinazonifanya niamini kuwa Al Ahly lazima adondoshe point 3 muhimu mbele ya Yanga SC

Hizi ndiyo sababu kuntu zinazonifanya niamini kuwa Al Ahly lazima adondoshe point 3 muhimu mbele ya Yanga SC

Me mwenyewe ni mwananchi lialia lakini mauya hamna kitu mule.
Ukiangalia hata game na Ihefu yeye ndio alie zingua pale kati.

Nalishauri benchi la ufundi liamuangalie kwa makini huyu jamaa (Mauya) ikibidi msimu ujao ampishe Yusuph kagoma pale kati.
KWANI ANACHEZA PEKE YAKE.
 
1/ Benchi la ufundi makini kuanzia kocha mpaka kocha msaidizi na makocha wanaoshughulika na kuweka fit miili ya wachezaji.

2/ Viongozi wa Yanga SC kuanzia Rais mpaka Makamo hatua ya kufika Fainali katika Kombe la Shirikisho ni somo tosha kwa viongozi, nadhani wamejifunza mengi nje ya uwanja mpaka ndani ya uwanja.

3/wachezaji wenye uzoefu mkubwa (experience)

- Kipa hapa kuna Diara mdaka mishale a.k.a screen protector, sina mashaka nae ni kipa Bora kabisa katika Ligi yetu hii hadi East Africa.

- Viungo Wakabaji (Aucho, Mudathri, Sureboy, Gift Mauya ) kila ninapotazama clip za YouTube jinsi Waarabu wa Tunisia wavyopata tabu naondoa mashaka kabisa nakuona kuwa Al Ahly lazima adondoshe point.

- Mabeki wa pembeni (Yao, lomalosa, nk.) hakika ni miamba kabisa, sioni Yanga SC wakipoteza point kwenye uwanja wa nyumbani.

- Viungo washambuliaji (Aziz Ki, Pakome, Max nzengel)

Sina mashaka na uwezo wao, Al Ahly waje ni ngumu kwa Yanga SC kupoteza point tatu muhimu kwenye uwanja wa nyumbani.

NB: Habari zenu tunazo kuwa Mama hajawapa hata mia mbovu maana mmefunga lakini hamjashinda mechi.

Mm ni mshabiki wa Simba Sc.
Kusema ukweli Yanga ipo vizuri sana na wakitulia wanaweza ifunga Al Ahly ndani na nje. Wapinzani wenu ni wazoefu na wanajiamini zaidi.

Ila....

Al Ahly kwa sasa sio nzuri sana.

Only kitu kimoja tu Yanga wanatakiwa wajihadhari ni counter attack. Ahly wanawweza wawaachie mpossess mpira mda mwingi na wao wakarudi nyuma kuwaona, ila nna hakika mkijikanyaga mkahamia nusu ya mpinzani katika kufos goli ndio itakuwa kaburi lenu.

Yangu isivuke yote mstari wa kati kwenda kushambulia, mabeki wakumbuke kurudi ama kutulia nafasi zao
 
1/ Benchi la ufundi makini kuanzia kocha mpaka kocha msaidizi na makocha wanaoshughulika na kuweka fit miili ya wachezaji.

2/ Viongozi wa Yanga SC kuanzia Rais mpaka Makamo hatua ya kufika Fainali katika Kombe la Shirikisho ni somo tosha kwa viongozi, nadhani wamejifunza mengi nje ya uwanja mpaka ndani ya uwanja.

3/wachezaji wenye uzoefu mkubwa (experience)

- Kipa hapa kuna Diara mdaka mishale a.k.a screen protector, sina mashaka nae ni kipa Bora kabisa katika Ligi yetu hii hadi East Africa.

- Viungo Wakabaji (Aucho, Mudathri, Sureboy, Gift Mauya ) kila ninapotazama clip za YouTube jinsi Waarabu wa Tunisia wavyopata tabu naondoa mashaka kabisa nakuona kuwa Al Ahly lazima adondoshe point.

- Mabeki wa pembeni (Yao, lomalosa, nk.) hakika ni miamba kabisa, sioni Yanga SC wakipoteza point kwenye uwanja wa nyumbani.

- Viungo washambuliaji (Aziz Ki, Pakome, Max nzengel)

Sina mashaka na uwezo wao, Al Ahly waje ni ngumu kwa Yanga SC kupoteza point tatu muhimu kwenye uwanja wa nyumbani.

NB: Habari zenu tunazo kuwa Mama hajawapa hata mia mbovu maana mmefunga lakini hamjashinda mechi.
Muda utatoa jibu tuombe uzima
 
Mm ni mshabiki wa Simba Sc.
Kusema ukweli Yanga ipo vizuri sana na wakitulia wanaweza ifunga Al Ahly ndani na nje. Wapinzani wenu ni wazoefu na wanajiamini zaidi.

Ila....

Al Ahly kwa sasa sio nzuri sana.

Only kitu kimoja tu Yanga wanatakiwa wajihadhari ni counter attack. Ahly wanawweza wawaachie mpossess mpira mda mwingi na wao wakarudi nyuma kuwaona, ila nna hakika mkijikanyaga mkahamia nusu ya mpinzani katika kufos goli ndio itakuwa kaburi lenu.

Yangu isivuke yote mstari wa kati kwenda kushambulia, mabeki wakumbuke kurudi ama kutulia nafasi zao
TUKUTANE KWA MKAPA MKUU.
 
Kesho tarehe 2 ndio utajua kwamba unaemuongelea ni mkubwa kwako, jiandae tu kulegeza msuli
 
TOKA UMEPIGWA GOLI TANO UMEPOTEANA HUMU
Jifunzeni wa Arsenal wamepiga mtu goli 6 ila wapo kimya sana.

Sasa nyie majuha kila siku kila saa mnakenua meno na kubwabwaja eti alifunga tano kwa moja 😂😂

Nikukumbushe tu NBC league ina waamuzi ndezi, ila huko CAF hakunaga bahasha wala magoli ya offsides.

Kazi mnayo 😂
 
Back
Top Bottom