political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
SawaHaya sokomea ndani huo mwiko huko nyuma kwa sauti ya aggrey mwanri
Tabia zako unazionyesha hadharani unadhani kila mtu analiwa marinda kama wwHaya sokomea ndani huo mwiko huko nyuma kwa sauti ya aggrey mwanri
Unanikoti mara mbili mbili mwiko umekunasiaTabia zako unazionyesha hadharani unadhani kila mtu analiwa marinda kama ww
KWELI KABISA MKUU.Hakuna muhindi anaejali maslahi y wenzie anajali yakwake muwekezaji si ajabu ndo tatizo pamoja na viongozi wake wote hao ni matapeli tutamkumbuka sana hans pope yule ndo alikuwa mwana simba
VIJANA MMECHAFUKWA.Tabia zako unazionyesha hadharani unadhani kila mtu analiwa marinda kama ww
NGOJA WAJE MAKOLO WENZIO WAKUSHAMBULIE.Mo Whitewash [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MKUU UMEONGEA KWA HISIA SANA.Yote umeongea tatizo kuu kwa simba ni MO yule jamaa ni mbahili..siku nyingine mjifunze kuwapa timu wahindi
Ahh mtu anajikuta anaju kilakitu ni mpuuzi wengine hatunaga usimba wala uyanga alaf mtu kisa kaona umeiponda simba basi anajua mm yanga wakati leo nimetoka kuwacheka yanga kwa kusukumiziwa miiko mitatu bila hurumaVIJANA MMECHAFUKWA.
Tunawawekea bango.Ngoja waje wafulukutwa wakutukane
SAWASababu ni moja tu, washabiki hawautaki uongozi wa Mangungu na try again
Mo Extra ndogo
Mo Ubuyu
Mo Urojo
Mo Maembe
Ngoja waje wafulukutwa wakutukane
Mo Andazi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].........Mo sabuni
ANAWAPIGA SPANA MAKOLO [emoji2772][emoji16][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].........
Nyie jamaa nyie...!!
Duh!!
Nyie wenyewe mmesahau juzi hapo timu ilikuwa inakaa kambini kwa ufadhili wa Chapati za Kaduguda mpaka akadai hela yake baada ya kumzingua.Hahahaha kutesa kwa zamu. Umesahau juzi tu hapo Mlikuwa mnachangishana kwenye vibakuli?! Mshukuruni GSM Tajiri wa vitendo sio kama huyu Mwamedi blaah blaaah kibao. Mara timu inamvunja moyo mara Timu inatengeneza deficit tu.Pathetic
Mo Sambusa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].........
Nyie jamaa nyie...!!
Duh!!
HATARI SANA.Nyie wenyewe mmesahau juzi hapo timu ilikuwa inakaa kambini kwa ufadhili wa Chapati za Kaduguda mpaka akadai hela yake baada ya kumzingua.
MO WANZUKI.Mo Sambusa
Kwa hiyo sitakiwi kusema.Natarajia wenye Simba yao waseme wewe ni Yanga uliyevaa jezi ya Simba.