Hizi ndiyo sababu kuu maalumu zinazowafanya mashabiki wa Simba SC kugomea kununua tiketi za mchezo wa Simba SC dhidi ya Asec

Hizi ndiyo sababu kuu maalumu zinazowafanya mashabiki wa Simba SC kugomea kununua tiketi za mchezo wa Simba SC dhidi ya Asec

MO apunguza kiingilio Sasa akiona mmegoma kabisa ananunua tiketi zote muende mkaone mnavyofungwa na Assek Mimosa

Kutoka buku 5 mpaka buku 3

Andaa Buku 3 kanunue tiketi Ila mimi kwa nnachokiona nakwambiaje minya hivyo hivyo tajiri atanunua tiketi zote mtaingia bure km alivyofanya yule tajiri wa Congo Moize Katumbi na Tp Mazembe watu walinunuliwa tiketi zote na tajiri wakapewa na bonus juu na Tp Mazembe ilishinda siku ile [emoji38] Sasa wewe katoe buku 3 mkashuhudie mnavyofungwa
Kalpana
@kalpina KAPOTEA KABISA
 
Back
Top Bottom