NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #61
[emoji16] TAJIRI SOUNDNaombea simba wafungwe ili wazifi kuvurugana tujue yaliomo ndani naskia safari hii hadi tajiri maneno nae wanamtolea uvivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16] TAJIRI SOUNDNaombea simba wafungwe ili wazifi kuvurugana tujue yaliomo ndani naskia safari hii hadi tajiri maneno nae wanamtolea uvivu
@kalpina KAPOTEA KABISAMO apunguza kiingilio Sasa akiona mmegoma kabisa ananunua tiketi zote muende mkaone mnavyofungwa na Assek Mimosa
Kutoka buku 5 mpaka buku 3
Andaa Buku 3 kanunue tiketi Ila mimi kwa nnachokiona nakwambiaje minya hivyo hivyo tajiri atanunua tiketi zote mtaingia bure km alivyofanya yule tajiri wa Congo Moize Katumbi na Tp Mazembe watu walinunuliwa tiketi zote na tajiri wakapewa na bonus juu na Tp Mazembe ilishinda siku ile [emoji38] Sasa wewe katoe buku 3 mkashuhudie mnavyofungwa
Kalpana
ningelijua hujui ngano za lugha ima tamathali za semi kama tashtiti, tafsida na wenzake nisingeliandika nilichoandika.Kwa hiyo sitakiwi kusema.
AHSANTE MKUU [emoji120]ningelijua hujui ngano za lugha ima tamathali za semi kama tashtiti, tafsida na wenzake nisingeliandika nilichoandika.
Jumapili njema