Hizi ndizo bei mpya za vifurushi vya Azam TV

Hizi ndizo bei mpya za vifurushi vya Azam TV

Sasa watu mnalalamika nini wakati thamani ya pesa yenu imeshuka unazani huyo azam ananunua vifaa kwa pesa ngapi miezi mitano ilopita ilikuwa 2500 dollar moja leo 2700 inapanda je unazani huko nje kama alinunua fibre cable kwa 2m leo anainunua kwa 2.6m huoni jinsi gani maisha yanazid kuchangamuka ko ukiwa unalalamik lazim upitie vyanzo ujue sababu nini mmekaaa hapo hamuoni nashindwa kuelewa leo BoT au waziri wa uchumi kashindwa kuwafuata Kenya ajue wao wanaendeshaj uchumi wao mpaka pesa yao ipo imara leo.

Leo unalipwa milion moja ya tz ni sawa na laki saba tu maan katika milion yako ujue laki tatu imeend na maji haina thamani tena hii hela BOT na wazir watoke hadharani waelez hili jambo
 
Nimepataa dondoo kuhusu bei mpya ambazo zitakuja kutangazwa siku chache zijazo na kampuni ya AzamTv.

Kwasasa kuwaona akina Pacome au akina Debora na Fei Toto ubaoni ni Sh 28,000/=

Ndio kifurushi cha Azam Plus kimepanda kutoka 25,000 mpaka 28,000. Sawa na ongezeko la 3,000/=
Ubaya Ubwela tu
View attachment 3050284
Jaman mm nimelipia j3 25 Leo tarehe 1 mwez wa 9 channel za azam sports hazionekan jaman nifanye nn
 
Nimelipia j3 tu iliyopita Leo hii vifurushi vya azam sports hazionekan
Naombeni msaada tafadhari
 
Kinachonikera Azam ni Yale mathamthilia ya Kituruki...yaliyojaa mapigano y kidini! Sijui Serikali na wadau hawaoni athari zake kijamii?!
 
Wanapandisha bei halafu channel zao zimejaa tamthiliya nyingi za Kituruki!
Tunaomba watuekee Tamthilia za maisha harisi, kama jinsi ya kutoboa wakati huna ajira au jinsi ya kuishi maisha ya leo yaliyojaa usaliti kwenye mapenzi na kazi. Lakini wao wanatujazia Tamthilia za Kituruki, ni ujinga ujinga wa mapanga na visasi. Kiufupi wanaboa sana.
 
Dah nyie jamaa wa azam mna raha, yaani package ya mwisho(ya kishefa/kibwanyenye) ina 38k? Hapa Dstv unaishia Shangwe. Kweli Bakhresa ni mkombozi wa watanzania.
 
Back
Top Bottom