CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Kama ndizo drones hizi walizotaka walete wale jamaa wakasiribwa kwelikweli basi waomnbwe msamaha haraka sana maana(siwatetei kwenye ufisadi wao ila kwa hili it was a good idea) kuna siku Kariakoo ile au magorofa marefu yatawaka moto huu mji utaungua wote maana shughuli ya juzi kariakoo imeonyesha dhahiri kwamba hata makao makuu ya fire hayana maji yaani hata visima hawana
Yaani yale mazoezi sijui ya kustukiza airport halafu wanahojiwa kwenye makamera wanajisifu kwamba wako vizuri unaweza kudhani ni watu walio serious kumbe FIX tu ni aibu sana kwa kweli bora hata waliokuwa wanajijibia KWANI SERIKALI NDO IMELETA*&*&(msituambie tena story za maji hayo magari ni mapambo tu siku nyingine ikitokea nyie jibuni kwani SERIKALI NDIYO IMELETA MOTO?
No wonder hata kuzima mlima kilimanjaro ilibidi kwenda kupiga magoti kenya kuomba helicopter, yaani haya ma sky scrappers ya mji huu kuna siku tutatia aibu ya dunia toka enzi za MV Bukoba, matetemeko Kagera, nzige, moto Kilimanjaro, kivuko ukerewe hii nchi imekuwa exposed kwamba haipo tayari kukabiliana na natural disasters UONGOUONGO TU na kutumia mahela mengi kwenye sisasa za uongouongo za kina covid 19 wabunge feki.
HAHAHAHAHAHA JIJI KUBWA LA NCHI YA UCHUMI WA KATI HALINA FIRE HYDRANT HATA MOJA, lol kuna siku hata ofisi nyeti zitaungua moto watu wanaangaliana na kuja na matamko ya kinafiki tu.
Yaani yale mazoezi sijui ya kustukiza airport halafu wanahojiwa kwenye makamera wanajisifu kwamba wako vizuri unaweza kudhani ni watu walio serious kumbe FIX tu ni aibu sana kwa kweli bora hata waliokuwa wanajijibia KWANI SERIKALI NDO IMELETA*&*&(msituambie tena story za maji hayo magari ni mapambo tu siku nyingine ikitokea nyie jibuni kwani SERIKALI NDIYO IMELETA MOTO?
No wonder hata kuzima mlima kilimanjaro ilibidi kwenda kupiga magoti kenya kuomba helicopter, yaani haya ma sky scrappers ya mji huu kuna siku tutatia aibu ya dunia toka enzi za MV Bukoba, matetemeko Kagera, nzige, moto Kilimanjaro, kivuko ukerewe hii nchi imekuwa exposed kwamba haipo tayari kukabiliana na natural disasters UONGOUONGO TU na kutumia mahela mengi kwenye sisasa za uongouongo za kina covid 19 wabunge feki.
HAHAHAHAHAHA JIJI KUBWA LA NCHI YA UCHUMI WA KATI HALINA FIRE HYDRANT HATA MOJA, lol kuna siku hata ofisi nyeti zitaungua moto watu wanaangaliana na kuja na matamko ya kinafiki tu.