Hizi ndizo drone zilizomfukuzisha Lugola na Andengenye? Basi waombwe msamaha

Imeisha hiyoo jamaa wana raha kweli kutawala mazuzu,kwani tumr aliyounda tukio la moto kuiba mafuta morogoro liliishia wapi
 
Hujui kuwa clouds kipindi wapo kitega uchumi ghorofa ya 12 mwaka 2003 studio yao Iliungua na jamaa wakazima vizuri tu
Kwa hiyo kumbe wako vizuri kama nchi tuko salama,nashukuru maana nilidhani kiteknolojia fire department iko nyuma
 
Kwa hiyo kumbe wako vizuri kama nchi tuko salama,nashukuru maana nilidhani kiteknolojia fire department iko nyuma
Ni wazembe tu wakiamua wanaweza,kujenga reserve tank ya maji pale ofisini kwao inahitaji kiasi gani,
 
Majeshi yote wamejaa UVCCM hakuna jipya
 
Hujui kuwa clouds kipindi wapo kitega uchumi ghorofa ya 12 mwaka 2003 studio yao Iliungua na jamaa wakazima vizuri tu
Siyo kwamba waliomba msaada wa gari la kampuni ya ulinzi ya makaburu lr
Ni wazembe tu wakiamua wanaweza,kujenga reserve tank ya maji pale ofisini kwao inahitaji kiasi gani,
Siyo wazembe tu hilo tukio la gorofa la bima waliomba msaada wa makaburu kampuni ya ulinzi sijui ni knight guard wale walikuwa na gari la fire lina winch,hakuna vifaaa kabisa nenda you tube tafuta moto wA juzi nbc kasulu uone
 
Anaongea hivyo huku ofisini ameacha dokezo la kufanya tathmini ya moto na siku ziende
 
Siyo kwamba waliomba msaada wa gari la kampuni ya ulinzi ya makaburu lr

Siyo wazembe tu hilo tukio la gorofa la bima waliomba msaada wa makaburu kampuni ya ulinzi sijui ni knight guard wale walikuwa na gari la fire lina winch
Hata kariakoo wangefanya hivyo basi ili kuokoa mambo
 
Wapo wanajiiita Garda
Ok,ni kupunguza anasa na kuwa na vipaumbele,dreamliner moja ni billions 560 naskia na ya pili ishalipiwa cash wakati ya kwanza haieleweki inafanya nini sasa si wangenunua magari ya kisasa ya zimamoto?
 
Ila gari la maji ya washawasha muda wote lina maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…