Ningependa kusema kuwa PPP (Public Private partnership)yaani ubia kati ya secta ya Umma na binafsi ni mkombozi na mfumo ambao unaweza kutusaidia sana katika kuharakisha miradi mbalimbali ya kimaendeleo.
pamoja na kuvutia mitaji mikubwa mikubwa ya mabilioni ya pesa ambayo pia yatasaidia pia katika kuzalisha fursa za ajira kwa vijana pamoja na kuongeza wigo wa Kodi na mapato kwa ujumla wake
Your browser is not able to display this video.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Faida siyo theory au hotuba ni kitu tangible
Tukidanganywa theory kuwa ohh gesi ikitoka umeme na gesi ya kupikia na viwanda vitakuwa chee bei ndogo mno yako wapi,
Ohh umeme bwawa la Nyerere likijengwa likianza kuzalisha umeme utakuwa bei sawa na bure yako wapi?
Faida siyo theory au hotuba ni kitu tangible
Tukidanganywa theory kuwa ohh gesi ikitoka umeme na gesi ya kupikia na viwanda vitakuwa chee bei ndogo mno yako wapi,
Ohh umeme bwawa la Nyerere likijengwa likianza kuzalisha umeme utakuwa bei sawa na bure yako wapi?
Ningependa kusema kuwa PPP (Public Private partnership)yaani ubia kati ya secta ya Umma na binafsi ni mkombozi na mfumo ambao unaweza kutusaidia sana katika kuharakisha miradi mbalimbali ya kimaendeleo.
pamoja na kuvutia mitaji mikubwa mikubwa ya mabilioni ya pesa ambayo pia yatasaidia pia katika kuzalisha fursa za ajira kwa vijana pamoja na kuongeza wigo wa Kodi na mapato kwa ujumla wake View attachment 3120193
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
maelezo na ufafanuzi rahisi na muhimu mno kuhusu PPP, ambao kwakweli mpango huo utaipatia fursa na nafasi nzuri zaid serikali kufanya yale ambayo ni majukumu mtambuka ya kijamii na kisiasa yenye manufaa na maslahi mapana na ya moja kwa moja kwa wanainchi wote, huku yale mengine hususani ya kiuchumi yakafanywa na sekta binafsi..
maelezo na ufafanuzi rahisi na muhimu mno kuhusu PPP, ambao kwakweli mpango ambao utaipatia fursa na nafasi nzuri zaid serikali kufanya yale ambayo ni majukumu mtambuka ya kijamii na kisiasa yenye manufaa na maslahi mapana na ya moja kwa moja kwa wanainchi wote, huku yale mengine hususani ya kiuchumi yakafanywa na sekta binafsi..
Utashangaa jambo zuri kama hili CHADEMA wanaona wivu na kupinga.maana akili zao huwa hazieleweki zinawaza nini na wanataka nini maana wao ni kupinga kila kitu tu.
Ningependa kusema kuwa PPP (Public Private partnership)yaani ubia kati ya secta ya Umma na binafsi ni mkombozi na mfumo ambao unaweza kutusaidia sana katika kuharakisha miradi mbalimbali ya kimaendeleo.
pamoja na kuvutia mitaji mikubwa mikubwa ya mabilioni ya pesa ambayo pia yatasaidia pia katika kuzalisha fursa za ajira kwa vijana pamoja na kuongeza wigo wa Kodi na mapato kwa ujumla wake View attachment 3120193
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Ningependa kusema kuwa PPP (Public Private partnership)yaani ubia kati ya secta ya Umma na binafsi ni mkombozi na mfumo ambao unaweza kutusaidia sana katika kuharakisha miradi mbalimbali ya kimaendeleo.
pamoja na kuvutia mitaji mikubwa mikubwa ya mabilioni ya pesa ambayo pia yatasaidia pia katika kuzalisha fursa za ajira kwa vijana pamoja na kuongeza wigo wa Kodi na mapato kwa ujumla wake View attachment 3120193
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Faida siyo theory au hotuba ni kitu tangible
Tukidanganywa theory kuwa ohh gesi ikitoka umeme na gesi ya kupikia na viwanda vitakuwa chee bei ndogo mno yako wapi,
Ohh umeme bwawa la Nyerere likijengwa likianza kuzalisha umeme utakuwa bei sawa na bure yako wapi?
Ningependa kusema kuwa PPP (Public Private partnership)yaani ubia kati ya secta ya Umma na binafsi ni mkombozi na mfumo ambao unaweza kutusaidia sana katika kuharakisha miradi mbalimbali ya kimaendeleo.
pamoja na kuvutia mitaji mikubwa mikubwa ya mabilioni ya pesa ambayo pia yatasaidia pia katika kuzalisha fursa za ajira kwa vijana pamoja na kuongeza wigo wa Kodi na mapato kwa ujumla wake View attachment 3120193
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.