Naona mawazo yako kama picha yako , back to your point, hivi hujaona feeder roads zilizojengwa? This things za feeder roads na fly over they go hand in hand , sema zime chelewa na bado chacheNdugu yangu hizi flyovers zimetumia fedha nyingi za walipa kodi wa nchi hii lakini zimeshindwa kuleta ahueni ya foleni. Ni bora zipigwe nyundo na kujenga feeder roads. Duniani kote flyovers hazijawhi kutatua tatizo la foleni ndugu yangu. Fanya utafiti utaona ninachokuambia.
Sijui naniHivi meneja wa kampeni za CCM ni nani ?
[emoji2][emoji2][emoji2]...The man himself...!!!Hivi meneja wa kampeni za CCM ni nani ?
Funika bovu[emoji3]MAHERA
Serikali iliyopita ilikuwa inamhujumu bwana mekoLeo ndio nimethibitisha uongo na unafiki wa magufuli
Mkuu sasa si uweke hoja mezani au upangue hoja zao kwa hoja badala ya kupayuka tu kama mwendawazimu?Mkuu unafikiri kwa sababu wako USA wao ndio wachangia bora au upeo wao ni mkubwa kuliko mimi ambaye nipo Narungombe? Nakuhakikishia JPM hana mpinzani, hizi propaganda za mitandaoni hazitasaidia kitu...
Sasa ikiwa amekusanya billion 5 na kuchota trillion 1.5 faida ipo wapi mkuu? Hivi unajua hesabu kweli wewe?Unataka data zipi? Umeme tu kila kona ya Dar ilikuwa na magenerator madukani kelele mtindo moja mgawo wa umeme kila kona. Je, siku hizi vipi? Makusanyo ya Bandari sasa hivi yako kwenye Billion 5 na ushee kila siku achilia mbali Serikali ambayo ipo makini kwenye kila Jambo. JPM amewaacha wazungu wanatetemeka kwa sababu wanafahanu kinachofuatia. Afrika nzima itajikomboa kutokana na udhalimu wao. JPM hana mpinzani.
Heee!!! π ππ³Sasa mbona unapayuka tu bila takwimu wala data mkuu? Unakuwa kama shabiki wa mpira anayebisha kwamba Yanga au Simba watashinda bila analysis yoyote.Ndio uhuru huo wa kuamua, una siku chache sana hadi tarehe 28 whether you like it or not JPM ndiye rais na hao makuwadi wenu ambao mliwaandaa janja yao tunaifahamu hamchomoki. You are too late.
HahahaaaaaaaaMagufuli ameilaumu serikali iliyopita ya Magufuli kwa kushindwa kuwapatia vijana ajira hivyo atahakikisha serikali yake inawapa vijana ajira za kutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
H
Hawajulikani. ππ
Ndoto za Alinacha....π€£π€£Unataka data zipi? Umeme tu kila kona ya Dar ilikuwa na magenerator madukani kelele mtindo moja mgawo wa umeme kila kona. Je, siku hizi vipi? Makusanyo ya Bandari sasa hivi yako kwenye Billion 5 na ushee kila siku achilia mbali Serikali ambayo ipo makini kwenye kila Jambo. JPM amewaacha wazungu wanatetemeka kwa sababu wanafahanu kinachofuatia. Afrika nzima itajikomboa kutokana na udhalimu wao. JPM hana mpinzani.
Na hakuna mahali Lissu amesema atabomoa Flyovers. Hapo Tpal umechemkaKwa hoja No.4 umefeli, nyumba hata kama ni mbaya usiibomoe
Hivi meneja wa kampeni za CCM ni
Mkuu..meneja nafikiri ni yule zuchu wa wcb..Hivi meneja wa kampeni za CCM ni nani ?
Inawezekana unachosema ni sahihi, lakini kuzibomoa mkuu ni uzwazwa uliopitiliza.Ndugu yangu hizi flyovers zimetumia fedha nyingi za walipa kodi wa nchi hii lakini zimeshindwa kuleta ahueni ya foleni. Ni bora zipigwe nyundo na kujenga feeder roads. Duniani kote flyovers hazijawhi kutatua tatizo la foleni ndugu yangu. Fanya utafiti utaona ninachokuambia.