Uchaguzi 2020 Hizi ndizo hoja zitakazomuangusha Dkt. Magufuli na kumpaisha Tundu Lissu kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Mkuu bado una uchungu wa tonge kuondolewa mdomoni. JPM hana mpinzani, you know it and your friends know it. Mjiliwaze tu, bado wiki 2 na siku mbili mtalikimbia jukwaa hili. JPM moto wa kuotea mbali! Remember my words!
Your browser is not able to display this video.
 
13 Oct 2020
Tunduma, Songwe
Tanzania

CHADEMA Kampeni za Uchaguzi mkuu 2020
Msafara wa mgombea mwenza wa Urais kupitia tiketi ya Chadema, Mh. Salum Mwalimu wasimamisha shughuli Tunduma. Aomba kura kwa madiwani, mbunge na Tundu Lissu

Serikali ya CHADEMA imeendelea kuahidi
Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu ili waTanzania wote wawe na uhakika wa kujiendeleza ktk maisha yao binafsi na ya katika maeneo yao kwani hili halihitaji matamko yote yatoke kwa mtu mmoja anayeendesha serikali Kuu iliyo mbali kule Dodoma au Dar es Salaam.
 
Magufuli ameilaumu serikali iliyopita ya Magufuli kwa kushindwa kuwapatia vijana ajira hivyo atahakikisha serikali yake inawapa vijana ajira za kutosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ya Magufuli ndio kinara wa kuchota fedha za wastaafu kutoka mifuko ya hifadhi ya jamii na afya. Mpaka sasa serikali iimekomba jumla ya Tsh Trilioni 1.6 , zikiwemo Tsh Bilioni 44.29 kutoka NHIF ambazo CCM ilichota kwa ajili ya kujengea chuo cha Kata (UDOM) na mpaka leo pesa hizo hazijarejeshwa kwa wenyeywe (wastaafu). Na hii ndio ilikuwa sababu kubwa ya Magufuli na CCM yake kutunga sheria inayowapora wastaafu mafao yao yote na kuondoa fao la kujitoa kwani mifuko ilikuwa haiwezi kujiendesha tena. Ndipo wakaja na ujanja wa kuunganisha mifuko ili wapate kisingizio cha kufunika UFISADI wao. Mh Tundu Antipas ataondoa uporaji huu kwani anawathamini mno wafanyakazi wa nchi hii. Atahakikisha fedha zilizoporwa na Magufuli zinarudi kwa wastaafu.
 
sisi ni watu tuliotosheka mno ! usituone humu tunatafuta haki ukadhani tunawinda vyeo , lengo letu ni kupigania haki tu
Haki wakati mnaleta majungu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Pesa zipo lazima CCM waendelee kuchota na hatutaacha leo wala kesho. Lazima tuwashikishe adabu!
 
Mmeshindwa maendeleo ndani ya chama chenu mtaweza maendeleo ya Watanzania na uhuru wao?


Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Good thinking
 
 

Anazidi kujichanganya mgombea wa urais 2020 kupitia tiketi ya CCM Mpya John Magufuli

 
Magufuli na CCM yake kama wanaendelea kudharau na kupuuza hii movement ya CHADEMA wanajidanganya sana!!!
Mambo yote 28 Okt,2020.
 
Nitawashangaa sana watumishi wa umma watakaompa kura magufuli pamoja na kuwanyanyasa kwa miaka 5 kwa kutowaongeza mishahara na kuwapandisha vyeo, hivyo kuathiri maisha yao na familia zao kwa ujumla. Sijawahi kuona utawala wa kiimla na kandamizi na dhulumishi kwa watumishi wa umma kama huu wa awamu hii ya giza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…