Pre GE2025 Hizi ndizo hoja zitakazotumika kuizika CHADEMA endapo Mbowe akiibuka mshindi wa kiti cha uenyekiti Taifa, Ongezea nyingine

Pre GE2025 Hizi ndizo hoja zitakazotumika kuizika CHADEMA endapo Mbowe akiibuka mshindi wa kiti cha uenyekiti Taifa, Ongezea nyingine

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Kwa jicho la kawaida , bila matumizi ya akili nyingi, ni wazi kabisa itakuwa heri endapo Lisu ataibuka mshindi dhidi ya Mbowe katika kuwania kiti cha uenyekiti CHADEMA TAIFA. Ni kwa nini?

Mosi, ni rahisi sana TAL kama mwenyekiti wa CHADEMA TAIFA, kuipangua hoja ya Rushwa kwa kuwaeleza wanachama na watanzania kwa ujumla kuwa amefanya nini kukata mirija ya rushwa akaeleweka kuliko FAM ambaye hutegemea wapambe kutia propaganda ili kumsafisha.

Pili, Hoja ya u-dictator kwa kung'ang'ania kiti miaka yote inayotumiwa na wapinzani wa CHADEMA inakatwa mizizi.

Lakini tofauti na hapo, FAM akijipa / akipewa fursa ya kuendelea kuwa mwenyekiti wa chama, huu ndiyo utakuwa mwanzo mzuri wa kifo cha CHADEMA na kufata nyayo za kina lipumba , na wakati huu CCM hatotumia nguvu kubwa kupambana na CHADEMA, ila watatumia hoja tu kukisambalatisha CHADEMA na kupata ushindi wa 100%.

Hizi ni baadhi tu ya hoja zitakazotumika na zikakosa namna ya kuzipangu;

1). CHADEMA ni wala rushwa, je kama chama tu wanashindwa kukata mirija ya rushwa , wakipewa nchi itakuwaje?
2).kama Mwenyekiti wao amekaa madarakani zaidi ya miongo 2, je, wakipewa nchi si watang'ang'ania kubadili katiba ili wawe na raisi wa kudumu?
3). CHADEMA hawana democracy kwenye chama chao kawa wanavyojinadi, je wakipewa nchi itakuwaje?
4). CHADEMA ni chama cha ukoo, angalieni msiwachague wasijeifanya nchi Mali yao na ukoo wao

Nyingine ongezea
 
Kwa maslahi ya Chama Mbowe anapaswa kupumzika!
 
Kwa jicho la kawaida , bila matumizi ya akili nyingi, ni wazi kabisa itakuwa heri endapo Lisu ataibuka mshindi dhidi ya Mbowe katika kuwania kiti cha uenyekiti CHADEMA TAIFA. Ni kwa nini?

Mosi, ni rahisi sana TAL kama mwenyekiti wa CHADEMA TAIFA, kuipangua hoja ya Rushwa kwa kuwaeleza wanachama na watanzania kwa ujumla kuwa amefanya nini kukata mirija ya rushwa akaeleweka kuliko FAM ambaye hutegemea wapambe kutia propaganda ili kumsafisha.

Pili, Hoja ya u-dictator kwa kung'ang'ania kiti miaka yote inayotumiwa na wapinzani wa CHADEMA inakatwa mizizi.

Lakini tofauti na hapo, FAM akijipa / akipewa fursa ya kuendelea kuwa mwenyekiti wa chama, huu ndiyo utakuwa mwanzo mzuri wa kifo cha CHADEMA na kufata nyayo za kina lipumba , na wakati huu CCM hatotumia nguvu kubwa kupambana na CHADEMA, ila watatumia hoja tu kukisambalatisha CHADEMA na kupata ushindi wa 100%.

Hizi ni baadhi tu ya hoja zitakazotumika na zikakosa namna ya kuzipangu;

1). CHADEMA ni wala rushwa, je kama chama tu wanashindwa kukata mirija ya rushwa , wakipewa nchi itakuwaje?
2).kama Mwenyekiti wao amekaa madarakani zaidi ya miongo 2, je, wakipewa nchi si watang'ang'ania kubadili katiba ili wawe na raisi wa kudumu?
3). CHADEMA hawana democracy kwenye chama chao kawa wanavyojinadi, je wakipewa nchi itakuwaje?
4). CHADEMA ni chama cha ukoo, angalieni msiwachague wasijeifanya nchi Mali yao na ukoo wao

Nyingine ongezea
Sio kila mtu anafaa kuwa mwanachama wa CDM na of course CDM siyo ya kila mtu ni baadhi tu hasa wale wenye maono makubwa ikiwa ni pamoja na familia na kabila la Mbowe na Watanzania wengine wenye upeo wa juu..
 
Sio kila mtu anafaa kuwa mwanachama wa CDM na of course CDM siyo ya kila mtu ni baadhi tu hasa wale wenye maono makubwa ikiwa ni pamoja na familia na kabila la Mbowe na Watanzania wengine wenye upeo wa juu..
Kwa hiyo , Mbowe na familia yake wanaupeo wa juu😳, tuna safari ndefu sana wa 🇹🇿
 
Siri gani tena hiyo mkuu, tudokezane kidogo
 
Hiyo chadema mnayotutesa nayo hivi, yaani ni kama mnaiogopo bure tu.
 
Kwa hiyo , Mbowe na familia yake wanaupeo wa juu😳, tuna safari ndefu sana wa 🇹🇿
Yes ndio maana wameanzisha chama bora zaidi cha upinzani kuwahi kutokea Tz, na wamekisapoti chama kwa fedha na damu zao. Mkiacha watu hawa wadhoofishwe na CCM, mtaendeshwa kama baiskeli mbovu nchi hii.
 
Kwa nini tuiogope mkuu? Kuna mtu anaibadili kuwa lipumba promax
 
Yes ndio maana wameanzisha chama bora zaidi cha upinzani kuwahi kutokea Tz, na wamekisapoti chama kwa fedha na damu zao. Mkiacha watu hawa wadhoofishwe na CCM, mtaendeshwa kama baiskeli mbovu nchi hii.
Hawa walamba asali waendeshwe mara ngapi na CCM, Kwa ufupi tu hakuna chama cha siasa hapa , bali kikundi cha saccoss cha ukoo kinachopiga fedha za umma kwa mgongo wa ruzuku
 
Haya yote kila mwenye akili anayajua kuwa yatatokea. Tunawasubiri wajifanye vipofu na viziwi.
 
Nusura ya chadema ni Lisu kuwa mwenyekiti wa chadema .

Lkn kifo cha chadema kiko kwenye Mbowe kushinda uenyekiti
 
Kwa jicho la kawaida , bila matumizi ya akili nyingi, ni wazi kabisa itakuwa heri endapo Lisu ataibuka mshindi dhidi ya Mbowe katika kuwania kiti cha uenyekiti CHADEMA TAIFA. Ni kwa nini?

Mosi, ni rahisi sana TAL kama mwenyekiti wa CHADEMA TAIFA, kuipangua hoja ya Rushwa kwa kuwaeleza wanachama na watanzania kwa ujumla kuwa amefanya nini kukata mirija ya rushwa akaeleweka kuliko FAM ambaye hutegemea wapambe kutia propaganda ili kumsafisha.

Pili, Hoja ya u-dictator kwa kung'ang'ania kiti miaka yote inayotumiwa na wapinzani wa CHADEMA inakatwa mizizi.

Lakini tofauti na hapo, FAM akijipa / akipewa fursa ya kuendelea kuwa mwenyekiti wa chama, huu ndiyo utakuwa mwanzo mzuri wa kifo cha CHADEMA na kufata nyayo za kina lipumba , na wakati huu CCM hatotumia nguvu kubwa kupambana na CHADEMA, ila watatumia hoja tu kukisambalatisha CHADEMA na kupata ushindi wa 100%.

Hizi ni baadhi tu ya hoja zitakazotumika na zikakosa namna ya kuzipangu;

1). CHADEMA ni wala rushwa, je kama chama tu wanashindwa kukata mirija ya rushwa , wakipewa nchi itakuwaje?
2).kama Mwenyekiti wao amekaa madarakani zaidi ya miongo 2, je, wakipewa nchi si watang'ang'ania kubadili katiba ili wawe na raisi wa kudumu?
3). CHADEMA hawana democracy kwenye chama chao kawa wanavyojinadi, je wakipewa nchi itakuwaje?
4). CHADEMA ni chama cha ukoo, angalieni msiwachague wasijeifanya nchi Mali yao na ukoo wao

Nyingine ongezea
Huo ndio UKWELI ULIOIVA kabisa.
 
Back
Top Bottom