Sioni point ya kuweka hizo hotel/ motel/ guest houses hapa jamvini na kusema ni madanguro maarufu?
Ina maana hizo ukienda wanawake au wanaume wanapatikana hapo hapo umaarufu wao ni huduma nzuri wanazotoa kwa wateja wanaokodisha vyumba?
NN,
Sinza kwa WAJANJA.
hahahaha mkuu hii imekufa jamaa ameokoka alichoma kreti na kupasua vyupa...lakini hivi sasa sijui jamaa kaishiwa tena naona watu wanaingia ingia pale lakini pamepooza sana kama unataka kulala lazima uwe na kitambulisho cha ndoa.
Mwageni na picha zake tuzifahamu...
Duh....asante kwa hii thread....maana nilikua nimeishiwa na machimbo....hii thread ibadilishwe na kuitwa "Directory ya Maraha"!!!!!!!!!!
Msisahau na majumbani kwenu kwa wale mabachela, hosteli mbali mbali za vyuo...cbe, mabibo
Mwageni na picha zake tuzifahamu...
Duh! Mbona Sinza inatajwa mara kibao.....
Sawa.
Kama kilimo kipo nyuma, na ni cha jembe la mkono.kijiji kimoja chenye kaya zaidi ya 100 kinapelekewa 25 Kgs za Mbegu ya Mahindi.
Viwanda na mashirika yote vimebinafsishwa.
Lazima watu warudi kwenye THE OLDEST PROFESSION on earth.
Cha msingi walindwe.Ipelekwe Sheria,ipite itengenezewe kanuni za kuendesha hii biashara na support service nyingine ziwepo.
Watu walipe rent,wapate chakula,wasomeshe na wajenge pia.
Hao wote ni wadau.Watu mmelala guest house nyingi hivi? Duh
MkuluMkuu hapo tupo pamoja. Hii ni underground economy and need to be regulated for mutual benefit. Similarly, this will be a form of tarriff restriction to non competitive individuals.
MzeeDuh....asante kwa hii thread....maana nilikua nimeishiwa na machimbo....hii thread ibadilishwe na kuitwa "Directory ya Maraha"!!!!!!!!!!