Ongeza ktk listi yako
Hollyday inn -southern sun .near ohio st (huwezi amini,Staff wanauza Short-Time)
Keys hotel--mnazi mmoja
durban -mnazi mmoja
biashara ya gesti inalipa sana dar/tz kodi ya chumba ni 10-50/month,sasa watu wanaingia masaa 3 wanalipa elfu 15-30 ,kwa masaa 2-4,so kwa siku chumba kinaingiza wastani wa elfu 60X vyumba 10,hapo ni Tsh 600,000/- kwa siku,so in a month mtu anao uhakika wa kuingiza milioni 6,wakati nyumba ya ukubwa huohuo kwa mwaka ni milioni 6,ni bora iwe gesti.
2. watanzania tupo idle saana ktk kazi zetu hasa walioajiriwa na serikali na mashirika ya umma,muda mwingi wakiwa ofisini ni kuongea na kutumia net kizushi eg,ze utamu,blogg etc, hivyo ni rahisi sana kushawishika kutoroka kufanya ngono mchana
kwa kifupi ukimwi hautaisha ila ni kila mtu kujilinda mpaka tiba kamili itakapoanza ndio watu waanze kujiachia.