Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Naona vijana sasa wanakufa utadhani kuna mashindano wanayafanya.
Magonjwa ya ghafla
Ajali
Vifo vya usingizini n.k
Sababu hasa ya vifo hivi ni nini?
1. Zinaa na ulevi.
Mithali 6 : 32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
For read more download the Bible using this link:
Swahili English Bible - Apps on Google Play
Tena hii dhambi ya kulana tigo ndio inafyeka sana vijana. Zinàa inafungulia mlango wa maangamizi , hivyo mzinzi yuko kwenye danger zone.
2. Uchawi ( kurogana kwenye kutafuta fedha).
3. Roho chafu (mapepo)
Ili uepukane na vifo hivi jitahidi kuepuka kujawa pepo wachafu. Kijana mwenye pepo wachafu uwezekano wa kufika uzeeni ni mdogo sana.
Mapepo yanachukuliwa kwenye pornography, secular music na mapepo ya ukoo.
Magonjwa ya ghafla
Ajali
Vifo vya usingizini n.k
Sababu hasa ya vifo hivi ni nini?
1. Zinaa na ulevi.
Mithali 6 : 32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
For read more download the Bible using this link:
Swahili English Bible - Apps on Google Play
Tena hii dhambi ya kulana tigo ndio inafyeka sana vijana. Zinàa inafungulia mlango wa maangamizi , hivyo mzinzi yuko kwenye danger zone.
2. Uchawi ( kurogana kwenye kutafuta fedha).
3. Roho chafu (mapepo)
Ili uepukane na vifo hivi jitahidi kuepuka kujawa pepo wachafu. Kijana mwenye pepo wachafu uwezekano wa kufika uzeeni ni mdogo sana.
Mapepo yanachukuliwa kwenye pornography, secular music na mapepo ya ukoo.