Hizi ndizo sifa na tabia za wanafunzi wa vyuo vya tanzania

Hizi ndizo sifa na tabia za wanafunzi wa vyuo vya tanzania

huchukia ma lecturer wanao attend vipind vyote..
Masista duu wanakosa ela ya kula lakin c ya kwenda salun
sherehe za birthday znategemeana na kupata boom haijalsh cku imepta ila boom likiingia wanafunz woote wamezaliwa
hawana ela ya kununua vitin wana ela ya kwnda bar
mkuuu safi sana kwa kuniongezea hiii
 
95% confident interval,
Uki-test hypothesis ya "one tail" utagundua kua yote uliyosema ni kweli.

Ila sasa sio wanafunzi wote
 
Utafiti uliofanywa na watalaam toka nchini umegundua wanafunzi wanafunzi wa vyuo tanzania1.hupenda kwenda baa na kumbi za starehe kuliko lecture na semina2.hushinda room kuliko libray3.hujua mitindo ya mavazi kuliko module4.huogopa sap,carry na disco kuliko dhambi5.humfahamu wakurugenzi wa bodi ya mikopo kuliko wa wahadhiliHupenda kuangalia movies badala ya kwenda discusion.Hupenda kutembeleana badala ya kushinda chuoni.6.huudhulia birhdays,harusi kuliko ibada7.hutoa ofa kwa wenzao kuliko sadaka misikini na makanisani8.hupenda ku discuss mishahara kuliko maswali9.hupenda kuwabagua wenzao wanaotoka familia za kimasikini kuliko matajili10.huchukia sana siku za mitihani,test[/QUOTEHayo yote ni haki yao kufanya kwani watakuja kufanya lini?? Huu ndo wakati wao jamani acheni wivu. Na wewe unapenda kufanya nini??
 
Back
Top Bottom