Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
- Thread starter
- #21
mpaka huko nimefikahakika hapa Sample yako ulichukulia ifm na cbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpaka huko nimefikahakika hapa Sample yako ulichukulia ifm na cbe
mkuuu safi sana kwa kuniongezea hiiihuchukia ma lecturer wanao attend vipind vyote..
Masista duu wanakosa ela ya kula lakin c ya kwenda salun
sherehe za birthday znategemeana na kupata boom haijalsh cku imepta ila boom likiingia wanafunz woote wamezaliwa
hawana ela ya kununua vitin wana ela ya kwnda bar
huo utafiti wako ulifanyia vyuo gani? Udom na Teku nini.
Utafiti uliofanywa na watalaam toka nchini umegundua wanafunzi wanafunzi wa vyuo tanzania1.hupenda kwenda baa na kumbi za starehe kuliko lecture na semina2.hushinda room kuliko libray3.hujua mitindo ya mavazi kuliko module4.huogopa sap,carry na disco kuliko dhambi5.humfahamu wakurugenzi wa bodi ya mikopo kuliko wa wahadhiliHupenda kuangalia movies badala ya kwenda discusion.Hupenda kutembeleana badala ya kushinda chuoni.6.huudhulia birhdays,harusi kuliko ibada7.hutoa ofa kwa wenzao kuliko sadaka misikini na makanisani8.hupenda ku discuss mishahara kuliko maswali9.hupenda kuwabagua wenzao wanaotoka familia za kimasikini kuliko matajili10.huchukia sana siku za mitihani,test[/QUOTEHayo yote ni haki yao kufanya kwani watakuja kufanya lini?? Huu ndo wakati wao jamani acheni wivu. Na wewe unapenda kufanya nini??