Pre GE2025 Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?

Pre GE2025 Hizi ndizo zawadi, misaada na michango iliyotolewa na Rais Samia tangu aingie Ikulu. Ni maandalizi ya Urais 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Don Gorgon

Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
35
Reaction score
68
Samia 1.jpg

Tangu Rais Samia alipopokea kijiti cha uongozi wa nchi mwaka 2021, amesifiwa na baadhi ya Watanzania kama Mama mwenye moyo wa ukarimu, hususan katika kujitoa kwa hali na mali pale anapodhani anaweza kusaidia kwa kutumia fedha ili kuhakikisha mambo fulani yanaenda vizuri. Wanaona kuwa huu ni mfano wa uongozi wa kujali na una manufaa kwa jamii.

Baadhi yao wanasema kuwa, ikiwa Rais angeamua kutumia pesa hizo kwa matumizi binafsi badala ya kugawana na wananchi, hakika angeweza kufanya hivyo bila matatizo yoyote. Wanaamini kuwa ni jambo la kufurahisha kwamba Rais anachagua kugawana rasilimali na wananchi wake.

Hata hivyo, kuna kundi la wananchi linaloamini kwamba ukarimu huu umekuwa mzigo kwa uchumi wa taifa. Wanaona kwamba fedha hizi, ambazo ni matokeo ya jasho la Watanzania, zinatumika kinyume na matarajio, hasa ikizingatiwa kuwa nchi bado inakabiliwa na changamoto za utoaji wa huduma muhimu kwa wananchi wake. Wananchi hawa wanahisi kwamba fedha zinazopaswa kuelekezwa kwenye miradi ya maendeleo ya muda mrefu na yenye manufaa kwa jamii yote zinatumika kwenye shughuli za muda mfupi ambazo zinawanufaisha watu wachache tu.

Hoja zao ni kwamba kwa hali ya sasa ya uchumi, mkono wa ukarimu wa Rais unapaswa kuwa wa tahadhari ili kuepuka kudhoofisha kibubu cha taifa, ambacho bado kinakabiliwa na changamoto nyingi.

Lakini pia wapo wanaodhani huu ni mkakati tu wa kisiasa ili kushawishi wapiga kura. Kwamba taasisi, vikundi tofauti pamoja na watu binafsi wanaopitiwa na mkono mrefu wa Rais wanawekwa kwenye 'kumi na nane' na pia huenda ni mkakati wa kuendelea kubaki miyoni na vinywani mwa wapiga kura kwa chapa ya "Rais mwenye moyo safi."

Wewe mtazamo wako ni upi?

ZAWADI, MISAADA NA MICHANGO ILIYOTOLEWA NA RAIS SAMIA TANGU 2021​

2025
JANUARY
MARCH
 

Tangu Rais Samia alipopokea kijiti cha uongozi wa nchi mwaka 2021, amesifiwa na baadhi ya Watanzania kama Mama mwenye moyo wa ukarimu, hususan katika kujitoa kwa hali na mali pale anapodhani anaweza kusaidia kwa kutumia fedha ili kuhakikisha mambo fulani yanaenda vizuri. Wanaona kuwa huu ni mfano wa uongozi wa kujali na una manufaa kwa jamii.

Baadhi yao wanasema kuwa, ikiwa Rais angeamua kutumia pesa hizo kwa matumizi binafsi badala ya kugawana na wananchi, hakika angeweza kufanya hivyo bila matatizo yoyote. Wanaamini kuwa ni jambo la kufurahisha kwamba Rais anachagua kugawana rasilimali na wananchi wake.

Hata hivyo, kuna kundi la wananchi linaloamini kwamba ukarimu huu umekuwa mzigo kwa uchumi wa taifa. Wanaona kwamba fedha hizi, ambazo ni matokeo ya jasho la Watanzania, zinatumika kinyume na matarajio, hasa ikizingatiwa kuwa nchi bado inakabiliwa na changamoto za utoaji wa huduma muhimu kwa wananchi wake. Wananchi hawa wanahisi kwamba fedha zinazopaswa kuelekezwa kwenye miradi ya maendeleo ya muda mrefu na yenye manufaa kwa jamii yote zinatumika kwenye shughuli za muda mfupi ambazo zinawanufaisha watu wachache tu.

Hoja zao ni kwamba kwa hali ya sasa ya uchumi, mkono wa ukarimu wa Rais unapaswa kuwa wa tahadhari ili kuepuka kudhoofisha kibubu cha taifa, ambacho bado kinakabiliwa na changamoto nyingi.

Lakini pia wapo wanaodhani huu ni mkakati tu wa kisiasa ili kushawishi wapiga kura. Kwamba taasisi, vikundi tofauti pamoja na watu binafsi wanaopitiwa na mkono mrefu wa Rais wanawekwa kwenye 'kumi na nane' na pia huenda ni mkakati wa kuendelea kubaki miyoni na vinywani mwa wapiga kura kwa chapa ya "Rais mwenye moyo safi."

Wewe mtazamo wako ni upi?

ZAWADI, MISAADA NA MICHANGO ILIYOTOLEWA NA RAIS SAMIA TANGU 2021​

Rais Magufuri alipokuwa anatoa mablungutu ya hela kuwapa aliowapenda mbona hukuhoji?
 
Hana lolote huyo bibi anajua fika haubaliki ndio maana anatoa hizo hongo kulazimisha ushawishi na hizo ni kodi za wananchi.
 

Tangu Rais Samia alipopokea kijiti cha uongozi wa nchi mwaka 2021, amesifiwa na baadhi ya Watanzania kama Mama mwenye moyo wa ukarimu, hususan katika kujitoa kwa hali na mali pale anapodhani anaweza kusaidia kwa kutumia fedha ili kuhakikisha mambo fulani yanaenda vizuri. Wanaona kuwa huu ni mfano wa uongozi wa kujali na una manufaa kwa jamii.

Baadhi yao wanasema kuwa, ikiwa Rais angeamua kutumia pesa hizo kwa matumizi binafsi badala ya kugawana na wananchi, hakika angeweza kufanya hivyo bila matatizo yoyote. Wanaamini kuwa ni jambo la kufurahisha kwamba Rais anachagua kugawana rasilimali na wananchi wake.

Hata hivyo, kuna kundi la wananchi linaloamini kwamba ukarimu huu umekuwa mzigo kwa uchumi wa taifa. Wanaona kwamba fedha hizi, ambazo ni matokeo ya jasho la Watanzania, zinatumika kinyume na matarajio, hasa ikizingatiwa kuwa nchi bado inakabiliwa na changamoto za utoaji wa huduma muhimu kwa wananchi wake. Wananchi hawa wanahisi kwamba fedha zinazopaswa kuelekezwa kwenye miradi ya maendeleo ya muda mrefu na yenye manufaa kwa jamii yote zinatumika kwenye shughuli za muda mfupi ambazo zinawanufaisha watu wachache tu.

Hoja zao ni kwamba kwa hali ya sasa ya uchumi, mkono wa ukarimu wa Rais unapaswa kuwa wa tahadhari ili kuepuka kudhoofisha kibubu cha taifa, ambacho bado kinakabiliwa na changamoto nyingi.

Lakini pia wapo wanaodhani huu ni mkakati tu wa kisiasa ili kushawishi wapiga kura. Kwamba taasisi, vikundi tofauti pamoja na watu binafsi wanaopitiwa na mkono mrefu wa Rais wanawekwa kwenye 'kumi na nane' na pia huenda ni mkakati wa kuendelea kubaki miyoni na vinywani mwa wapiga kura kwa chapa ya "Rais mwenye moyo safi."

Wewe mtazamo wako ni upi?

ZAWADI, MISAADA NA MICHANGO ILIYOTOLEWA NA RAIS SAMIA TANGU 2021​

😂😂😂😂

Tuwekee na kazi za Ibrahim Traore ili tulinganishe
 

Tangu Rais Samia alipopokea kijiti cha uongozi wa nchi mwaka 2021, amesifiwa na baadhi ya Watanzania kama Mama mwenye moyo wa ukarimu, hususan katika kujitoa kwa hali na mali pale anapodhani anaweza kusaidia kwa kutumia fedha ili kuhakikisha mambo fulani yanaenda vizuri. Wanaona kuwa huu ni mfano wa uongozi wa kujali na una manufaa kwa jamii.

Baadhi yao wanasema kuwa, ikiwa Rais angeamua kutumia pesa hizo kwa matumizi binafsi badala ya kugawana na wananchi, hakika angeweza kufanya hivyo bila matatizo yoyote. Wanaamini kuwa ni jambo la kufurahisha kwamba Rais anachagua kugawana rasilimali na wananchi wake.

Hata hivyo, kuna kundi la wananchi linaloamini kwamba ukarimu huu umekuwa mzigo kwa uchumi wa taifa. Wanaona kwamba fedha hizi, ambazo ni matokeo ya jasho la Watanzania, zinatumika kinyume na matarajio, hasa ikizingatiwa kuwa nchi bado inakabiliwa na changamoto za utoaji wa huduma muhimu kwa wananchi wake. Wananchi hawa wanahisi kwamba fedha zinazopaswa kuelekezwa kwenye miradi ya maendeleo ya muda mrefu na yenye manufaa kwa jamii yote zinatumika kwenye shughuli za muda mfupi ambazo zinawanufaisha watu wachache tu.

Hoja zao ni kwamba kwa hali ya sasa ya uchumi, mkono wa ukarimu wa Rais unapaswa kuwa wa tahadhari ili kuepuka kudhoofisha kibubu cha taifa, ambacho bado kinakabiliwa na changamoto nyingi.

Lakini pia wapo wanaodhani huu ni mkakati tu wa kisiasa ili kushawishi wapiga kura. Kwamba taasisi, vikundi tofauti pamoja na watu binafsi wanaopitiwa na mkono mrefu wa Rais wanawekwa kwenye 'kumi na nane' na pia huenda ni mkakati wa kuendelea kubaki miyoni na vinywani mwa wapiga kura kwa chapa ya "Rais mwenye moyo safi."

Wewe mtazamo wako ni upi?

ZAWADI, MISAADA NA MICHANGO ILIYOTOLEWA NA RAIS SAMIA TANGU 2021​

Hizi hela ni kodi zetu eti! jambazi anajimegea kutafuta kura na misifa! 2025 mwaka wa kuangamiza mijambazi! TAL we trust you!
 
Duh! milioni 200 kujenga Makanisa, milioi 10 kwa watoto yatima!
Langu jicho mie!
 
Hizo ndizo gharama za mauzo ya nchi!
Bandari zote zimeenda
Misitu yote imeenda
Airports zimeenda
Madini yameenda
Mbuga zimeenda hasa baada ya uchimbaji wa madini kuwepo katikati ya mbuga!!
Tanganyika is no more!!
There is only a small island of Zanzibar!!
We are doomed!!
These reptiles have to go or else---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Hata damu yetu haina uwezo wa kuleta ukombozi kamili tufanyeje?
Ona JWTZ wanawapa mabasi yao bure!!
Polisi wamepewa vile vile vifaa vipya kutushughulikia wakati wa 2025 elections!!
Tuanze haraka Tundu upo??? Diaspora karibuni tupigane!!
 
Hizo ndizo gharama za mauzo ya nchi!
Bandari zote zimeenda
Misitu yote imeenda
Airports zimeenda
Madini yameenda
Mbuga zimeenda hasa baada ya uchimbaji wa madini kuwepo katikati ya mbuga!!
Tanganyika is no more!!
There is only a small island of Zanzibar!!
We are doomed!!
These reptiles have to go or else---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Hata damu yetu haina uwezo wa kuleta ukombozi kamili tufanyeje?
Ona JWTZ wanawapa mabasi yao bure!!
Polisi wamepewa vile vile vifaa vipya kutushughulikia wakati wa 2025 elections!!
Tuanze haraka Tundu upo??? Diaspora karibuni tupigane!!
Na bandari ya Bagamoyo imeenda!!
 
'Zawadi' anazotoa Rais Samia na kusifiwa ana moyo wa ukarimu siyo wala si ishara yakuwa na moyo wa ukarimu. Kwanza, siyo moyo wa ukarimu kwa sababu hiyo hela anayotoa siyo ya kutoka mfukoni kwake, bali fedha ya walipa kodi ambayo inatakiwa ipangwe na Bunge ili kuweka uwiano wa wananchi wote kunufaika nayo. Pili, hizo anazoita zawadi huzitoa kwa mkakati wa kuchangua makundi maalum yenye mvuto kwa jamii, kama vile vikundi vya michezo(hasa mpira), akina mama, bodaboda, nk. Mkakati huu ni mkakati wa kisiasa, kwa maana kwamba anaandaa makundi ya watu watakaompigia kampeni wakati wa uchaguzi. Ilimpasa aweke mkakati huo wa kuwaziba watu macho na akili wasione madhaifu yake, kwa sababu tangu alipopewa idhini ya kuongoza Serikali ya mpito, toka kipindi cha Uchaguzi wa Awamu ya Tano kuelekea uchaguzi wa Awamu ya Sita, yeye alijinadi kuwa ndiye 'Awamu ya Sita'! Sote tunakumbuka alipohojiwa kwa mara ya kwanza (tuseme kwa kushtukizwa) na Mtangazaji wa BBC kuhusu nia yake ya kugombea Urais katika Uchaguzi wa 2025, alijibu hatarajii kugombea. Lakini gazeti la Uhuru, gazeti la Chama chake, lilipoandika taarifa hiyo, aliagiza lifungiwe kwa muda wa wiki moja! Nini maana yake hiyo, alielewa wazi kwamba kiuhalali hakustahili kugombea, lakini, bila shaka, kwa kushinikizwa na nguvu ya nyuma ya pazia, alibadilisha mawazo, akaweka nia ya kugombea. Katika mkutadha sintofahamu ya hatua hayo aliyoichukuwa dhidi ya gazeti la Chama chake, ilibidi aanze tangu mwanzo kuweka mikakati ya kuandaa makundi ya kumfanyia kampeni. Na hii inaonekana wazi kwa hatua aliyochukuwa kujitangaza mgombea pekee wa CCM, na hivyo kuanza kampeni kabla ya ratiba rasmi ya Tume ya Uchaguzi ya kuruhusu wagombea kutangaza nia, kujaza fomu, na kuanza kampeni. Kwa sababu jamii imefunikwa macho na akili, haonekani kama anakwenda kinyume na kanuni za uchaguzi; ikitokea mtu akahoji, anachukuliwa hatua kali, kwa nini anahoji uamuzi wa Rais na Mwenyekiti wa Chama Tawala! Kwa ufupi, hizo siyo zawadi, na kwa vile zinatolewa na Rais, hatuwezi kusema ni rushwa ya kuwashawishi wapiga kura wamchague, bali ni kifungua njia ya kuelekea kwenye kampeni.
 
Duh! milioni 200 kujenga Makanisa, milioi 10 kwa watoto yatima!
Langu jicho mie!
Kama kweli mama huyu angekuwa na moyo wa upendo kwa wananchi anaowatala, badala ya kumwaga mamilioni ya fedha za walipa kodi kwa vikundi vya watu wachache vyenye mvuto wa husia katika jamii, angeanzia kwanza kuhoji madaraka yake ya utawala, kwamba ni kwa nini anaitwa RAIS WA MUUNGANO, lakini madaraka yake kiutendaji anatawala Tanganyika peke yake? Je, Tanganyika, bila Zanzibar ndiyo Muungano? Je, kwa hali hiyo, haoni utawala wake siyo wa haki na demokrasia kwa sababu baadhi ya wananchi wake (tena ambao ni idadi kubwa - Tanganyika) wa hicho kinachoitwa 'Muungano', wanatawaliwa pasipo haki, kama Muungano; na raslimali zake zinapangiwa (wakati wa Vikao vya Bunge la Bujeti la huo 'muungano' usiyokuwapo) kwa uonevu kuhudumia mpango wa maendeleo ya nchi mbili (Tanganyika na Zanzibar). Lakini wakati huo huo, wananchi wengine wanadaiwa kuwa ni raia wake pia (tena idadi ndogo - Zanzibar) wanajitawala wenyewe na raslimali za nchi yao (Zanzibar) zinapangiwa (wakati wa Vikao vya Bunge lao la Bajeti) kwa huduma za maendeleo ya nchi yao tu! Na kama kweli ana moyo wa huruma kwa wananchi wake, kama anavyojaribu kujinasibu, kwa nini tangu ameingia madarakani (kama Rais, na hata wakati alipokuwa Makamu wa Spika wa Bunge la Katiba), amekataa katakata kupitisha RASMU YA KATIBA MPYA AMBAYO INAWAPA WANANCHI WA TANGANYIKA UHURU WA KUWA NA SERIKALI YAO ILI NAO WAJITAWALE WENYEWE (NDANI YA MUUNGANO) KAMA ZANZIBAR ILIVYO? Kwa hiyo upendo na ukarimu anaojaribu kuonyesha ni mbinu za kujitafutia njia ya kuendelea kuitawala Tanganyika kama koloni (ama kwa lugha ya kumheshimu, kama kitegauchumi cha) la Zanzibar.
 
Kama kweli mama huyu angekuwa na moyo wa upendo kwa wananchi anaowatala, badala ya kumwaga mamilioni ya fedha za walipa kodi kwa vikundi vya watu wachache vyenye mvuto wa husia katika jamii, angeanzia kwanza kuhoji madaraka yake ya utawala, kwamba ni kwa nini anaitwa RAIS WA MUUNGANO, lakini madaraka yake kiutendaji anatawala Tanganyika peke yake? Je, Tanganyika, bila Zanzibar ndiyo Muungano? Je, kwa hali hiyo, haoni utawala wake siyo wa haki na demokrasia kwa sababu baadhi ya wananchi wake (tena ambao ni idadi kubwa - Tanganyika) wa hicho kinachoitwa 'Muungano', wanatawaliwa pasipo haki, kama Muungano; na raslimali zake zinapangiwa (wakati wa Vikao vya Bunge la Bujeti la huo 'muungano' usiyokuwapo) kwa uonevu kuhudumia mpango wa maendeleo ya nchi mbili (Tanganyika na Zanzibar). Lakini wakati huo huo, wananchi wengine wanadaiwa kuwa ni raia wake pia (tena idadi ndogo - Zanzibar) wanajitawala wenyewe na raslimali za nchi yao (Zanzibar) zinapangiwa (wakati wa Vikao vya Bunge lao la Bajeti) kwa huduma za maendeleo ya nchi yao tu! Na kama kweli ana moyo wa huruma kwa wananchi wake, kama anavyojaribu kujinasibu, kwa nini tangu ameingia madarakani (kama Rais, na hata wakati alipokuwa Makamu wa Spika wa Bunge la Katiba), amekataa katakata kupitisha RASMU YA KATIBA MPYA AMBAYO INAWAPA WANANCHI WA TANGANYIKA UHURU WA KUWA NA SERIKALI YAO ILI NAO WAJITAWALE WENYEWE (NDANI YA MUUNGANO) KAMA ZANZIBAR ILIVYO? Kwa hiyo upendo na ukarimu anaojaribu kuonyesha ni mbinu za kujitafutia njia ya kuendelea kuitawala Tanganyika kama koloni (ama kwa lugha ya kumheshimu, kama kitegauchumi cha) la Zanzibar.
Uzi wa kipuuzi, ye ndio rais wa kwanza wa Muungano? Chuki zingine ni km uwehu
 
Back
Top Bottom