Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magonjwa mtambuka. Kwa nini ulijiita magonjwa mtambuka? Ulishawahi kuugua ugonjwa wowote wa akili? Je jina la magonjwa mtambuka ulipewa na wazazi wako au ulilipata baada ya kuugua ugonjwa wa akili?Biashara. Kuna mtu huko ufipa keshakula tenda ya kushona mavazi mapya.
Na wewe kwa nini ulijiita konda msafi, kwa mfano?Magonjwa mtambuka. Kwa nini ulijiita magonjwa mtambuka? Ulishawahi kuugua ugonjwa wowote wa akili? Je jina la magonjwa mtambuka ulipewa na wazazi wako au ulilipata baada ya kuugua ugonjwa wa akili?
Shikamoo babu. Unajua wewe mzee mimi nakuheshimu sana sema tu huwa unapenda mambo ya ukijana jana ndio maana hata mimi huwa nakuletea masihara. Anyway hebu jibu maswali niliyokuuliza halafu nakuongezea na swali la nyongeza. Mwaka gani uliugua ukichaa?Na wewe kwa nini ulijiita konda msafi, kwa mfano?
Marahaba, lakini sina muda wa kupoteza. Umenisikia?Shikamoo babu. Unajua wewe mzee mimi nakuheshimu sana sema tu huwa unapenda mambo ya ukijana jana ndio maana hata mimi huwa nakuletea masihara. Anyway hebu jibu maswali niliyokuuliza halafu nakuongezea na swali la nyongeza. Mwaka gani uliugua ukichaa?
kumbe!! wewe ulidhani zinashuka kama nvuaBiashara. Kuna mtu huko ufipa keshakula tenda ya kushona mavazi mapya.
Mwendawazimu mwingine huyu, mnavyokua majizi pale kwenu mmewadhulumu Startv, Mmewadhulumu Efm na mlimdhulumu Shigongo, ulidhani basi kila MTU ana hulka ya wizi kama nyieBiashara. Kuna mtu huko ufipa keshakula tenda ya kushona mavazi mapya.
Mwendawazimu mwingine huyu, mnavyokua majizi pale kwenu mmewadhulumu Startv, Mmewadhulumu Efm na mlimdhulumu Shigongo, ulidhani basi kila MTU ana hulka ya wizi kama nyieBiashara. Kuna mtu huko ufipa keshakula tenda ya kushona mavazi mapya.
Wana jezi ya nyumbani na ugenini. As long as rangi zao zipoNimeona clip ya Mbowe anasema chanjo iwe lazima ..nimeshangazwa na mavazi..
Ni mavazi rasmi ya Chadema?
Mbona kama yanafanana na Eff ya Malema?...
Yanaashiria nini??..
Wenye clips au picha naomba muweke..
Nimeona clip ya Mbowe anasema chanjo iwe lazima ..nimeshangazwa na mavazi..
Ni mavazi rasmi ya Chadema?
Mbona kama yanafanana na Eff ya Malema?...
Yanaashiria nini??..
Wenye clips au picha naomba muweke..
Nilivoona lilevazi nkajua kifuatacho nikumpanda mama kichwani kma anavofanya malemaNimeona clip ya Mbowe anasema chanjo iwe lazima ..nimeshangazwa na mavazi..
Ni mavazi rasmi ya Chadema?
Mbona kama yanafanana na Eff ya Malema?...
Yanaashiria nini??..
Wenye clips au picha naomba muweke..
EFF sio main opposition ZA.Nimeona clip ya Mbowe anasema chanjo iwe lazima ..nimeshangazwa na mavazi..
Ni mavazi rasmi ya Chadema?
Mbona kama yanafanana na Eff ya Malema?...
Yanaashiria nini??..
Wenye clips au picha naomba muweke..
Hakuna cha uwendawazimu wala nini. Imekuchoma sio?Mwendawazimu mwingine huyu, mnavyokua majizi pale kwenu mmewadhulumu Startv, Mmewadhulumu Efm na mlimdhulumu Shigongo, ulidhani basi kila MTU ana hulka ya wizi kama nyie
Kamanda acha jazbaMwendawazimu mwingine huyu, mnavyokua majizi pale kwenu mmewadhulumu Startv, Mmewadhulumu Efm na mlimdhulumu Shigongo, ulidhani basi kila MTU ana hulka ya wizi kama nyie