Hizi nguo kama za EFF ya Malema Afrika Kusini ndiyo CHADEMA wanavaa siku hizi?

Hizi nguo kama za EFF ya Malema Afrika Kusini ndiyo CHADEMA wanavaa siku hizi?

Nimeona clip ya Mbowe anasema chanjo iwe lazima nimeshangazwa na mavazi.

Ni mavazi rasmi ya Chadema?

Mbona kama yanafanana na Eff ya Malema?

Yanaashiria nini?

Wenye clips au picha naomba muweke.
Kabla ya kujadili vazi la chadema, maana vazi ni vazi tu, tunamtaka uyo mtu wenu atwambie tangu lini tz imekua ya ukoo wake, kwamba Sasa anaweza amua nani anapashwa kaa ndani ya nchi au kuamia nchi nyingine , kisa tozo mbili katika bidhaa moja,
 
NI KWELI WANAVAA KAMA AKINA MALEMA

1626781430955.png
 
Mbowe naye anatuburuza bwana! Yameiga kwa Malema!!
Nyie Mbowe naona mnamuogopa saana maana hayo mawe mnayorusha ingekuwa ndio live sijui ingekuaje ...
Jibuni hili swali Kisha mkalale
Mti wenye matunda ndio ..................
 
Magonjwa mtambuka. Kwa nini ulijiita magonjwa mtambuka? Ulishawahi kuugua ugonjwa wowote wa akili? Je jina la magonjwa mtambuka ulipewa na wazazi wako au ulilipata baada ya kuugua ugonjwa wa akili?
Itakuwa na file lake kule Dodoma hosp flani
 
Hayo mavazi ni fashion Kwa vyama vya upinzani Africa Kwa Sasa yakidhaniwa kuwavutia vijana.

Wine naye anatumia hayo hayo.

Ila Kwa CDM yatawafaa badala ya Yale masweta yenye Rangi nyingi kama Christmas tree.
 
Nimeona clip ya Mbowe anasema chanjo iwe lazima nimeshangazwa na mavazi.

Ni mavazi rasmi ya Chadema?

Mbona kama yanafanana na Eff ya Malema?

Yanaashiria nini?

Wenye clips au picha naomba muweke
 
Nimeona clip ya Mbowe anasema chanjo iwe lazima nimeshangazwa na mavazi.

Ni mavazi rasmi ya Chadema?

Mbona kama yanafanana na Eff ya Malema?

Yanaashiria nini?

Wenye clips au picha naomba muweke.
Aliyeanzisha kuvaa magwanda alikuwa Dr. Slaa, kutokana na harakati zake na safari ndefu za mikutano ya kisiasa, nadhani Mbowe hataki tena kuwa na kumbukumbu yake.

Hizi zilikuwa ni safari suit, hasa watalii walizipenda sana , baada ya kufanywa kuwa sare za chama watalii waliacha kuzivaa kwa kuepuka kuonekana wanaegemea chama fulani na hata wananchi wa kawaida wasio wana CHADEMA wameacha kuzivaa hasa ,mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.
 
A
Nimeona clip ya Mbowe anasema chanjo iwe lazima nimeshangazwa na mavazi.

Ni mavazi rasmi ya Chadema?

Mbona kama yanafanana na Eff ya Malema?

Yanaashiria nini?

Wenye clips au picha naomba muweke.
Akili ya Mbowe na viongozi wengi wa CHADEMA ni kama akili za wanamuziki wa Bongofleva! Hawana mipango ya muda mrefu wao ni kufuata kinacho - hit kwa wakati huo. Mavazi na kofia wameiga kwa Bob wine wanadhani itasaidia kuwa- boost! Wajinga sana hawa na Watanzania wanawaangalia tu!
Wameshindwa kujenga taasisi imara na ku- mentor viongozi ! Ona juzi kati hapa viongozi wao walikuwa wakijiuza na kununuliwa mithili ya makahaba wa kona baa / ambiance!
Badala ya kutulia ,kufanya tathmini na kijipanga vizuri baada ya Magufuli kupumzika , yenyewe yameanza kurukia matukio na amsha amsha za kijinga!
Mama Samia tandika haya majinga mpaka yajitambue,ukiwalegezea utavuna mabua!
 
Back
Top Bottom