Hizi ni aibu 6 bora, ongeza za kwako

Hizi ni aibu 6 bora, ongeza za kwako

mgeni kasahau simu alafu unaipekua inbox yake upo katikati unasoma text zake ghafla calls zinaingia na yeye anarudi kuifata simu yake anakuta inalia akipokea ataongea wee ikikata sehemu ya call inaondoka akiangalia kilichopo infront ya screen anakuta ulikuwa katikati ya msg ukisoma.

ni aibu sana.
 
1. Mgeni kufumwa akionja mboga kwenye hotpot
2. Kufumwa ukijaribu viatu vya mgeni, au sox
3. Mgeni kukufumania ukichungulia briefcase lake, ( read handed)
4. Unajifanya unaongea na simu, kumbe unazuga mbele za watu ghafla, simu inaita ukiwa kwenye mazungumzo feki
5. Umetumia miezi 4 kumfatilia na kujisifia kitandani, Ile unaweka tu ndani ya dakika 1 bao.
6. Kuwa na vyeti fyeki Wakati ulikuwa kinara kazini wa kucheka wenzio.
Unachekeshaa aiseee
 
1. Mgeni kufumwa akionja mboga kwenye hotpot
2. Kufumwa ukijaribu viatu vya mgeni, au sox
3. Mgeni kukufumania ukichungulia briefcase lake, ( read handed)
4. Unajifanya unaongea na simu, kumbe unazuga mbele za watu ghafla, simu inaita ukiwa kwenye mazungumzo feki
5. Umetumia miezi 4 kumfatilia na kujisifia kitandani, Ile unaweka tu ndani ya dakika 1 bao.
6. Kuwa na vyeti fyeki Wakati ulikuwa kinara kazini wa kucheka wenzio.
Dah...mbona hakuna aibu ya maana hapo? Zote hizo huhitaji zaidi ya sekunde 4 kupata sababu ya kijitetea na mkawa poa tu[emoji13] [emoji13]
 
Kupora ushindi wa maalim Seif Sharif Hamad halafu baada ya kurudiwa kwa uchaguzi bila ushiriki wa upinzani unajisifu kuwa umeshinda ushindi wa kishindo kwa zaidi ya 92%, na umeshinda madiwani na wawakilishi wote huku ukiwa macho makavu kabisa na watu wanakuangalia
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] una 7m za faini yq uchochezi?
 
Back
Top Bottom