Hizi ni baadhi tu ya faida za kusoma vitabu

Read the best books first or you may not have a chance to read then at all.
 
Napenda sana kusoma Biography aiseee
Miaka ya nyuma wakati natafuta kutegua kitendawili cha "Kwanini nchi zingine ni tajiri na nchi zingine maskini" na kitendawili cha "Historia ya ulimwengu & MTU MWEUSI".....baada ya pitapita ya huku na huko articles,magazine,forums,documentary,films na books,kitendawili kikafunuliwa mithili ya jigsawpuzzle..Ulivyoandika wapenda biography ukanikumbusha singapore story na benevolent dictator Lee Yuan Kew wake,yeye katika vitabu vyake,interview anasema anapenda kusoma sana autobiograhy na biography.
 
Kitabu kinauwezo wa kukupeleka kwenye ulimwengu wa kale kabisa wa Socrate na Plato
 
Inategemea pia na aina za vitabu mtu asomavyo. Kuna baadhi ya vitabu ni hasara kwa ukuaji wa ubongo
 
Uzi wako ni mzuri sana, ila naamini utapata like yangu tu au chache sana. Kusoma vitabu kwa wengi wetu kunahitaji kufanyika maombi kwanza.
Kwani ameandika ili apate likes nyingi?
 
Jamani lkn kusoma kazi pia! mwee!! labda nisome ''kikosi cha kisasi!.... kikomo! six days war! ubeberu utashindwa,.....one stp forward'' JF udaku, G/forum, Epigate, Quora! MICHUZI....aaaaah!

yaani hapo nitavimaliza dakika sifuri! sili, siogi, silali wataniona mchawi tu uongo bujibuji!

lkn unambia eti nisome KIM IL SUNG na Demokrasia ya juche?? UJamaa by jk nyerere!! au eti kitabu kimeandikwa Mapinduzi Matukufu ya Ayatollah Khamenei? maweee!! utaniua nakwambia!

kwanza naona km unani sinyaisha ubongo!! miayo yake sasa!! saana nitalala hapooo! nikiamka ntaenda kula vihepe tu!
 
Ukweli mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…