Hizi ni faida 10 za kuwa Single ongezea zako

Yani nitamfua bila hata ya sabun.
Mii mtu mchafu mchafu ghetto langu huwa mwenyewe anajistukia..

Sitaki utani aiseee mi nina misimamo yangu mikali mnooo...
Kuna kijko cha kulia na kujiko cha kukwangulia ukoko..
Sasa ole wako uchanganye ..

Alafu anatokea kachanganya ndoo ya chooni na maji ya kunywa..
Huyo napiga na nampanda kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…