Hizi ni faida 10 za kuwa Single ongezea zako

Hakuna faida yoyote. Naumwa hakuna hata wa kunisogezea maji. Jana usiku nilizidiwa nikaanza kuamsha majirani wakati ningekua na mtu ndani ndio angekua wa kwanza kunisaidia.
Vipi kama ndo hakujali kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…