Hizi ni jezi tano zinazovaliwa sana Tanzania

Hizi ni jezi tano zinazovaliwa sana Tanzania

Haya wale wazee wa outfits ukiitaka mzigo usikae dukani

Watu wengi wanavaa jezi km mtoko na jezi zinazotamba sana kwa sasa ni

1.Barcelona (ule uzi rangi ya gold na poster ya spotfy ni hatari na unakaa mwilini)

2. Manchester united (uzi mzito upo km sweta ivi na chini umekatwa kwa style)

3 Wolves hii timu ya Epl uingereza,uzi wake ni guru Tanzania ( huu uzi ni wa njano ile ya kuvutia na unashika mwili km sweta) timu haina mafanikio ila uzi wake haushikiki sokoni

4.PSG ule uzi mweupe unavaliwa sana bongo ni uzi mkali

5. Borussia Dortimund hawa kwenye jezi miaka zaidi ya saba wanakimbiza Tanzania

Furusa kwenu wapambanaji na wajasiriamali
Yaani unataka kusema hizi jezi ndiyo zinavaliwa zaidi nchini kuliko hata zile za Yanga na simba!! Ok. Naheshimu utafiti wako.
 
Haya wale wazee wa outfits ukiitaka mzigo usikae dukani.

Watu wengi wanavaa jezi kama mtoko na jezi zinazotamba sana kwa sasa ni;

1. Barcelona (ule uzi rangi ya gold na poster ya spotfy ni hatari na unakaa mwilini)

2. Manchester united (uzi mzito upo km sweta ivi na chini umekatwa kwa style)

3. Wolves hii timu ya Epl uingereza,uzi wake ni guru Tanzania (huu uzi ni wa njano ile ya kuvutia na unashika mwili km sweta) timu haina mafanikio ila uzi wake haushikiki sokoni.

4. PSG ule uzi mweupe unavaliwa sana bongo ni uzi mkali.

5. Borussia Dortimund hawa kwenye jezi miaka zaidi ya saba wanakimbiza Tanzania.

Fursa kwenu wapambanaji na wajasiriamali.
Hujaweka Ajax away
9CC5DF0B-7C1B-4A53-BE74-11EC3D4DC058.jpeg
 
Chai ,bila ajax , Arsenal na Chelsea uzi huu ni batili umepatia kwenye Dortmund na Man U tu
 
Kuna hii jezi ya Chelsea asee haupiti sehemu bila kuiona imevaliwa.
Screenshot_20230409-202344_1.jpg
 
Ndio nimesema ajax hass uzi wao ule bob marley unakimbiza top ten haikosi

Ila arsenal haivaliwi sana
Chai ,bila ajax , Arsenal na Chelsea uzi huu ni batili umepatia kwenye Dortmund na Man U tu
 
Wolves wanatisha bonge la Uzi ila Umesahau Uzi wa Kaizer jamaa ana soko sana tz sema anaachia taratibu nyuzi zake na Orlando ule mweusi nao ni uzi
 
Back
Top Bottom