Kitonga imezidi mi nishapita iringa to Dodoma ,songea to dar.njia ya kwenda Dodoma kun kona ila sio nyingi japo ni hatari pia ila kitonga naogopa hadi leoMkuu funga safari utoke iringa kwenda dodoma au dodoma kwenda iringa via Mtera utakuja kuelezea hiyo kitonga ni cha mtoto
Kona ya BwiruHabari jamvi?, kwa wale wazurulaji nchini
Ukizunguka nchini utakutana na sehemu maarufu , kimandhari na kimuonekano.
Leo naongelea sehemu za barabara nchini ambazo Zina Kona Kali na sehemu ya milima, nataja chache nyingine ongeza
1. Kona za Iyovi - ukitoka tu mikumi kuelekea Iringa utaziona Kona hizi, ni Tamu Sana
2. Kona za kitonga - hizi zinapatikana kutoka Moro kwenda iringa.
3. Kona za Kolo- hizi zinapatikana kutoka kondoa kuelekea babati
4.kona za Nyang'olo - hizi zinapatikana unapokaribia kufika iringa kutokea dodoma
5. Kona za Lukumbulu songea huko
6. Kona za msambiazi, korogwe kuelekea mombo
7. Kona za Mombo kuelekea Soni - Lushoto
8.Kona za Mbeya kwenda Chunya
9. Kona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
10. Kona za Hedaru - Vunta , Same
Ni Kona hatari lakini Tamu Sana, na mabasi huwa wanalala na Kona hizi kwa speed ya 120 yaani shaa.
Ongeza Kona Kali nyingine
Hapa nakubaliana na ww mkuu,cjawah kuona kona kama zile,hadi wameweka kioo kweny kona ili uone kinachotoka upande wa piliMombo-Soni-Lushoto,
Mara ya kwanza waweza useme huku sirudi tena.View attachment 1764642
Kwakwel hapo kweny break za miguu ni nomaaHuu Uzi bila picha Ni chai[emoji116]View attachment 1764582
Habari jamvi?, kwa wale wazurulaji nchini
Ukizunguka nchini utakutana na sehemu maarufu , kimandhari na kimuonekano.
Leo naongelea sehemu za barabara nchini ambazo Zina Kona Kali na sehemu ya milima, nataja chache nyingine ongeza
1. Kona za Iyovi - ukitoka tu mikumi kuelekea Iringa utaziona Kona hizi, ni Tamu Sana
2. Kona za kitonga - hizi zinapatikana kutoka Moro kwenda iringa.
3. Kona za Kolo- hizi zinapatikana kutoka kondoa kuelekea babati
4.kona za Nyang'olo - hizi zinapatikana unapokaribia kufika iringa kutokea dodoma
5. Kona za Lukumbulu songea huko
6. Kona za msambiazi, korogwe kuelekea mombo
7. Kona za Mombo kuelekea Soni - Lushoto
8.Kona za Mbeya kwenda Chunya
9. Kona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
10. Kona za Hedaru - Vunta , Same
Ni Kona hatari lakini Tamu Sana, na mabasi huwa wanalala na Kona hizi kwa speed ya 120 yaani shaa.
Ongeza Kona Kali nyingine
Sasa huko Dom si ndio kuna Nyang'olo.
Au hukuiona.
Mleta mada acha utani. Ebu zitendee haki kona Kali sana za kawetire (kona za mkoa), kutoka Mbeye mjini kwenda Chunya. Ndiyo sehemu yenye "high elevation" kushinda kona zote za bara bara kuu Tanzania. Kutoka kileleni mwa bara bara mpaka chini ya bonde la usangu ni umbali wa "Kilometers".
Namba moja ni kona za kwenda MUZE kutokea Sumbawanga. Hatari sana.
Kona za kutoka Njombe - Madaba - Songea
Mlima Nyoka[emoji216]
Daaa Kipindi nasoma Kwiro sekondari hizo Kona za mlima ndororo nilikuwa sizipendi panatisha Sana paleKona za Mlima Ndororo -Mahenge na Mbangayao huko huko Mahenge....
Narudia kusisitiza
Mteremko wa kushuka Bondeni Rukwa kutoka Sumbawanga kwenda MUZE ni #1 kwa hatari.
Nimeambatanisha picha ya kutokea angani.
Mteremko gradient yake ni almost 45 degrees, Bus za kawwida ama Fuso za kawaida haziwezi kupita isipokuwa zile fupi fupi. Kuna kona kali almost nyuzi miatatu hamsini hivi.
Bàadhi ya madereva wapo radhi wwzunguke 180km plus kufika Muze kutokea Sumbawanga kuliko kukatisha hapo ambapo ni chini ya km 60.
Kwa madereva walio safiri sehemu mbalimbali Tz na wamepita njia hiyo watakubaliana nami, pia kwa abiria ambao wanaujua mlima huo na wanazijua njia nyingine ikiwemo ile ya Tukuyu, Makete, Lushoto na Manyara watashuhudia kuwa kushuka MUZE ni namba moja.
Ingawaje kwa picha hiyo huwezi kuona vizuri lakini ukipita utajuwa kwa nini nasema ni hatari.
Kitonga, Kigoma, Lukubulu, Gangitoroli kote ni cha mtoto.View attachment 1765386
Tunazungumzia mazingira ya TZ.Yote ya yote Kona Ni hizi huku. View attachment 1769743View attachment 1769744
Hii ni China natamani sana kwenda huko. Mwaka huu au ujao nutakwenda Peru au Argentina.Yote ya yote Kona Ni hizi huku. View attachment 1769743View attachment 1769744