Vipi mananii huwa hayagongi chupiMi kona za kitonga aah sijawahi kuzioea kabisa, hasa nikiwa natoka Iringa to Moro (kushuka) huwa nahisi moyo unahama mahali pake huku maini kama yanatoka hivi, aah na madereva sijui ndiyo wamezoea hiyo speed yake sasa🤔 huwa nabaki nasali tu na kuminya breki za miguu😀
Hayo yagonga boxer yako tuVipi mananii huwa hayagongi chupi
Hahaahaa, noma sana.Duh! Nazani ulihisi haja kubwa inatoka[emoji23][emoji23][emoji23]
Kona za kokirie, komakundi, kisambo msae hadi mwika napo pana kona si haba!UKIWA UNATOKA MAMSERA KAMA UNAKUJA ROMBO TARAKEA KUNA KONA HATARI SANA JAPO NI SALAMA.
MÊmENtO HoMO
Kutoka moshi kuja dar es salaamu kona ziko 2 tuu ya njia panda ya himo naya segera tuu huko kwingine hakuna kona sisi madereva tunanyoosha tuuHabari jamvi?, kwa wale wazurulaji nchini
Ukizunguka nchini utakutana na sehemu maarufu , kimandhari na kimuonekano.
Leo naongelea sehemu za barabara nchini ambazo Zina Kona Kali na sehemu ya milima, nataja chache nyingine ongeza
1. Kona za Iyovi - ukitoka tu mikumi kuelekea Iringa utaziona Kona hizi, ni Tamu Sana
2. Kona za kitonga - hizi zinapatikana kutoka Moro kwenda iringa.
3. Kona za Kolo- hizi zinapatikana kutoka kondoa kuelekea babati
4.kona za Nyang'olo - hizi zinapatikana unapokaribia kufika iringa kutokea dodoma
5. Kona za Lukumbulu songea huko
6. Kona za msambiazi, korogwe kuelekea mombo
7. Kona za Mombo kuelekea Soni - Lushoto
8.Kona za Mbeya kwenda Chunya
9. Kona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
10. Kona za Hedaru - Vunta , Same
Ni Kona hatari lakini Tamu Sana, na mabasi huwa wanalala na Kona hizi kwa speed ya 120 yaani shaa.
Ongeza Kona Kali nyingine
Na kona kituo mbele ya mataa ya rombocorner bar,sinza!!
Kweli mdau.Kona za kokirie, komakundi, kisambo msae hadi mwika napo pana kona si haba!
Hiyo kulala na 120kph sio kweli.Habari jamvi?, kwa wale wazurulaji nchini
Ukizunguka nchini utakutana na sehemu maarufu , kimandhari na kimuonekano.
Leo naongelea sehemu za barabara nchini ambazo Zina Kona Kali na sehemu ya milima, nataja chache nyingine ongeza
1. Kona za Iyovi - ukitoka tu mikumi kuelekea Iringa utaziona Kona hizi, ni Tamu Sana
2. Kona za kitonga - hizi zinapatikana kutoka Moro kwenda Iringa.
3. Kona za Kolo- hizi zinapatikana kutoka Kondoa kuelekea Babati
4.Kona za Nyang'olo - hizi zinapatikana unapokaribia kufika Iringa kutokea Dodoma
5. Kona za Lukumbulu Songea huko
6. Kona za Msambiazi, Korogwe kuelekea Mombo
7. Kona za Mombo kuelekea Soni - Lushoto
8.Kona za Mbeya kwenda Chunya
9. Kona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
10. Kona za Hedaru - Vunta, Same
Ni Kona hatari lakini Tamu Sana, na mabasi huwa wanalala na Kona hizi kwa speed ya 120 yaani shaa.
Ongeza Kona Kali nyingine
Kabisa mkuu iyo ya Chunya inaitwa Kona ya Mkoa hatari sana wazee wakuteka ndio ilikuwa maskan pao apoKona hatari ni kona za kutoka Mbeya kwenda Chunya. Kona nyingine inaitwa Gangi tololi, kutoka Njombe kwenda Ludewa.
Nilitaka nishangae ndororo asiwepo.Kona za mlima Ndololo, Mlima nyani njia ya Ifakara-Mahenge. Kona za kuitafuta Mkamba/Sanje na Soni ukitoka Mikumi kwenda Ifakara.
Hii ilinifirisi. Nimetoka kununua pulling scania. Ikapakia mzigo mara ya kwanza kwenda Malawi. Bahati mbaya bima 3rd party. Ilitumbukia hapo sikuokota kitu.Kuna kona moja matata kutoka Mbeya kuelekea Malawi imepewa jina Uwanja wa ndege ni balaa,R.I.P nyingi zilipatikana pale hasa kwa wageni enzi hizo hadi kuna kibao cha onyokali,punguza mwendo,tembea taratibu[emoji591][emoji591][emoji591][emoji591]
Ulishawahi kutoka babati kwenda kondoa binafsi sijawahi ona kona nyingi kama zile, unatumia almost lisaa lizima kushuka kwenye zile konaHata mimi nilitarajia kukutana na Nyang'olo pale juu namba 1
Kengee kweli wewe[emoji6][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kona ya Bwiru, Mwanza