Hizi ni kona kali na milima, kwa barabara nchini, taja nyingine

Vipi mananii huwa hayagongi chupi
 
Kutoka moshi kuja dar es salaamu kona ziko 2 tuu ya njia panda ya himo naya segera tuu huko kwingine hakuna kona sisi madereva tunanyoosha tuu
 
Hiyo kulala na 120kph sio kweli.
labda huko Vunta umepataja tu ila hupafahamu kabisa na hujawahi kufika.
 
Kuna mlima Njiwa , Mbeya Vijijini kwenda chunya kupitia ifumbo, kwanza unapita msitu una mashetani na makona Makali na wachawi
 
Kuna kona moja matata kutoka Mbeya kuelekea Malawi imepewa jina Uwanja wa ndege ni balaa,R.I.P nyingi zilipatikana pale hasa kwa wageni enzi hizo hadi kuna kibao cha onyokali,punguza mwendo,tembea taratibu[emoji591][emoji591][emoji591][emoji591]
Hii ilinifirisi. Nimetoka kununua pulling scania. Ikapakia mzigo mara ya kwanza kwenda Malawi. Bahati mbaya bima 3rd party. Ilitumbukia hapo sikuokota kitu.
 
Nyang'olo ni funga kazi ,Kona zaidi ya 80 huku chini unaichunguli ruaha ile ,gari likichumpa tu mnakuwa asusa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…