Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

View attachment 1100607
Tanzania ina GDP ppp of 163.9 bn $(2017)
Kenya 163.3 bn $(2017)

Wewe nae sijui kiazi...

Hiyo sio GDP PPP......

Hiyo ni GDP tu.....(Pato Ghafi)

Lazima ugawanye kwa idadi ya watu upate PPP......hapo ndio wanapotuzidi maana sisi lipopulation letu likubwa....

Tunajenga kipato tunagawana wengiiiiiii.....which make us below them in PPP....

Tuna idadi kubwa ya watu hawafanyi uzalishaji.

Kenya wenyewe wachache ila wanatoa pato ghafi kama letu ukigawanya unakuta mtu mmoja wa Kenya anapata mgao mzito zaidi ya mTZ!

Nenda tena kajifunze kusoma hizo data za WB!
 
Mihemko unayo wewe unaebisha vitu vilivyo wazi kabisa eti kisa wale Wakenya na sisi WaTZ hivyo anything bisha no matter how true it is!

Such a nonsensical approach to dialogue!

Bro,I have been to Kenya million times since I was a kid....

All my life I have been competing against Kenyans from class to business world...

Plus,from Moshi and Arusha where I'm from,with close proximity historically we know Nairobi and its people....

We know their strengths and weaknesses....Nuttin' you can teach me about them or anything...

I know them first hand.....categorically!

I can't hate them eti sababu wamenitangulia kitu fulani...that's lousy way of living!

I'm so fvcken pissed my motherfucken people in my native TZ still can't get things right ahead of Kenyans...

We have a bigger job to overtake Africa,still we tunacheza makidamakida Kenya wanatusumbua kila siku...

Fvck y'all motherfuckers ndio mnafanya Kenya wanazidi kutuzidi kila siku halafu motherfuckers you don't even care...Fvck you...again,fvck you,kashitaki kwa Jiwe!
Pumba zimeisha!! Leo hiii bongo vijana wana struggle kujiendesha kwenye private sector wewe unazungumzia kuteka soko la ajira kwenye organizations Africa
 
Waliona we nyang'au hawakutaka kuongea nawe! Hamna sehemu Tanzania hawaongei Kiswahili!
Acha unafiki wewe....

Nimetolea mfano kijiji changu hasa nachotoka...

Unaongelea kijiji changu na kukisemea unakijua?

Nakwambia ninajua watu kijijini kwangu hawaongei Kiswahili wala Kizungu,wenyewe wanajua Kichagga tu....

Hutaki andamana....

Case closed!
 
GDP PPP means Purchasing Power Parity. Mbona mimi nimesoma shule za Tanzania, za serikali na najua hilo? Yaani huji hilo halafu unabishana?
No, I know where the problem is .... Yourself.
Wyatt Mathewson
 
Pumba zimeisha!! Leo hiii bongo vijana wana struggle kujiendesha kwenye private sector wewe unazungumzia kuteka soko la ajira kwenye organizations Africa
Biashara binafsi haziajiri watu?

Au kampuni yako ni one man company?

Hiyo sio biashara,hiyo ni ajira sema umeamua kujilipa wewe mwenyewe tu!

Biashara mpaka iwe biashara,tunaita Bankable Business,lazima uajiri watu capable....

Katika soko la ajira most employable na human capital yao ni ya quality ya juu katika region yetu hii ni Wakenya na sababu zipo..

Kama unabisha utakua malaya mbovu tu mwenye visebengo.

Multinationals ni the most impactful companies,na nyingi wenzetu wanapata nafasi zaidi yetu sisi na sababu zipo.....

Hakuna mchawi.....

Tuboreshe mfumo wetu wa elimu tuwapite Kenya,tufanye social transformation watu wawe wachapakazi kuwazidi.....

Tunapata athari sana TZ.....Makampuni yote Tanzania kuna atleast Mkenya mmoja ndani anaefanya kazi aina fulani....in KE kuwakuta waTZ ni ngumu kwasababu we cant quietly cut it even hata kwa interview tu!

Hakuna short cut...

Unapoongelea hili suala kijuu juu namna hii unanishangaza sana!
 
GDP PPP means Purchasing Power Parity. Mbona mimi nimesoma shule za Tanzania, za serikali na najua hilo? Yaani huji hilo halafu unabishana?
No, I know where the problem is .... Yourself.
Wyatt Mathewson
Unanipa GDP badala ya kunipa PPP.....

Shule ulienda kusomea ujinga?

Hivi kwenye graph uliyonipa umenipa nini kwa akili yako ilivyo suspect?

Unajua wewe akili umeacha matakoni kabisa....!

Rudi kaiangalie ile graph hata sidhani kama unaielewa ile graph vizuri!
 
Unanipa GDP badala ya kunipa PPP.....

Shule ulienda kusomea ujinga?

Hivi kwenye graph uliyonipa umenipa nini kwa akili yako ilivyo suspect?

Unajua wewe akili umeacha matakoni kabisa....!

Rudi kaiangalie ile graph hata sidhani kama unaielewa ile graph vizuri!
Ay antotado!
PPP stands for Purchasing Power Parity, not Per Capita.
Anything can be quoted per capita i.e divide by population.
Familia ya daktari anayeingiza millioni 100 na ana watoto 3 na mke, huwezi kufananisha na Afande wa polisi aliye peke yake na anaingiza milioni 20 kwa mwaka.
Daktari ata-afford needs zake easily ingawa per capita income yao ni sawa.
That's why China is richer than Seychelles even though Seychelles has almost double the per capita income of China. Because, China has a humongous GDP PPP (GROSS) compared to Seychelles.

Kwa hiyo, sikuongopa, wewe tu una matatizo ya kuelewa na unaamini unachotaka. But it's known that life is cheaper in Tanzania, as a result of a higher purchasing power of the Nation in general.
We are talking about basic amenities.
I don't just talk, I quote researches.
 
Bro Mimi najuah KISWAHILI tu kisukuma au lugha yoyote sifahamu

Baba angu hajui lugha yoyote zaidi ya KISWAHILI na kiingereza tu

Nikisema lugha mama KISWAHILI usiwashwe

Alaf endelea kuwa na mashaja na elimu yangu utapata ajira

Unatia huruma ujue, yaani unakiri kwamba hujui lugha nyingine ila Kiswahili halafu uandishi wako wa hicho hicho Kiswahili ni majanga, sasa utasaidiwa vipi, basi kama umeamua hutaki kujiongeza kwenye lugha nyingine boresha uandishi wako wa Kiswahili.
Hili ndilo tatizo la idadi kubwa ya Watanzania, wengi wamedumaa kwenye lugha moja ya Kiswahili lakini na chenyewe hawakitumii ipasavyo, janga la taifa.
 
Unanipa GDP badala ya kunipa PPP.....

Shule ulienda kusomea ujinga?

Hivi kwenye graph uliyonipa umenipa nini kwa akili yako ilivyo suspect?

Unajua wewe akili umeacha matakoni kabisa....!

Rudi kaiangalie ile graph hata sidhani kama unaielewa ile graph vizuri!
Better run!
 
naona leo mchaga anawanyoosha wafuasi wa yule msukuma...bwahaaaa...
usijali...we wape ukwel..wakikataa waandamane..nimependa sana hyo...ndio manake wachaga wapo mombasa nairobi wanapambana vilivyo na biashara zao...hawajaliteka soko la jenya ila wanajaribu sana hawa jamaa..nawakubali tu...

wale vilaza wabaki kuendelea na kiswahili na uzalendo waone km wataipaisha nchi yao...bwahahaaaa
 
Unatia huruma ujue, yaani unakiri kwamba hujui lugha nyingine ila Kiswahili halafu uandishi wako wa hicho hicho Kiswahili ni majanga, sasa utasaidiwa vipi, basi kama umeamua hutaki kujiongeza kwenye lugha nyingine boresha uandishi wako wa Kiswahili.
Hili ndilo tatizo la idadi kubwa ya Watanzania, wengi wamedumaa kwenye lugha moja ya Kiswahili lakini na chenyewe hawakitumii ipasavyo, janga la taifa.
Ww jinga sikia siwezi poteza mda kuandika Kama unavyotaka
Nimezaliwa naongea KISWAHILI mpaka form 4 nimesoma KISWAHILI nkafaulu Sina haja ya kuandika kwa ufasaha Kama naandika ishu siliazi kumbe na bishana na watu ambao hata uwezo wao kufikiri na mashaka nao
 
MK254... mwenzako kasema haezi andika kiswahili fasaha katika ishu km hizi..labda awe katika ishu SILIAZI...

SILIAZI ni nn?...bwahahaa...bora akomae tu na kisukuma...manake kiswahili chenyewe kinampiga chenga ..alafu kiabaya zaidi jamaa wa english medium au wa kutoka kenya katika kampuni serious za bongo ndio atachukuliwa wa kwanza yeye atabaki na uzalendo wake tu akiwa (jobless)
 
Kama ni swala la Lugha
Je ktk East Africa nchi gani inaongoza kwa kuongea
1. Kiingereza
2. Kiswahili
 
Kiaina fulani umenilisha maneno, mimi sijasema Watanzania wote ndivyo walivyo, kunao nimefanya kazi nao wenye bidii ya sisimizi na kujituma na wenye kujiongeza, ila hao wachache hucheleweshwa sana na hilo kundi liingine ambalo bado linategemea kuburuzwa.
Nimeona kwa macho yangu Mtanzania anapambana kutoka kimaisha, anakesha akisoma na kujiongeza, lakini mwisho anaishia kutamaushwa kwa kucheleweshwa na wenzake wasioelewa ishara za nyakati.
Binadamu hubadlika kulingana na mazingira, akizungukwa na wachapa kazi naye vivyo hivyo ataenda, hebu njoo Nairobi ukutane na Wachagga huku wanavyochakarika, msimu wa Krisimasi wanaongozana kwa magari makubwa ya kifahari wakirudi kwao Moshi.
Ndivyo ilivyo pia kwa hao Wahaya unawataja, kisa wametangamana na Waganda na Wanyarwanda pale Kagera.
Bahati nzuri nimetokea Kagera. Hao wote unaowataja wapo chini ya wahaya hata kabla ya uhuru ukiwatoa waganda ambao ni kama chimbuko la wahaya wenyewe. Wahaya walifikiwa na wamisionari mapema na kutokana na nature yao kusoma kukawa rahisi zaidi. Pia nina uhakika ni moja kati ya jamii zenye diaspora kubwa Tanzania na ndio maana mashirika makubwa huongozwa au kuwa na namba yao kubwa. Hili ni kutokana na nature yao ya kuthamini profession kuzidi business

Inshort upo biased sana na hili limeonekana hata katika hii comment japo umeitilia uvuguvugu ili ionekane kuwa haupo hivyo. Kuwahusisha jamii za kitanzania kuendelea kwao na nchi za jirani tena kama Uganda ni dhahiri unatudharau toka nafsini, issue ni moja. Yawezekana Watanzania baaadhi wapo ambitious sana na hukatishwa tamaa lakini hilo ni kawaida sehemu yoyote kwa mtu naeonekana kuwa above the average maybe Kenya na Tz tumetofautiana level ya hiyo "AVERAGE" ndio maana unaona kama big issue
 
Work ethics, yaani hapa ndio tunatofautiana pakubwa na Watanzania, ni nadra sana kumpata Mtanzania anayeheshimu ratiba ya vikao, muda wa kazi, kujituma kwa kasi, yaani kwa hili wasipolifanyia kazi nch yao itaendelea kuchelewa sana. Kingine hawapendi kujiongeza, unakuta mtu na kale kadigri kake ka mwanzo, hataki kuhudhuria masomo yoyote zaidi ya hapo, hataki hata kusoma vitabu wala nini, hata kwenye eneo la kazi mtu hataki kujiongeza hata kimajukumu, yaani pale alipowekwa na kuelekezwa ndipo ataishia miaka yote.
Japo muda usio mrefu watatiririka huku kwa zile povu za kawaida, ila huo ndio ukweli ambao walishazika vichwa kama mbuni ili kujifariji. Wanampa Magufuli tabu sana, kila siku anatumbua, anateua na kutengua, anamuweka huyu huku anamleta yule huku anampeleka huyu kule lakini ndio wale wale tu, wapo wapo hapabadiliki kitu.

Wao husema vitu lazima viende kibongobongo......
Sio tunampa tabu,na yeye anajipa tabu pia.anakumbatia sana,uovu wa ccm.
Mwanzoni alkua juu ya chama,ila saivi kamezwa na chama.
Wanasema aliye juu,mngoje chini.upinzani unamngoja chini
 
Wewe nae sijui kiazi...

Hiyo sio GDP PPP......

Hiyo ni GDP tu.....(Pato Ghafi)

Lazima ugawanye kwa idadi ya watu upate PPP......hapo ndio wanapotuzidi maana sisi lipopulation letu likubwa....

Tunajenga kipato tunagawana wengiiiiiii.....which make us below them in PPP....

Tuna idadi kubwa ya watu hawafanyi uzalishaji.

Kenya wenyewe wachache ila wanatoa pato ghafi kama letu ukigawanya unakuta mtu mmoja wa Kenya anapata mgao mzito zaidi ya mTZ!

Nenda tena kajifunze kusoma hizo data za WB!
Mzee kajifunze basic economics, anachokuambia na ulichojibu ni vitu viwili tofauti.

Nilikuquote lakini umeshindwa kureply ni kwa sababu hutaki illussions zako ziwe destructed.. guess kama ulivyosema umesomea sana Kenya na hiyo iliwapa njia ya kukuwekea mentality zao kwa nchi yako mwenyewe na from from your own comments nimejua wamekuambukiza mengi sana. Mzee all i can say, jifunze kuhusu nchi yako.
 
Tunakubali mzee kimoyomoyo sema ni watu tu wanajitutumua tu humu!

Tunapiga hatua mkuu,kila kampuni Bongo ina atleast Mkenya,na jinsi wanavyotupeleka na exemplary zao,watu tuna adjust aisee!

In TZ Mwafrika anae tushtua sana ni Mkenya tu,gap litazibwa tu,tujipe 5-10yrs!

Kama unakumbuka 90's na early 2000's best schools Wabongo walikua wanakuja Kenya tu,sasa International Schools zipo hapa hapa!

Japo Wakenya ndio disproportionately wanafundisha kwa wingi hizi shule,ila itakaa sawa tu in time!

My age mates watoto zao wanawapeleka hizi English schools,hivyo in time nearly big population watatumia Kiingereza kizuri in time.....we will solve this!

Mengine ni serikali ya kipumbavu ya CCM ndio ya kulaumu....
Nishafanya sana kazi na Wakenya lakini sijaona Mkenya HATA MMOJA wa kunishitua! NI wewe wanaokushitua hao Wakenya kutokana na insecurity uliyonayo kama ambavyo hao wazee wenu walivyokuwa wanakimbilia kupeleka watoto Kenya kusoma kwa kudhani kujua Kiingereza ndio elimu kabla hawajashituka kwamba, wakitoka kule, wanakuwa weupe tu! I remember wakati nipo St Anthony alikuja dogo mmoja! Pale wakampa sharti kama anataka kusoma pale basi arudi mwaka mmoja nyuma!

Hata hivyo, ikiwa unashindwa hata kutofautisha hata kati ya Purchasing Power Parity na GDP per capita, what else can we expect kutoka kwa mtu wa aina yako!! Namuunga mkono Kobello aliyesema tatizo hapo ni wewe personally!

Kwamba kwenye kampuni nyingi kuna angalau Mkenya mmoja ni understandable; one kwa sababu Kenya ili-adapt mixed economy from the beginning na hivyo kuwa na well established private sector ambao nao ndio hao wamekuja ku-invest TZ, na hivyo kwenye makampuni yao kuwepo Wakenya! Two, ndo kuna wale wanaodhani kujua Kiingereza ndo kuwa vizuri upstair wakati watu tumefanya kazi hata na waliosomea UK lakini unaishia kushangaa tu kwamba huyu mtu huko UK alienda kufanya nini hasa! Lakini wakija Bongo, ndio wanaopewa priority kwa kudhani kwavile wamesoma Ulaya basi watakuwa wanajua kila kitu!
 
Back
Top Bottom