Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

Kweli kuzaliwa na akili fupi ni kitu mbaya sana, wachina wanajibu vipi email za kikazi?

Wote wanaofanya presentations serious kwenye makamuni yote TZ ni Wakenya,unajua maana yake wewe mwehu?

Na B2B businesses zinapata biashara kwa 'presentations',proposals,demonstrations,tenders,etc....

Na wanaofanya kazi zote hizi kwenye makampuni yote TZ yaliyo serious ni "Wakenya"....hivi unajua maana yake hii?

Peleka mtoto wako Kayumba schools wenzako wanapeleka international schools halafu uone nani atapewa kazi!

Typical TZ mentality,ya kujifanya hujui dunia inaendaje,umejificha kwenye kibox chako mwenyewe unajidanganya!
 
Who told you Tanzanian hawajui English?

Hatujui English compared to other people,namely Ugandans and Kenyans...

Is this even a debate?

Atleast we are bridging up the gap with explosion of international schools in TZ!

We should give it time,say 5-10yrs we will be at par!

Tatizo una unafiki sana kama mwanachama wa CCM....

Ondoa unazi,toa balanced obseravation wewe!
 
Wote wanaofanya presentations serious kwenye makamuni yote TZ ni Wakenya,unajua maana yake wewe mwehu?

Na B2B businesses zinapata biashara kwa 'presentations',proposals,demonstrations,tenders,etc....

Na wanaofanya kazi zote hizi kwenye makampuni yote TZ yaliyo serious ni "Wakenya"....hivi unajua maana yake hii?

Peleka mtoto wako Kayumba schools wenzako wanapeleka international schools halafu uone nani atapewa kazi!

Typical TZ mentality,ya kujifanya hujui dunia inaendaje,umejificha kwenye kibox chako mwenyewe unajidanganya!
Nimesoma kayumba na huniambii chochote kwa hiyo lugha unayoisifia mwehu ww
 
Mm sina chama na siongei kishabiki kama ww
Hatujui English compared to other people,namely Ugandans and Kenyans...

Is this even a debate?

Atleast we are bridging up the gap with explosion of international schools in TZ!

We should give it time,say 5-10yrs we will be at par!

Tatizo una unafiki sana kama mwanachama wa CCM....

Ondoa unazi,toa balanced obseravation wewe!
 
Sio kila mtu ni jobless kama ww
It's good you have used the word "Tanzanian" and not "Tanzanians". I'm going to use you as a case study, I want you to reply the next six of my comments using English.
 
Mm sina chama na siongei kishabiki kama ww

Wewe ndio mshabiki...

Mnazi namba moja...huna objectivity....sijui kwanini huwezi kukubali kama mtu kakupita kitu fulani ili ujifunze uwe kama yeye au kumpita zaidi....

Unashika mavi,unaambiwa hayo ni mavi mpumbavu unaendelea kujitutumua eti sio mavi...

Such a colossal lack of common sense and sincerity!

Unabisha kama mwendawazimu!
 
Nijifunze ujinga kama wako, never
Wewe ndio mshabiki...

Mnazi namba moja...huna objectivity....sijui kwanini huwezi kukubali kama mtu kakupita kitu fulani ili ujifunze uwe kama yeye au kumpita zaidi....

Unashika mavi,unaambiwa hayo ni mavi mpumbavu unaendelea kujitutumua eti sio mavi...

Such a colossal lack of common sense and sincerity!

Unabisha kama mwendawazimu!
 
Kenge maji wewe

Umegeukia personals!

Itakua kuna Mkenya anakukimbizeni sana hapo job kwenu basi una hasira sana!

Mkuu jifunze unakosea wapi..jirekebishe,jenga ubunifu na hard work mzee!

Hakuna shortcuts!

Ndio maana kila siku najifunza jambo jipya kwa hawa watu,nataka niwe bora kuwapita na sio kujenga chuki tu zisizo na maana!

Sijui sisi Watanzania hua tunakosea wapi.

Ndio ujinga kama wako huu unao uonesha humu...pretty low!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]nikimbizwe na mkenya my foot, hawa makenya majobless au? Wanaokesha mitandaoni kuwakejeli Watanzania, sahau
Umegeukia personals!

Itakua kuna Mkenya anakukimbizeni sana hapo job kwenu basi una hasira sana!

Mkuu jifunze unakosea wapi..jirekebishe,jenga ubunifu na hard work mzee!

Hakuna shortcuts!

Ndio maana kila siku najifunza jambo jipya kwa hawa watu,nataka niwe bora kuwapita na sio kujenga chuki tu zisizo na maana!

Sijui sisi Watanzania hua tunakosea wapi.

Ndio ujinga kama wako huu unao uonesha humu...pretty low!
 
Nijifunze ujinga kama wako, never
Una matatizo wewe!

Kwaa jinsi unavyongea inaonesha una chuki nao kali sana....Huenda kuna jambo mmoja wao kakufanyia!

Cha msingi pangusa matako and go practice then come back and offer your revenge!

Ndio maana katika line of business I'm in kila siku naangalia kama kuna Mganda au Mkenya who can out perform me...

Najifunza mbinu zao kila mara,hakuna haja ya kua na chuki za kikuma namna yako hiyo!

You have a long way to go aisee!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]nikimbizwe na mkenya my foot, hawa makenya majobless au? Wanaokesha mitandaoni kuwakejeli Watanzania, sahau

Kwa joblessness,mbona takwimu rasmi zinasema otherwise?

Au una takwimu zako wewe binafsi?

Wote Uganda,TZ and Kenya tuna matatizo makubwa ya ajira,ila Kenya wana afadhali kidogo,then TZ then UG....

Cha msingi tujitahidi kujenga ajira sio kuua vibiashara kama wewe na Jiwe mnavyofanya eti mnawaita eti walikua wezi!

Hii criminalization ya business cadre ndio tunapoonesha ujuha wetu kama waTZ..

Sijui hivi kwanini tunapozungumzia mediocrity yeyote lazima TZ utuke hapo....can we change this nonsense?
 
Una matatizo wewe!

Kwaa jinsi unavyongea inaonesha una chuki nao kali sana....Huenda kuna jambo mmoja wao kakufanyia!

Cha msingi pangusa matako and go practice then come back and offer your revenge!

Ndio maana katika line of business I'm in kila siku naangalia kama kuna Mganda au Mkenya who can out perform me...

Najifunza mbinu zao kila mara,hakuna haja ya kua na chuki za kikuma namna yako hiyo!

You have a long way to go aisee!
Sina chuki na mtu maana hata mke wangu anatokea kwao, ni huwezi ongelea upuuzi nchi yangu alafu nikukalie kimya
 
Kwa joblessness,mbona takwimu rasmi zinasema otherwise?

Au una takwimu zako wewe binafsi?

Wote Uganda,TZ and Kenya tuna matatizo makubwa ya ajira,ila Kenya wana afadhali kidogo,then TZ then UG....

Cha msingi tujitahidi kujenga ajira sio kuua vibiashara kama wewe na Jiwe mnavyofanya eti mnawaita eti walikua wezi!

Hii criminalization ya business cadre ndio tunapoonesha ujuha wetu kama waTZ..

Sijui hivi kwanini tunapozungumzia mediocrity yeyote lazima TZ utuke hapo....can we change this nonsense?
Pitia hapa na uache ujinga
 
Back
Top Bottom