We jamaa Ni fala nimeangalia texts zako mpaka nashindwa kuvumilia!!
Kwanza, hizo post attachment niza 2011 & moja ni ya 2016 na Sasa hivi Ni 2019 utalinganisha vipi wakati Kila kukicha miradi inazinduliwa
Acha kupaniki,tuliza mapumbu!
It doesn't matter which year.....toka 1961/1962 hatujawahi ipita Kenya kwa maendeleo!
And that's a FACT!
Alaf Kuna mshamba huyo amekaa Tanzania miaka 2 alaf usikute kigoma ukoh alaf amekaa Kenya wiki alaf Nairobi ndo aje afananishe Kenya vs Tanzania Ni ushamba
Alaf=Halafu
ukoh=Huko
Kajifunze Kiswahili busy body wewe!
Alaf ujinga ambao umenifanya Ni respond Ni hiyo eti watanzania hatujui kingereza hivyo Tanzania iko chini kuliko Kenya& Uganda
Ni kweli wabongo hatuna kingereza ila sio sababu ya kusema uwezo wetu kwenye kazi &IQ mdogo kuliko hao watu
your brain washed!! English language isn't that important as you mentioned
Alaf be proud na lugha yako, watanzania hatuna kingereza kizuri kama majirani kwa sababu tuna lugha yetu mama KISWAHILI na ndiyo identity yetu Kama taifa kwa nn tupambane na kingereza!!!
Nani kasema na wapi mtu kaandika eti akijua Kiingereza ni ana IQ kubwa sana zaidi ya anaejua Kiswahili pekee yake?
Unajitungia hoja zako mwenyewe na kujijibu wewe pekee yako.
Kiswahili sio identity yako,ni lugha ya Waswahili wa Pwani,wewe Msukuma,mother tongue yako ni Kisukuma,acha kujipa vyeo usivyokua navyo!
Kingereza is the most powerful language in the world,hutaki andamana!
Kama Kiswahili ni bora sana Tanzania kwanini tunafundisha Kiingereza toka standard 3 up to University?
Even worse Secondary School level mpaka University level English is the defacto medium of instructions kisheria,huruhusiwi kufundusha kwa Kiswahili!
Unajua sababu ni nini wewe mwana Kiswahili bora duniani?
Kitu ambacho nimekipenda Tanzania Ni unit hi nchii Ni moja nenda Kijiji chochote Tanzania majority wanaongea KISWAHILI Yani ukienda hata dindila korogwe vijijini mpakani na Kenya watoto wanakimbia magari ila wanajua KISWAHILI nenda chinyauku DODOMA nenda sitaki dawa nenda uko kasuru mipakani maporini watu wanaongea KISWAHILI sababu ndio lugha yetu inayotuunganisha sisi wabongo na ndio identity ya mtanzania
Nani kakwambia Tanzania kuna "Unity" eti sababu wanaongea Kiswahili?
Kenya wanaongea Kiingereza na lugha zao za kienyeji ila wana uzalendo na nchi yao zaidi ya Watanzania,jiulize kwanini?
Huna jibu....
Sasa mkenya,mganda, wanaongea kingereza Kama lugha ya taifa unawatofautishaje bila kuwauliza because they have no identity
Mozambique wanaongea kireno lugha ya mkoloni ,Congo wanaongea french lugha ya mkoloni lakini watanzania tuna lugha mama KISWAHILI
REST IN PEACE MWLM NYERERE ametufanya watanzania tuwe unique mzee alitutengenezea hiii nchii!!!!
Hujui unachokisema kwenye hii paragraph!
Hakuna taifa halina identity,kama wasingekua na identity taifa lisingeweza kujengwa to begin with!
Na lugha sio big of a fact kama unavyojitapa hapa maana inachenjiwa at any time..Kama Rwanda walipoamka asubuhi wakasema tunataka kua Anglophone na sio Francophone country,wakabadili dakika 0.
Leo Kenya wakisema wa-change English to 100% Kiswahili ni 5 years English is gone!
Plus,ni stupidity kuacha English for some weak languages!
Plus Nyerere alikua ni mpumbavu wa mwisho ndio maana mwenzake Lee Kuan Yew ameitoa Singapore kutoka 3rd world country to 1st world country ndani ya 30yrs ya utawala wake na Nyerere couldn't do shit!
Lee Kuan Yew ali-embrace English kama defacto language of Singapore,aka-embrace Capitalism,then akafanya utekelezaji,the rest is history!
Nyerere sasa,nonsense juu ya nonsense!
Seema we jamaa ujielewi na nyie ndo mnaita baba zenu dady pia nyie ndo wale wa skuli Basi mlitia baba zenu hasara mkiwa watoto wadogo!!
Acha umama wewe!
Ni heri nivae ndala wanangu waende English schools na colleges waende US au UK wakajifunze jinsi ya kuzalisha mali kwa akili then waje hapa waajiri wanao vizuri!
Nipo radhi kutoa any dollar to archive that.
Wewe endelea kujipaka mavi ukidhani ndio system sahihi mpaka unakuja kustuka wanao ni third class citizens kwenye hii nchi,just wait!
Jiulize,international schools zinafunguliwa kila siku Tanzania,na ada ni 30,000USD na zinajaa kila siku,halafu wewe mbuzi mnya karanga unajifanya eti ooh hivi,ooh vile,sijui ubepari sio,sijui English sio,kwenda kusoma Ulaya sio,sijui blah blah,then uone moto wake ndani ya 10years from now!
Good luck na maubishi yako ya kiduwanzi!