Hizi ni Roho hai zinapotea huko Oman na sababu za kupoteza hazijulikani zaidi ya ndugu kuletewa mwili kuzika!

Hizi ni Roho hai zinapotea huko Oman na sababu za kupoteza hazijulikani zaidi ya ndugu kuletewa mwili kuzika!

Hii nchi ina ujinga wa hajabu sana, wanaona Mtanzania akifia Uarabuni anastahili hicho kifo kwa saabu kafia nchi ya Kiarab, ukweli ni kwamba Watanzania wanaokwenda kufanya kazi za ndani wanateseka sana kule Uarabuni, Mwarab si mtu hata kidogo....nawashangaa Watanzania kuwasujudu. Wale ni wanyama toka enzi za Muddy na wanafahamika, hawawezi kubadilika hata iweje. Hii serikali ingekuwa makini ingekataza mara moja wananchi wake kwenda kufanya kazi za utumwa Uarabuni lakini wapi.
This is not true

Hakuna anayestahili kufia popote ambapo hastahili

Death should be natural not kuuwawa
 
Nikushauri hapa Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani

Basi ikishindikana, tutumie Ujomba na Ushangazi basi .

Hizi ni Roho hai zinapotea, na sababu za kupoteza hazijulikan, zaidi ya Ndugu kuletewa Mwili kuzika tu.

Kwa Serikali madhubuti, makini, inayowajibikia Maisha ya watanzania ya Kila Mmoja Mmoja, Haiwezi kukubali Ujinga Huo !!.

Yaan kwann Watanzania ndio wafe huko kwao Kwa vifo visivyoeleweka ? Hapa Bongo hamna Wa Oman?

Hii Nchi Huwa Ina uajabu sana , Akifa Mgeni Kwa mazingira yasoeleweka, Uchunguzi utafanyika weeeeeeee kusumbua wananchi weeeeee mpaka basi.

Ila Mtanzania akifia Nje ,Kifo kisichoeleweka, hutosikia Serikali inajisumbua !!.


Hili linaweza likakushangaza , ila ndo Nchi Wanyama wanajaliwa kuliko Wananchi.


Baada ya haya yooote, Anapatikana Kijana Mmoja mjinga mjinga, maarufu, anazunguka Tanzania kuwaambia "Mitano tenaaa".
Mara kadhaa tunawasihi ndugu zetu...UARABUNI SI SEHEMU YA KWENDA.......
 
90% ya decisions tunazo Fanya kila Siku hazihusiani na chama wala serikali

If you accept that…. Tutakua pazuri

Hongera Kwa kuwa na akili zaidi
Serikali ni mtumishi sio mtawala

Lakini issue zote global au za macro level, serikali ndio yenye control na mbaya zaidi hivyo vitu viwili ndivyo vinaleta athari iwe positive ama negative katika micro level yaani maisha ya mwananchi wa kawaida..

Ukiongelea decision lazma uoneshe ni katika criteria ZIPI

Kwa sababu kila nchi duniani ina maskini na matajiri, watawala na watawaliwa kwa hiyo tofauti ya class mtu atakayokaa itakuwa influenced zaidi na personal efforts lakini pia individual decisions

Lakini kinachoamua overall standard ya maisha katika nchi flani, iwe kisiasa, kiuchumi ama kiteknolojia ni SERIKALI...

Nipo tayari kupokea mawazo kinzani 🙏🏽
 
Sasa kama mwarabu sio mtu na roho yake mbaya mbona mnajifunza Dini yake kwa lugha yake Tena wengine hata shule hawendi hawataki elimu ya formal education Wanataka elimu ahera?😅😅😅

Nina andika haya maana hata hao waarabu wanaosoma Hapa mnawachanganya. Ile Dini Inabeba utamaduni wao, lugha na mission Yao Duniani. Use brain at least.
 
Acheni kwenda kufanya kazi za ndani Oman. Serikali ikiwazuia kwenda bado mtalalamika. Mitano tena kwa Mama Samia haikwepeki.
Ukweli unauma. Ukiachana na mambo ya siasa (e.g. mitano tena..... )wale wanaokwenda huko ugenini kufanya kazi za ndani wanafuata utaratibu???
Serikali huwa inaridhia jambo hilo? Kama Serikali inakuzuia inakuonya au inakukataza lakini wewe unashupaza shingo unaenda tuu kana kwamba unajiweza peke yako halafu likitokea lakutokea unaigeukia Serikali na unaanza kulialia. Haukumbuki kwamba uliifanyia Serikali Insubordination??
You went there at your own risk bro. Sasa nayo Serikali inakuambia indirectly Komaa na hali yako i.e. komaa na kiburi chako - usitusumbue. Aliyekupeleka huko ndiye akurudishe hata ukiwa maiti.
 
Nikushauri hapa Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani

Basi ikishindikana, tutumie Ujomba na Ushangazi basi.

Hizi ni Roho hai zinapotea, na sababu za kupoteza hazijulikani, zaidi ya ndugu kuletewa mwili kuzika tu.

Kwa Serikali madhubuti, makini, inayowajibikia Maisha ya Watanzania ya kila mmoja mmoja, haiwezi kukubali ujinga huo!

Yaani kwanini Watanzania ndio wafe huko kwao kwa vifo visivyoeleweka? Hapa Bongo hamna wa Oman?

Hii nchi huwa ina uajabu sana, akifa mgeni kwa mazingira yasoeleweka, Uchunguzi utafanyika weeeeeeee, kusumbua wananchi weeeeee mpaka basi. Ila Mtanzania akifia nje kifo kisichoeleweka, hutosikia Serikali inajisumbua!

Hili linaweza likakushangaza ila ndio Nchi ilivyo, wanyama wanajaliwa kuliko Wananchi!

Baada ya haya yooote, anapatikana kijana mmoja mjinga mjinga, maarufu, anazunguka Tanzania kuwaambia "Mitano tenaaa"!
Mmarekani, muingereza, muisraeli, nk nk akifa nje ya nchi zao yawa patashika!
Kwetu kama amekufa mende! Hata Lucas Mwashambwa hatoki machozi!
 
Kalipeni kisasi kwa Abbas Tarimba na ma agent wengine wanao wapeleka huko.

Magufuli alipiga marufuku huu utaratibu.

Uwa nawaona watanzania ambao wanamtukana Magufuli na ndio wachangiaji walio wengi humu JF ni mataahira (kuna taratibu za herd thinking humu). Fulani akisema wengine wanafuata.

Sasa mnalalamika nini, watu wamezuia haya mambo; mkasema anawakosesha watu fursa.

Uwezi laumu huyo binti aliekuwa na shida kwa kuongopewa na mtu kama Tarimba, genge la wahuni linalo wapeleka huko na serikali ya ‘bi-tozo’, worst kapeleka balozi mzanzibari huko ambae wanatuona wabara watwana.

Mbona wazanzibari awaendi kufanya hizo kazi huko, wanapeleka wabara (watwana) kwa mujibu wao.

Tanzania bara ina deserve kila kitu Samia anachofanya ni watu wa hovyo.

Ndio ukweli
 
Una akili sana brother maana rais wako anahusika na watanzania walio ndani ya nchi pekee na walioenda huko nje watajijua wenyewe.

Kwanza tunaweka balozi za nini kwenye hizo nchi wakati watanzania wenye haki za utanzania ni wale waliopo ndani ya Tanzania.

Hivyo balozi zetu ni useless, Si ni kheri tuzifute tu..

Hongera sana nimependa comment yako maana ni reflection halisi ya "akili kubwa" uliyonayo
Hilo jamaa ni tikiti maji na kipa katoka golini bure kabisa...
 
Hii nchi ina ujinga wa hajabu sana, wanaona Mtanzania akifia Uarabuni anastahili hicho kifo kwa saabu kafia nchi ya Kiarab, ukweli ni kwamba Watanzania wanaokwenda kufanya kazi za ndani wanateseka sana kule Uarabuni, Mwarab si mtu hata kidogo....nawashangaa Watanzania kuwasujudu. Wale ni wanyama toka enzi za Muddy na wanafahamika, hawawezi kubadilika hata iweje. Hii serikali ingekuwa makini ingekataza mara moja wananchi wake kwenda kufanya kazi za utumwa Uarabuni lakini wapi.

Waarabu wengi wao ni watu wema, ila wazungu na mayahudi wamewaharibu na kuwakaririsha uongo, nanyi kama kawaida yenu kushutumu bila kufanya research.


Chuki chuki chuki, badilika!
 
Waende DRC Kongo huko wavaa suti na buti za kiwi zenye kungara wanaishi ktk maisha mazuri yenye raha chini ya M23. Huko John na Paulo wanasalimiana

Hawa jamaa wanakera sana, Bora nikafie palestine 🇵🇸 kuliko kwa watu wasio na dini, hahaaaa
 
Waarabu wengi wao ni watu wema, ila wazungu na mayahudi wamewaharibu na kuwakaririsha uongo, nanyi kama kawaida yenu kushutumu bila kufanya research.


Chuki chuki chuki, badilika!
Wacha ujinga we mtoto, toka lini mwarab akawa mtu mwema kwa mwafrika, wanabaguana wenyewe kwa wenyewe akupende wewe mwafrika kwa lipi?....umesoma historia ya nchi yako lakini au unajifaragua tu, unajuwa waarab waliwafanya nini mababu zetu? Nyinyi ndiyo mnaokubali kufilwa makusudi na waarab japo mnajuwa fika mnateswa. Mpuuzi sana wewe.
 
Wacha ujinga we mtoto, toka lini mwarab akawa mtu mwema kwa mwafrika, wanabaguana wenyewe kwa wenyewe akupende wewe mwafrika kwa lipi?....umesoma historia ya nchi yako lakini au unajifaragua tu, unajuwa waarab waliwafanya nini mababu zetu? Nyinyi ndiyo mnaokubali kufilwa makusudi na waarab japo mnajuwa fika mnateswa. Mpuuzi sana wewe.

Wakati wanateswa ulikuwepo?
 
Mwafrica ndugu yake ni Mwafrica mwenzake sio Muarabu, Mzungu, Mhindi wala mchina.

WaAfrica tupendane tuboreshe maisha yetu tuache kulazimisha undugu na wasiokuwa ndugu zetu.
 
Nataka kuongeza tu maarifa,
Hivi kuna sababu gani hasa ya msingi inayokupeleka huko ambako wenzio wanauwawa?
 
Back
Top Bottom