Hizi ni Sababu 5 za Kwanini Simba SC Hawajamuwekea Kipengele Cha Malengo Coach Pablo Franco

Hizi ni Sababu 5 za Kwanini Simba SC Hawajamuwekea Kipengele Cha Malengo Coach Pablo Franco

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Tofauti na Makocha waliopita kama vile Didier Gomes na Patrick Aussems.

Ambaye alipofika tu alikutana na target za kwenye klabu ambazo ilikuwa ni lazima wazifikishe timu kwenye hatua fulani ya mafanikio kama vile Ubingwa wa Ligi Kuu & Nafasi za juu za CAFCL.

Huyu Pablo Franco hajawekewa vipengele vya malengo kabisa.. Zifuatazo ni sababu ambazo Simba SC wamezizingatia.

1. Klabu imeona haina maana kumuwekea malengo ya kuchukua Ligi ili hali msimu huu simba inakikosi dhaifu kushinda mahasimu wao Yanga.

2. Mwalimu ameonekana ana CV kubwa ila anachokikosa ni Uzoefu wa mpira wa kiafrika na changamoto zake. Hivyo haina sababu ya kumuwekea malengo.

3. Simba imegundua kuwa wanahitaji kumpa muda wa kutosha Mwl Pablo Franco wa kuijenga timu upya kupitia Mzamiru & Ajibu & Dilunga ambao wanategemewa kuwa mihimili ya Simba hapo baadaye.

4. Kosa la kuwauza Chama & Miqquisone. Baada ya uongozi wa Simba kugundua kuwa ulifanya kosa kuuza wachezaji wake muhimu imeamua kumpa nafasi ya kutosha kocha mpya ili aweze kuibua wachezaji wapya wenye sifa za kama wale walio ondoka.

5. Sababu ya mwisho ambayo inaeleza kwann simba haija muwekea malengo kocha mpya ni sababu za kimazingira na uhalisia wa ushindani kwenye Iigi msimuu huu, sio tu wahasimu wao wame improve drastically lakini pia wako katika kipindi cha mpito na pia kuongezeka kwa ushindani kutoka vilabu vingine.

Hivyo basi tusitarajie kuona Matunda ya Pablo Franco katika siku za usoni..Ni mwl ambaye anahitaji muda wa kutosha kama aliopewa Ole Gunner Solsker ili kuleta matunda.

Nadhani ndio maana amepewa mkayaba wa miaka 2 kama probation period ya kutazama maendeleo yake na timu yanaendaje.

Swali ni je? Mashabiki na wapenzi wa Simba SC wako tayari "Kusubiri"?
 
Kusema ilikua ni kosa kuwauza kina Chama sidhani kama ni sahihi. Nadhani ni makosa pia kubania wachezaji fursa ya kukua kiuchezaji na kimapato kwa kujiunga na vilabu vikubwa zaidi

Kwa mfano Simba wangetaka kumbakisha Miquisonne ingebidi wampe mshahara mara nane au kumi wa ule aliokua anapata kama ambavyo anaupata Al Ahly!!!

Hili lingefanyika lingekua ni mzigo kwa Simba na pia lingeleta uwiano mbaya wa viwango vya mishahara kati ya wachezaji na lingekua na athari mbaya kwa umoja wa timu

Naweza kukubaliana na sababu zako zingine za kwanini Pablo hajawekewa malengo(kama kweli hakawekewa). Lakini sio sababu number 4
 
Tofauti na Makocha waliopita kama vile Didier Gomes na Patrick Aussems.

Ambaye alipofika tu alikutana na target za kwenye klabu ambazo ilikuwa ni lazima wazifikishe timu kwenye hatua fulani ya mafanikio kama vile Ubingwa wa LigiKuu & Nafasi za juu za CAFCL.

Huyu Pablo Franco hajawekewa vipengele vya malengo kabisa..Zifuatazo ni sababu ambazo Simba SC wamezizingatia.

1. Klabu imeona haina maana kumuwekea malengo ya kuchukua Ligi ili hali msimu huu simba inakikosi dhaifu kushinda mahasimu wao Yanga.

2. Mwalimu ameonekana ana CV kubwa ila anachokikosa ni Uzoefu wa mpira wa kiafrika na changamoto zake. Hivyo haina sababu ya kumuwekea malengo.

3. Simba imegundua kuwa wanahitaji kumpa muda wa kutosha Mwl Pablo Franco wa kuijenga timu upya kupitia Mzamiru & Ajibu & Dilunga ambao wanategemewa kuwa mihimili ya Simba hapo baadaye.

4. Kosa la kuwauza Chama & Miqquisone. Baada ya uongozi wa Simba kugundua kuwa ulifanya kosa kuuza wachezaji wake muhimu imeamua kumpa nafasi ya kutosha kocha mpya ili aweze kuibua wachezaji wapya wenye sifa za kama wale walio ondoka.

5. Sababu ya mwisho ambayo inaeleza kwann simba haija muwekea malengo kocha mpya ni sababu za kimazingira na uhalisia wa ushindani kwenye Iigi msimuu huu, sio tu wahasimu wao wame improve drastically lakini pia wako katika kipindi cha mpito na pia kuongezeka kwa ushindani kutoka vilabu vingine.

Hivyo basi tusitarajie kuona Matunda ya Pablo Franco katika siku za usoni..Ni mwl ambaye anahitaji muda wa kutosha kama aliopewa Ole Gunner Solsker ili kuleta matunda.

Nadhani ndio maana amepewa mkayaba wa miaka 2 kama probation period ya kutazama maendeleo yake na timu yanaendaje.

Swali ni je? Mashabiki na wapenzi wa Simba SC wako tayari "Kusubiri"?

Mkuu Simba hii iliisha vuka hizo level za sijui kujenga timu

Simba inachotaka kwasasa ni MATOKEO tu

Ndio timu ambayo ina clean sheet zote na mbona unaiweka kama ni club iliochoka mkuu?

Hata ukiangalia game zote imemiliki kila kitu kwa asilimia kubwa sana isipokua magoli tu

Timu kama hii inatokaje kwenye mbio za ubingwa?

So far kipande cha mkataba kilichopo hadharani ni maslahi ya kocha tu na sio malengo aliowekewa
 
Kwanza umepotosha kwamba hakuwekewa vigezo,labda hujasikia au husikilizi vyombo vya habari.
Simba wamesema amewekewa vipengele

1. Kuchukua ubingwa wa NBC
2.Kufikisha timu robo au zaidi club bingwa africa mwakani.
 
Tofauti na Makocha waliopita kama vile Didier Gomes na Patrick Aussems.

Ambaye alipofika tu alikutana na target za kwenye klabu ambazo ilikuwa ni lazima wazifikishe timu kwenye hatua fulani ya mafanikio kama vile Ubingwa wa LigiKuu & Nafasi za juu za CAFCL.

Huyu Pablo Franco hajawekewa vipengele vya malengo kabisa..Zifuatazo ni sababu ambazo Simba SC wamezizingatia.

1. Klabu imeona haina maana kumuwekea malengo ya kuchukua Ligi ili hali msimu huu simba inakikosi dhaifu kushinda mahasimu wao Yanga.

2. Mwalimu ameonekana ana CV kubwa ila anachokikosa ni Uzoefu wa mpira wa kiafrika na changamoto zake. Hivyo haina sababu ya kumuwekea malengo.

3. Simba imegundua kuwa wanahitaji kumpa muda wa kutosha Mwl Pablo Franco wa kuijenga timu upya kupitia Mzamiru & Ajibu & Dilunga ambao wanategemewa kuwa mihimili ya Simba hapo baadaye.

4. Kosa la kuwauza Chama & Miqquisone. Baada ya uongozi wa Simba kugundua kuwa ulifanya kosa kuuza wachezaji wake muhimu imeamua kumpa nafasi ya kutosha kocha mpya ili aweze kuibua wachezaji wapya wenye sifa za kama wale walio ondoka.

5. Sababu ya mwisho ambayo inaeleza kwann simba haija muwekea malengo kocha mpya ni sababu za kimazingira na uhalisia wa ushindani kwenye Iigi msimuu huu, sio tu wahasimu wao wame improve drastically lakini pia wako katika kipindi cha mpito na pia kuongezeka kwa ushindani kutoka vilabu vingine.

Hivyo basi tusitarajie kuona Matunda ya Pablo Franco katika siku za usoni..Ni mwl ambaye anahitaji muda wa kutosha kama aliopewa Ole Gunner Solsker ili kuleta matunda.

Nadhani ndio maana amepewa mkayaba wa miaka 2 kama probation period ya kutazama maendeleo yake na timu yanaendaje.

Swali ni je? Mashabiki na wapenzi wa Simba SC wako tayari "Kusubiri"?
Mkataba wake umeuona?
Kocha yoyote anayeajiriwa hupewa malengo ya kutimiza, hata kama timu ni mbovu, target inaweza kuwa kuingia top 4 au kuibakiza timu ligi kuu
 
Achenk upotoshaji

Screenshot_20211107-124457.png
 
Tofauti na Makocha waliopita kama vile Didier Gomes na Patrick Aussems.

Ambaye alipofika tu alikutana na target za kwenye klabu ambazo ilikuwa ni lazima wazifikishe timu kwenye hatua fulani ya mafanikio kama vile Ubingwa wa LigiKuu & Nafasi za juu za CAFCL.

Huyu Pablo Franco hajawekewa vipengele vya malengo kabisa..Zifuatazo ni sababu ambazo Simba SC wamezizingatia.

1. Klabu imeona haina maana kumuwekea malengo ya kuchukua Ligi ili hali msimu huu simba inakikosi dhaifu kushinda mahasimu wao Yanga.

2. Mwalimu ameonekana ana CV kubwa ila anachokikosa ni Uzoefu wa mpira wa kiafrika na changamoto zake. Hivyo haina sababu ya kumuwekea malengo.

3. Simba imegundua kuwa wanahitaji kumpa muda wa kutosha Mwl Pablo Franco wa kuijenga timu upya kupitia Mzamiru & Ajibu & Dilunga ambao wanategemewa kuwa mihimili ya Simba hapo baadaye.

4. Kosa la kuwauza Chama & Miqquisone. Baada ya uongozi wa Simba kugundua kuwa ulifanya kosa kuuza wachezaji wake muhimu imeamua kumpa nafasi ya kutosha kocha mpya ili aweze kuibua wachezaji wapya wenye sifa za kama wale walio ondoka.

5. Sababu ya mwisho ambayo inaeleza kwann simba haija muwekea malengo kocha mpya ni sababu za kimazingira na uhalisia wa ushindani kwenye Iigi msimuu huu, sio tu wahasimu wao wame improve drastically lakini pia wako katika kipindi cha mpito na pia kuongezeka kwa ushindani kutoka vilabu vingine.

Hivyo basi tusitarajie kuona Matunda ya Pablo Franco katika siku za usoni..Ni mwl ambaye anahitaji muda wa kutosha kama aliopewa Ole Gunner Solsker ili kuleta matunda.

Nadhani ndio maana amepewa mkayaba wa miaka 2 kama probation period ya kutazama maendeleo yake na timu yanaendaje.

Swali ni je? Mashabiki na wapenzi wa Simba SC wako tayari "Kusubiri"?
Hembu kaoge kwanza utoe huu ujinga kichwani
 
Utopolo mbona mnapenda kufuatilia mambo ya Simba?
 
Tofauti na Makocha waliopita kama vile Didier Gomes na Patrick Aussems.

Ambaye alipofika tu alikutana na target za kwenye klabu ambazo ilikuwa ni lazima wazifikishe timu kwenye hatua fulani ya mafanikio kama vile Ubingwa wa LigiKuu & Nafasi za juu za CAFCL.

Huyu Pablo Franco hajawekewa vipengele vya malengo kabisa..Zifuatazo ni sababu ambazo Simba SC wamezizingatia.

1. Klabu imeona haina maana kumuwekea malengo ya kuchukua Ligi ili hali msimu huu simba inakikosi dhaifu kushinda mahasimu wao Yanga.

2. Mwalimu ameonekana ana CV kubwa ila anachokikosa ni Uzoefu wa mpira wa kiafrika na changamoto zake. Hivyo haina sababu ya kumuwekea malengo.

3. Simba imegundua kuwa wanahitaji kumpa muda wa kutosha Mwl Pablo Franco wa kuijenga timu upya kupitia Mzamiru & Ajibu & Dilunga ambao wanategemewa kuwa mihimili ya Simba hapo baadaye.

4. Kosa la kuwauza Chama & Miqquisone. Baada ya uongozi wa Simba kugundua kuwa ulifanya kosa kuuza wachezaji wake muhimu imeamua kumpa nafasi ya kutosha kocha mpya ili aweze kuibua wachezaji wapya wenye sifa za kama wale walio ondoka.

5. Sababu ya mwisho ambayo inaeleza kwann simba haija muwekea malengo kocha mpya ni sababu za kimazingira na uhalisia wa ushindani kwenye Iigi msimuu huu, sio tu wahasimu wao wame improve drastically lakini pia wako katika kipindi cha mpito na pia kuongezeka kwa ushindani kutoka vilabu vingine.

Hivyo basi tusitarajie kuona Matunda ya Pablo Franco katika siku za usoni..Ni mwl ambaye anahitaji muda wa kutosha kama aliopewa Ole Gunner Solsker ili kuleta matunda.

Nadhani ndio maana amepewa mkayaba wa miaka 2 kama probation period ya kutazama maendeleo yake na timu yanaendaje.

Swali ni je? Mashabiki na wapenzi wa Simba SC wako tayari "Kusubiri"?


Hizi ni sababu zako na wala sio za Simba! Na hicho kikosi dhaifu ni mawazo yako lakini mwisho wa Msimu Simba ndiye Bingwa! Jiandaeni kumtukana Karia na TFF.
 
Back
Top Bottom