Hizi ni Sababu 5 za Kwanini Simba SC Hawajamuwekea Kipengele Cha Malengo Coach Pablo Franco

utopolo ndiyo huu Sasa.
 
utopolo ndiyo huu Sasa.
 
utopolo wapo active sana na mambo ya simba 😂😂😂
 
Utopolo at its BEST[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi timu inapombania mchezaji kuondoka kama Yanga walivyombania Ngasa huwa inaleta faida yoyote Kwa timu zaidi ya kumfanya mchezaji acheze chini ya kiwango?
 
Aliye jirani na huyu Demigod.....
Ampokonye mkanda au chochote kinachoweza fanikisha kujinyonga.
 
Yanga mwaka huu Itashinda Mechi zote Zilizobaki na Kuwa Bingwa...
Tayari Mbinu zimeshapangwa hutaji Unaacha...
YAnga bingwa 2021/2022
Na Tukikutana Na Simba Atakula Goli zaidi ya 2 na Point 3.
YAnga tuna Msemaji wetu ambae anatupa Mbinu bora kabisa 100%za Nje ya Uwanja.
Kwa haki au Ghiliba Lazima YAnga ichukue ubingwa mwaka huu
Na Tutawafitini Thimba mechi zao wafungwe...[emoji12]
Au wana Yanga Mnasemaje?[emoji3516][emoji123][emoji41][emoji2957][emoji851]
Daima mbele nyuma mwiko
 
makolo hayapo tayari kusubiri
 
Una manisha ule mwiko aliousokomeza ndani Thadeo Lwanga au

 
Yeye pia taarifa ya kocha mpya wa Simba imemshtua [emoji23][emoji23]
 
hizi mechi chache za ya YANGA tayari watu washalewa...!!
Siamini sana... tusubiri tuone
 

Inaonesha ni namna gani una uelewa mdogo ktk sekta ya ajira

Yaani uajiri mtu kwenye taasisi alafu usimpe malengo ya timu!???

Stori kama hizi péleka jukwaa la utani au vijiwe vya bange
 
Utopolo hamna timu, mechi ijayo na Namungo wanapigwa...hala wanaanza zile sare sare zao. Kwishney
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…