Hizi ni sababu tatu kubwa CCM itaongoza milele

Acha ujinga... hakuna mamlaka ya kibinaadamu itakayodumu milele.. ila utawala wa Mungu tu.. kama huamini nenda CHATO katizame Kaburi...
 
Kwan wew hujui nn kuhusu madaraka hii ndio maana ya nguvu ,,,, nguvu haetegemei haki pekee hata kma pakihitajika wizi utafanyika ukihitajika uongo utafanyika na hata kama kufa wataua hiyo ndo maana ya nguvu that means ccm wana power ya kuiba kushawishi kuforce kuongoza na kila kitu
Hata wapinzani wanatamani iyo nguvu sema 2 hawana wanatamani ata wao waibe izo kura don't make them very innocent ata mbowe angepata uwanja wa kuiba angeiba tu na hata lisu piah angeiba ili awe raisi sema ndo kazidiwa nguvu
Anyway people have to learn siasa inahitaji nguvu sio kutupigia kelele jukwaani ooh demokrasia😝😝hata izo nchi mnazozifiaga ety zina demo kuna mengi 2 nje ya pazia usitegemee sanduku tu la kura acha ujinga tafuta pesa na nguvu
 
Pamoja na hizo hoja zako,pia naona kama SISIEMU wana media nyingi,na wamezishika kwahiyo propaganda nyingi sana wanaweza kuzipitisha huko,pia Rasilimali watu, kwasasa nchini kwa kuhitaji teuzi mbalimbali wasomi na wamiliki wa baadhi ya makampuni makubwa nchini wanajiassociate na chama tawala ili pamoja na mambo mengine kulinda investment zao na hawa watu wanatoa support kwa Chama hasa Fedha.

NB: Kufa Kwa Sisiemu kutatokana na Sisiemu wenyewe,japo mabadiliko yanaweza kutokea kwasababu wajinga wanapungua nchini
 
Mijini ambapo asilimia kubwa wameelimika Ccm mara zote huwa inaangukia Pua uchaguzi ukiwa huru Na wa haki Ila huko vijijini ndio mtaji wao mkubwa ulipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…