Kumekua na mgongano mkubwa kwenye club ya Simba juu ya nafasi ya Manara katika club. Mara kadhaa boss wa timu Mo aliihitaji kumfukuza lakini wazee kina Hanspope walimtuliza boss kwamba wampe muda kwani ni mtu muhimu kwenye fan base ya club na hakuna wa kuweza kuziba pengo lake hapa nchini. Msukumo juu ya kufukuzwa kwake umekua mkubwa siku hadi siku na hizi ni baadhi ya sababu zinazoweza kuotesha nyasi kibarua chake muda wowote:
Mgongano wa kimaslahi kati ya Metl na Bakheresa: Ni wazi Mo anachukia sana kwa Hajj kuwa balozi wa Azam akitangaza bidhaa ambazo 99% zinazolishwa pia na Metl. Kama ni mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii utakua umeona comments za Mo kwenye Post za matangazo za Manara.
Mgongano wa Kimaslahi kati ya club na Azam tv: Wakati club ikihitaji watu waende uwanjani kujaza uwanja balozi Haji anatangaza namna gani unaweza ku enjoy football ukiwa nyumbani kupitia Azam tv huku ukiwa na ukwaju wa Azam pembeni kwenye sofa.
Ushawishi mkubwa wa Manara kwa mashabiki na wachezaji kuliko mabosi wa Club : Ni wazi kwamba Manara ana ushawishi mkubwa kuliko mtu yoyote pale Simba katika maswala mbalimbali, mfano usajili wa Bernard Morrison 90% umechagizwa na Manara ingawa bodi ilijua tatizo la utovu wa nidhamu wa mghana huyo.
Ushauri: Club imalize swala hili kwa kutumia busara kuliko mihemko.
Mgongano wa kimaslahi kati ya Metl na Bakheresa: Ni wazi Mo anachukia sana kwa Hajj kuwa balozi wa Azam akitangaza bidhaa ambazo 99% zinazolishwa pia na Metl. Kama ni mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii utakua umeona comments za Mo kwenye Post za matangazo za Manara.
Mgongano wa Kimaslahi kati ya club na Azam tv: Wakati club ikihitaji watu waende uwanjani kujaza uwanja balozi Haji anatangaza namna gani unaweza ku enjoy football ukiwa nyumbani kupitia Azam tv huku ukiwa na ukwaju wa Azam pembeni kwenye sofa.
Ushawishi mkubwa wa Manara kwa mashabiki na wachezaji kuliko mabosi wa Club : Ni wazi kwamba Manara ana ushawishi mkubwa kuliko mtu yoyote pale Simba katika maswala mbalimbali, mfano usajili wa Bernard Morrison 90% umechagizwa na Manara ingawa bodi ilijua tatizo la utovu wa nidhamu wa mghana huyo.
Ushauri: Club imalize swala hili kwa kutumia busara kuliko mihemko.