Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
WaTanzania mpunguze kulalamika, dunia nzima inaongelea nishati mbadala pia Ilani ya CCM na mpango wa taifa wa maendeleo wa miaka 5 (Ambayo ndio inamuongoza Rais na Mawaziri) inaongelea energy mix sio tu kwenye vyanzo vya umeme ila hata kwenye matumizi ya nishati majumbani.Unampa mwananchi mtungi wa gesi. Kesho kutwa hana hata pesa ya kujazia gasi huo mtungi ukiisha.
Kwa nini msikomae JNHP ikakamilika alafu umeme ukashuka bei na bidhaa kushuka bei na maisha mwananchi yakawa nafuu.
👇Huu ni ulaghai usiofaa. View attachment 2289171
Sikutarajia hoja nyeupe kama hii kutoka kwako mkuu.WaTanzania mpunguze kulalamika, dunia nzima inaongelea nishati mbadala pia Ilani ya CCM na mpango wa taifa wa maendeleo wa miaka 5 (Ambayo ndio inamuongoza Rais na Mawaziri) inaongelea energy mix sio tu kwenye vyanzo vya umeme ila hata kwenye matumizi ya nishati majumbani.
Hivyo uwepo wa Hydro Power unatakiwa uende sambamba na nishati zingine kama Joto-Ardhi, Umeme wa upepo, Gesi n.k
So kama hamtaki gesi itumike waambieni wabunge wapinge utekelezaji wa mpango wa taifa otherwise mnaongea mambo msiyokua na uelewa nayo.
Kuwahamamsiha watu watumie nishati mbadala siyo kwa maigizo hayo!WaTanzania mpunguze kulalamika, dunia nzima inaongelea nishati mbadala pia Ilani ya CCM na mpango wa taifa wa maendeleo wa miaka 5 (Ambayo ndio inamuongoza Rais na Mawaziri) inaongelea energy mix sio tu kwenye vyanzo vya umeme ila hata kwenye matumizi ya nishati majumbani.
Hivyo uwepo wa Hydro Power unatakiwa uende sambamba na nishati zingine kama Joto-Ardhi, Umeme wa upepo, Gesi n.k
So kama hamtaki gesi itumike waambieni wabunge wapinge utekelezaji wa mpango wa taifa otherwise mnaongea mambo msiyokua na uelewa nayo.
Tujadili hoja, kosa la January ni lipi hapo? kusimamia Ilani ya CCM ambayo JPM aliinadi ama?? Ilani Iliongelea hayo ya gesi kutumika majumbani sasa mnapinga nini hapo?Sikutarajia hoja nyeupe kama hii kutoka kwako mkuu.
Ccm ni kizazi cha ulaghai Sana.Unampa mwananchi mtungi wa gesi. Kesho kutwa hana hata pesa ya kujazia gasi huo mtungi ukiisha.
Kwa nini msikomae JNHP ikakamilika alafu umeme ukashuka bei na bidhaa kushuka bei na maisha mwananchi yakawa nafuu.
[emoji116]Huu ni ulaghai usiofaa. View attachment 2289171
Ndiyo maana nikaanza kwa kusema sikutegemea hoja nyeupe namna hii kutoka kwa mtu wa aina yako. Unadhani hoja ni Januari kusimamia ilani?Tujadili hoja, kosa la January ni lipi hapo? kusimamia Ilani ya CCM ambayo JPM aliinadi ama?? Ilani Iliongelea hayo ya gesi kutumika majumbani sasa mnapinga nini hapo?
Mbona hayo TPDC walishaongea kwamba wanampango wa kusambaza gesi majumbani kwa subsidized price!!Kuwahamamsiha watu watumie nishati mbadala siyo kwa maigizo hayo!
Punguza gharama za gesi na umeme uone kama kuna mtu atahangaika na kuni!
Hivi mbibi kama huyo hata nyumba yake yu unavyoiona anaweza kutoa 25 elfu kila mwezi ili akanunue gesi ya kupikia?
Ni uzwazwa,! Watu kibao wamepeleka maombi ya kuunganishiwa umeme wana miaka hata 2 hawapati huduma, gesi bei inapanda kila kukicha, sasa mwananchi gani wa kijijini ana uwezo wa kununua gesi kila mwezi?
Unapotaka kufanya promotion ya kitu lazima kuwepo na pre requisite kama market testing, feasibility studies n.k sasa kugawa mitungi Ili kuona response ya Wananchi ni kosa Gani?Ndiyo maana nikaanza kwa kusema sikutegemea hoja nyeupe namna hii kutoka kwa mtu wa aina yako. Unadhani hoja ni Januari kusimamia ilani?
Hiyo unayoita ilani ni wapi inasema utakelezaji wake ni 'kugawia' wananchi mitungi?
Halafu kadogoMtungi wa kijani, rangi ya chama.
Wewe jamaa bana 🤣🤣🤣Tujadili hoja, kosa la January ni lipi hapo? kusimamia Ilani ya CCM ambayo JPM aliinadi ama?? Ilani Iliongelea hayo ya gesi kutumika majumbani sasa mnapinga nini hapo?
Pesa za serikali zinatumiwa na CCM kuwagawia wanaccm wa Umoja wa Wanawake! Chama kimoja kimeshika hatamu, nchi hii inawenyewe na wenyewe ni CCM.Unampa mwananchi mtungi wa gesi. Kesho kutwa hana hata pesa ya kujazia gasi huo mtungi ukiisha.
Kwa nini msikomae JNHP ikakamilika alafu umeme ukashuka bei na bidhaa kushuka bei na maisha mwananchi yakawa nafuu.
👇Huu ni ulaghai usiofaa. View attachment 2289171