Alikosa swagg sasa kutia tia swagg kimtindo ndo yamemkuta hapo...🤣🤣🤣🤣Shida zaidi ni kuuliza maswali ya kiboya.
Umemuuliza wa nini?
Afadhali umeliona hilo[emoji2]Mkuu mshana hapa nimeteleza nimekosa mimi nimekosa sana
Hiyo inaitwa, "Mwana kulitafuta mwana kulipata".Wakuu usije kumuuliza mwanamke umekula ni kosa kubwa.
Nimeuliza umekunywa chai ? anataka nimtumie hela ya chai na vocha sijamjibu
Maendeleo hayana chama
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa si utume mkuu,ukitaka kujua na yeye kakufahamisha hajanywaaaaWakuu usije kumuuliza mwanamke umekula ni kosa kubwa.
Nimeuliza umekunywa chai ? anataka nimtumie hela ya chai na vocha sijamjibu
Maendeleo hayana chama
Hatarudia tena.Hiyo inaitwa, "Mwana kulitafuta mwana kulipata".
kutuma hatumi na bado anamsakama😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa si utume mkuu,ukitaka kujua na yeye kakufahamisha hajanywaaaa
Sasa Bepari la Kinyambo unashindwaje kumtumia elfu elfu 10 (elfu 5 ya supu/chai na elfu 2 ya vocha na ya kutokea) Kama unamcareWakuu usije kumuuliza mwanamke umekula ni kosa kubwa.
Nimeuliza umekunywa chai ? anataka nimtumie hela ya chai na vocha sijamjibu
Maendeleo hayana chama
Wee ulimaanisha nini kumwuliza hivyo.Wakuu usije kumuuliza mwanamke umekula ni kosa kubwa.
Nimeuliza umekunywa chai ? anataka nimtumie hela ya chai na vocha sijamjibu
Maendeleo hayana chama
Yaani Hii Sasa Ni Gubu🤣🤣🤣🤣kutuma hatumi na bado anamsakama😁😁😁🤣🤣🤣
HahaaaaaaAfadhali umeliona hilo[emoji2]
Mimi siku moja 2020 kabla ya kuingia mahakamani pale Kinondoni nikasema ngoja nipate staftahi kwenye mgahawa mmoja
Wakati naanza kunywa akaja bibi mzee kikongwe kabisa akaniomba jero, nikaona nisimpe hela bali chakula
Basi nikamuita mhudumu amhudumie, bibi akaenda kukaa meza ya mbali na mimi.. Nikamaliza chai yangu nikaelekea kaunta kulipa, nilikuwa na haraka hivyo nikaacha elfu kumi ili wakate na atakachokunywa bibi kisha nitapitia chenchi yangu
Nimemaliza mishe zangu napitia chenchi napewa 1500.. Kuuliza hesabu nikaambiwa mimi nilitumia 1500 na bibi alitumia 7000..!
Kumbe aliagiza roast maini 3000, chapati 2 1000, kisha akachukua take away supu ya ngo'mbe 3000.. Nikaambiwa ndio tabia yake hivyo nilipaswa kuweka wazi ahudumiwe nini.. Mimi ningejulia wapi yote hayo!? Nilikoma!
Yaani Hii Sasa Ni Gubu🤣🤣🤣🤣kutuma hatumi na bado anamsakama😁😁😁🤣🤣🤣
Ulikwama wapi sasa 😂Hatarudia tena.
Binadamu Mtakatifu aaah kumbe bora ningekupiga kizinga uliponiuliza kama nimekunywa chai.
Ndo wenzangu wanavyofanyaga kumbe.
bora angemuuliza kama amemiss boloShida zaidi ni kuuliza maswali ya kiboya.
Umemuuliza wa nini?