Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Mwana kulifind mwana kuliget 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama huyo mwanamke jina lake linaanziwa na M basi jua na mimi kaniletea chapati kama hizo.Ila maisha haya bana.
Wakati wee unalalamika.
Kuna Mwanamke Leo Kaniletea Chapati sijui kazipikaje jamaaan yaan zima nyama ,mayai, njegere na viungoungo na nichapati jamaan.
Nimezinywea na Chai safi nzito ya Maziwa !!.
Kisha baadae akaniuliza, "Et Baba , umezipenda, na kesho nikuleteee G?".
Uwiiiiiiiiii
WAKAT MNADATE A HUNGRY WOMAN.... WENZIO TUNABEMBELEZWA NA INDEPENDENT WOMAN ILI TUWE NAO KWA MAPENZI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hizi comment zinakuwaga za weekend tu.bora angemuuliza kama amemiss bolo
Nini..?Wewe Kenzy wewe
Ona huyu mwingine, mjinga kweli..Mkuu kama huyo mwanamke jina lake linaanziwa na M basi jua na mimi kaniletea chapati kama hizo.
Mimi kaniletea tatu sasa sijui wewe kakupa ngapi
Sijui wanachowaza.Ona huyu mwingine, mjinga kweli..
Nilimtokea kitambo ,akajifanya kuniletea habari nyingi..nikamtema.
Leo hata bila salamu anaanza meseji ya mzinga [emoji23]View attachment 2122747
Hatari sana Mkuu... Mwanamke mjanja akitaka kula hela yetu anakula vizuri tu lkn haya no Mawasiliano ... Umepata na shida, et ndo unikumbuke.Sijui wanachowaza.
Hamna stori ila mtu anapiga simu umnunulie umeme usiku wa saa sita
Mkuu Huyo Mwanamke Ni Cheap Sana Nini.Ona huyu mwingine, mjinga kweli..
Nilimtokea kitambo ,akajifanya kuniletea habari nyingi..nikamtema.
Leo hata bila salamu anaanza meseji ya mzinga [emoji23]View attachment 2122747
Si unaona hata mwandiko wake anajifanya yupo mbele ya muda.Mkuu Huyo Mwanamke Ni Cheap Sana Nini.
Maana Kuna Pisi Kwa Kweli Ni Ngumu Sana Kuzikazia Aisee.
Mwandiko Mwendo Kasi Kwa Alivyoandika Huyo Ni Muuzaji Kabisa.Si unaona hata mwandiko wake anajifanya yupo mbele ya muda.
Alafu kwakua anaona nilimkuta mahali 'Fulani'.Mwandiko Mwendo Kasi Kwa Alivyoandika Huyo Ni Muuzaji Kabisa.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Nipe namba yake ili mimi nimtumie hiyo hela ya chai na vocha.