Hizi nyimbo hizi,we wacha tu

Hizi nyimbo hizi,we wacha tu

tenor.gif
 
Wimbo wa mwagia ndani Ni balaa tupu, sijui yule mpuuzi aliwaza Nini ndo akaimba huo upumbavu
 
Yaani ukiyasikiliza maneno ,aafu kuna kamtoto kadogo kanakuuliza maana yake nini ?
halafu wala sserikali haina habari nazo. unajua ni kwa nini? hizi nyimbo hazigusi maslahi ya tabaka tawala. sasa ngoja atoe sijui roma au ney wa mitego utawona hao basata.
 
Kuna Ile wanasema.. ¶¶[emoji443]kulaanina [emoji445][emoji444]¶[emoji444]¶¶[emoji445]¶¶¶ [emoji444]
Hivi Ndo nini
Na Sasa hivi naskia Kuna nyingine huku inahasisha shisha.... Aloo kazi ipo
 
Back
Top Bottom