BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Sio mtu wa Imani sana ila nikiwa low napenda kusikiliza gospel songs Kuna namna Zina nilift juu napata afueni ya magumu nayopitia kihisia.
Kuna huu wimbo wa Bony Mwaitege-Soma ni wa muda ila nilikuwa nauchukulia poa kumbe bonge la inspirational song nimepata wasaa kusikiliza kwa makini umenigusa umenifanya nikumbuke wakati nasoma jinsi baba na mama walivyokuwa wanajitoa ili nisome.
Safi sana Bony Mwaitege kwa kazi nzuri.
Kuna huu wimbo wa Bony Mwaitege-Soma ni wa muda ila nilikuwa nauchukulia poa kumbe bonge la inspirational song nimepata wasaa kusikiliza kwa makini umenigusa umenifanya nikumbuke wakati nasoma jinsi baba na mama walivyokuwa wanajitoa ili nisome.
Safi sana Bony Mwaitege kwa kazi nzuri.