HIZI NYIMBO(za maombolezo) ZITAISHI MILELE

Suala kila baada ya sentensi alitaja jina Paul Walker...akitaja jina haiwezi tumika kwenye msiba wa Rajabu mbagala huo ni mwimbo wa General once haja hastag jina...nachozungumzia nyimbo alizoimbiwa Magu ni Magu tu hauwezi kwenye msiba wa Rajabu Mahala ukaweka wimbo unaimba umejenga balabala u see what am deliver...Kama ujaelewa wewe ni takataka
 
Demarco-Fallen Soldiers
T.O.K-Foot Print

Ni za moto kwa nje
 
Wcb na washamba wengine wajitathimin sana
Kwa huu ushamba ...Manyimbo mabaya Kama Nn
 
Je alizungumziwa Abdul Bonge humo

Je alizungumziwa uyo Paulo humo

Je alizungumziwa humo uyo Mwanawe


Huna ubongo una makamasi
unaleta ubishi wa kijinga,
kwenye kazi yake mola ya madee imetajwa familia nzima ya akina tale pamoja na waombolezaji wake, na ile ngoma ilikuw special kwa familia tuh ,

Kwa GK wimbo una story nzima
Paul worker πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
huwe unasikiliza nyimbo kabla hujudandia mada
 
hahah wewe jamaa unamatitizo
kwa hiyo wimbo ukibeba jina la mhusika ndio haufai kwa wengine,
kwa hiyo vaileti ya matonya au Salome ya diamond haifai kumuimbia demu wangu.

Point ni kwamba kazi ikiwa bora hta ukimuimbia Gadafi kwa utunzi mzuri itaishi tuh
 
Hiyo ya GK alimwimbia jamaa wa Kwanza Unit aliyefariki
 
Yah nadhani sisi wote ni wapenda mziki mzuri so tuenjoy mziki mzuri na sio kwa kukashifiana. Nyimbo za kifo zinaishi haswa zile zisizo mtaja mtu moja kwa moja. Mfano Kifo wa Rayvanny ni mzuri ila amemuimbia Magufuli moja kwa moja so ukipigwa kwenye msiba say wa Mengi haitapendeza kivile.

Nyimbo alizotaja mtoa mada nyingi waliimbiwa watu ila ni general sio specific ingawa kuna watu wanatajwa lakini kiaina sana sio moja kwa moja mfano wimbo wa kazi yake mola wa Madee aliimbiwa Abdul Bonge na ule wimbo wa Tutakukumbuka wa GK aliimbiwa jamaa wa Kwanza Unit ila walitajwa kidogo na maudhui ya nyimbo yalikuwa general.

Ushauri kwa wasanii wetu: Ukiimba nyimbo ya kifo jaribu kuifanya iwe general na sio specific kwa mtu fulani. Siku hizi wasanii wanaimba na technology inawabeba sana wanamuziki, watupe vitu bora vinavyoishi

Bonus truck
Sikilizeni wimbo wa Nas f/ Quan - Just a moment
 
Sikutaka nichangie tena hii mada maana wapumbavu wamejaa hata uwaelekeze wanashikilia upumbavu wao.

Hii ndio hoja yangu akiimbiwa magu lazima utaona vitu specific daraja, miundombinu, umoja sasa maudhui haya yanaweza tumika kwa kilamtu.

watu wanaandika kama wanakamasi kichwani
 
baada ya quote mbili hapo juu nakujibiwa hovyo hovyo sikurudi hapa. Walo comment humu wengi na mleta mada Ni aina ya watu wasio kubali mawazo na mitazamo mipya. Walilonalo kichwani ndio Hilo Hilo milele yao Yote.
WASIPOELEWA NA HAPA
 
I'll Be missing You by Puff Dady (1997)

aliitoa kwa ajili ya notorious BIG rip
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…