Hizi pangua pangua za Rais Samia kwa wateule wake kila uchao zote zina maslahi kwa taifa au kuna flip-flops?

Hizi pangua pangua za Rais Samia kwa wateule wake kila uchao zote zina maslahi kwa taifa au kuna flip-flops?

Wanabodi

Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa ambazo huwa na maswali yakifuatiwa na hoja halafu jibu utatoa wewe mwenyewe. Swali la leo ni kuhusu hizi panga pangua au pangua pangua za Rais Samia kwa wateule wake kila uchao, je zote zina maslahi kwa Taifa au kuna pangua pangua nyingine ni Flip-flops hazina maslahi kwa taifa?.

Naomba kuanza na Angalizo.
Kwa mujibu wa katiba yetu presidential appointment powers ni fully discretionary powers of the appointing authority at his/her pleasure na teuzi hizi hazihojiwi na yeyote, hivyo naomba hili bandiko lisihesabiwe kuwa ni kuhoji mamlaka ya rais katika uteuzi.

Hili ni bandiko la kuangazia kama hizi panga pangua za Rais Samia za kuteua, kutengua, kutumbua na kuhamisha kila uchao, je zote zina maslahi kwa taifa?, na jinsi zilivyo nyingi, na kufanyika kwa muda mfupi mfupi, inawezekana kukawa na watendaji wazuri wanatumbuliwa au kuhamishwa na kuletwa watendaji wa viwango vya chini?.

Naamini hakuna ubaya wowote kumpongeza Rais Samia kwa uteuzi wa watendaji wazuri, majembe kazi, na pia sio vibaya kuwaangazia baadhi ya wateule ambao performance zao ni sub standard, hivyo mabandiko tunduizi kama haya yakajikuta yanamsaidia Rais Samia kama performance appraisal ya awali kwa baadhi ya wateule wake, wale wazuri wawe rewarded kwa uzuri wao na wale wabovu wawe treated accordingly.

Na kufuatia uelewa mdogo wa Katiba yetu kwa walio wengi, wanadhani Rais wa JMT atashauriwa na wale wasaidizi wake na washauri wake rasmi pekee!. No!.

Kwa mujibu wa katiba Rais wa JMT ni mtumishi wetu sisi wananchi ndio waajiri wake. Sisi wananchi ndio wenye nchi na ndio wenye katiba, Rais wa JMT ni mtumishi wetu sisi tumemuajiri kwa kura zetu, na tunamlipa mshahara wake (tena tax free) kwa kodi zetu as privileges wakati tukisisitiza kila mtu alipe kodi. Hili niliwahi kulishauri Kuepuka Double Standards ya Kodi, Nashauri Rais Uongezwe Mshahara, Ili Alipe Kodi, Wote Tulipe Kodi! hivyo sisi wananchi wa kawaida kabisa wa Tanzania, tunaweza kumshauri Rais wetu jambo lolote, ila hatuwezi kumlazimisha kupokea ushauri wetu kwasababu kwa mujibu wa Katiba yetu, Rais wa JMT ni an executive president, anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote lakini kwenye kufikia maamuzi, Rais atafikia maamuzi yeye kama yeye na hapaswi kufuata ushauri wa yeyote!.

Sasa kwa vile Rais wetu anafikia maamuzi ya mwisho yeye kama yeye, na yeye pia ni binadamu na sio malaika, kibinaadamu anaweza kukosea, hivyo pale ambapo tunapaona hapajakaa vizuri, sio vibaya kupaangazia na kutoa ushauri, na hakuna ubaya Rais wetu akisikiliza ushauri wa wananchi wa kawaida tukiwemo sisi wana jf kwasababu tayari Rais Samia ameisha onyesha kuwa yeye ni Rais msikivu Mnyonge Mnyongeni Haki yake Mpeni, Rais Samia ni Msikivu, Apewe Maua Yake! Vipi Serikali Yake, Bunge na Mahakama, Ni Wasikivu? Kama Sio Inamanisha... na
kuna uwezekano hao washauri wake rasmi baadhi yao wanamuogopa, Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..? sisi wananchi wa kawaida, hatupaswi kumuogopa rais, tunapaswa kumheshimu ndio maana watu kama sisi tunapokutana na Rais wetu, tunampiga tuu maswali yoyote kama hapa
View: https://youtu.be/kws2YUVqNq0?si=86Z4Lyd9UVXV2Cko na hapa
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=mOGUZE6vfppl03kr
Na sio na Rais wetu tuu, hata marais majirani zetu
View: https://youtu.be/VS3dGmNY1XQ?si=otyjzZ5p2aNGvNyE

Tukirudi kwenye hizi panga pangua au pangua pangua za Rais Samia, kila kukitokea panga pangua nzuri zenye maslahi kwa taifa, huwa tunapongeza kama hivi Asante Rais Samia Kutuletea Prof. Kabudi Pale Sheria, Ni Best Brain, High IQ.na Bingwa wa Katiba. Je Atakuwa Mkweli Ubatili wa Katiba na Sheria au?. na hivi Uteuzi wa Prof Kabudi Mara ya 3 Sheria, Japo Umefanywa na Binadamu tuu, Una Roho wa Mungu!. Je Prof Kabudi Atatimiza Mapenzi ya Mungu au ya Binadamu? na hivi Asante Rais Samia Kumteua Prof. Assad, ni Mkweli, Atakusaidia Sana Kukuambia Ukweli, Tatizo Viongozi Wengi Hawapendi Kuambiwa Ukweli, Je Uko Tayari?.

Na kunapotokea pangua pangua ambazo watu wazuri, weledi wanatumbuliwa kimya kimya, huwa tunajiuliza kama hivi Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani? na kujiuliza kama Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Kuna watu wazuri wameteuliwa na kuperfom vizuri kama Jerry Slaa pale Ardhi mara ghafla ametolewa, au Paul Makonda pale kwenye uenezi akaanza kufanya wonders... mara katolewa, aliyeletwa is no match!.

Hii maana yake ama kuna washauri ama wanamshauri rais wetu erratically au kama ni uamuzi wake yeye rais mwenyewe then be it kwasababu she is a human being.

Ushauri: The Best Way Forward.
1. Kazi ya panga pangua iendelee mpaka tupate watu sahihi kote.
2. Katika panga pangua, ikitokea mtu ana perform vizuri na ana deliver kama Jerry Slaa pale Ardhi, asipanguliwe kwa haraka, na akipanguliwa iwe ni kupelekwa mahali pa juu zaidi panapostahili utendaji mahiri. Kumtoa Jerry Slaa pale Ardhi kutuletea huku kwenye habari is like a waste!.
3. Rais Samia endelee kutengeneze a Professional Cabinet, Wizara Professional kama sheria ziongozwe na Mwanasheria nguli, Wizara ya Afya iongozwe na Daktari bingwa, Wizara ya Fedha iongozwe na mchumi, Wizara ya Biashara iongozwe na mfanyabiashara etc.
4. Good performers waliondolewa kama Jerry Slaa Ardhi na Makonda uenezi, warejeshwe, na ikitokea ni lazima watoke, then the replacement ifananie na sio unamtoa mtu mzuri na kuleta flip-flops.
5. Wasaidizi wa Rais Samia kazi yao sio kumsifu Mama anaupiga mwingi, bali kumsaidia rais wetu kuwahudumia wananchi kwa kumshauri ushauri wa ukweli, wasio na uwezo wa kusaidia rais kwa ushauri wa ukweli wakae tuu pembeni na kuendelea kusifu wakiwa nje, watupishe tulete more able people ambao watasaidia na wata deliver.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali

Uliisha ambiwa pangua pangua ni mbwembwe za madaraka, au hukuelewa?
 
Naamini hao mawaziri wanakuwa na JD zao pamoja na KPI's zao, bosi wako anawapa target na kuwapima Kila baada ya muda tuseme kila robo mwaka wakishindwa kuperform bosi anazohatua zakuchukua pia.

Inapaswa kuwe na team ya vetting na team ya kumuinterview kila mtu anayeteuliwa kuwa Waziri, Rais mwenyewe anapaswa kuwa kwenye team ya interview au iwe kama Kenya hao mawaziri wanafanyainterview na team then wanakwenda bungeni interview inaendeshwa live wote tunaona.
 
Mkuu ruaharuaha , if this being the case, then we have a problem!. Kwa vile hakutolewi sababu zozote za kuwaondoa hao good performers, then I can't rule out hii hoja ya inferiority complex, ila mimi nilipo mfanyia appraisal hii Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” akiwa VP, hii IC haikuonekana ila kuna theory ya get the power tukuone rangi zako halisi!. Hoja za inferiority complex niliwahi kuziandikia humu Psychoanalysis: Superiority Complex ni Dalili ya Inferiority Complex!. Maneno Mafupi Vitendo Virefu.
P
Muhimu kuwe na confirmation hearing. Hapo wabunge/ kamati maalum wanapitia CV za waliopendekezwa( vetting)wanauliza maswali kwanini wanafikiri watazimudu hizo nafasi, kuangalia maadili, uadilifu wao na utendaji wao kote walipopitia hadi hapo walipo, elimu zao na kuuliza maswali popote kwenye utata na kuwapa nafasi ya kujitetea. either wanakubaliwa au wanakataliwa kutokana na hii serious vetting.

Hali ilivyo sasa ni kutoheshimu Watanzania, Wizara husika, wateuliwa wote na majukumu yao, kazi zao, utu wao na ni dharau kwa Taifa kwa ujumla hasa ukizingatia huwa hatoi sababu yoyote ya maamuzi yake.

Ina reflect vibaya sana kwenye mamlaka ya uteuzi kwamba they have no ideas what they are doing, hawana vigezo, systematic approach, due dilligence, serious vetting. Seriousness on the part of mteuzi na hayuko serious kwenye majukumu yake muhimu kama teuzi sahihi.
 
Wanabodi

Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa ambazo huwa na maswali yakifuatiwa na hoja halafu jibu utatoa wewe mwenyewe. Swali la leo ni kuhusu hizi panga pangua au pangua pangua za Rais Samia kwa wateule wake kila uchao, je zote zina maslahi kwa Taifa au kuna pangua pangua nyingine ni Flip-flops hazina maslahi kwa taifa?.

Naomba kuanza na Angalizo.
Kwa mujibu wa katiba yetu presidential appointment powers ni fully discretionary powers of the appointing authority at his/her pleasure na teuzi hizi hazihojiwi na yeyote, hivyo naomba hili bandiko lisihesabiwe kuwa ni kuhoji mamlaka ya rais katika uteuzi.

Hili ni bandiko la kuangazia kama hizi panga pangua za Rais Samia za kuteua, kutengua, kutumbua na kuhamisha kila uchao, je zote zina maslahi kwa taifa?, na jinsi zilivyo nyingi, na kufanyika kwa muda mfupi mfupi, inawezekana kukawa na watendaji wazuri wanatumbuliwa au kuhamishwa na kuletwa watendaji wa viwango vya chini?.

Naamini hakuna ubaya wowote kumpongeza Rais Samia kwa uteuzi wa watendaji wazuri, majembe kazi, na pia sio vibaya kuwaangazia baadhi ya wateule ambao performance zao ni sub standard, hivyo mabandiko tunduizi kama haya yakajikuta yanamsaidia Rais Samia kama performance appraisal ya awali kwa baadhi ya wateule wake, wale wazuri wawe rewarded kwa uzuri wao na wale wabovu wawe treated accordingly.

Na kufuatia uelewa mdogo wa Katiba yetu kwa walio wengi, wanadhani Rais wa JMT atashauriwa na wale wasaidizi wake na washauri wake rasmi pekee!. No!.

Kwa mujibu wa katiba Rais wa JMT ni mtumishi wetu sisi wananchi ndio waajiri wake. Sisi wananchi ndio wenye nchi na ndio wenye katiba, Rais wa JMT ni mtumishi wetu sisi tumemuajiri kwa kura zetu, na tunamlipa mshahara wake (tena tax free) kwa kodi zetu as privileges wakati tukisisitiza kila mtu alipe kodi. Hili niliwahi kulishauri Kuepuka Double Standards ya Kodi, Nashauri Rais Uongezwe Mshahara, Ili Alipe Kodi, Wote Tulipe Kodi! hivyo sisi wananchi wa kawaida kabisa wa Tanzania, tunaweza kumshauri Rais wetu jambo lolote, ila hatuwezi kumlazimisha kupokea ushauri wetu kwasababu kwa mujibu wa Katiba yetu, Rais wa JMT ni an executive president, anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote lakini kwenye kufikia maamuzi, Rais atafikia maamuzi yeye kama yeye na hapaswi kufuata ushauri wa yeyote!.

Sasa kwa vile Rais wetu anafikia maamuzi ya mwisho yeye kama yeye, na yeye pia ni binadamu na sio malaika, kibinaadamu anaweza kukosea, hivyo pale ambapo tunapaona hapajakaa vizuri, sio vibaya kupaangazia na kutoa ushauri, na hakuna ubaya Rais wetu akisikiliza ushauri wa wananchi wa kawaida tukiwemo sisi wana jf kwasababu tayari Rais Samia ameisha onyesha kuwa yeye ni Rais msikivu Mnyonge Mnyongeni Haki yake Mpeni, Rais Samia ni Msikivu, Apewe Maua Yake! Vipi Serikali Yake, Bunge na Mahakama, Ni Wasikivu? Kama Sio Inamanisha... na
kuna uwezekano hao washauri wake rasmi baadhi yao wanamuogopa, Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..? sisi wananchi wa kawaida, hatupaswi kumuogopa rais, tunapaswa kumheshimu ndio maana watu kama sisi tunapokutana na Rais wetu, tunampiga tuu maswali yoyote kama hapa
View: https://youtu.be/kws2YUVqNq0?si=86Z4Lyd9UVXV2Cko na hapa
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=mOGUZE6vfppl03kr
Na sio na Rais wetu tuu, hata marais majirani zetu
View: https://youtu.be/VS3dGmNY1XQ?si=otyjzZ5p2aNGvNyE

Tukirudi kwenye hizi panga pangua au pangua pangua za Rais Samia, kila kukitokea panga pangua nzuri zenye maslahi kwa taifa, huwa tunapongeza kama hivi Asante Rais Samia Kutuletea Prof. Kabudi Pale Sheria, Ni Best Brain, High IQ.na Bingwa wa Katiba. Je Atakuwa Mkweli Ubatili wa Katiba na Sheria au?. na hivi Uteuzi wa Prof Kabudi Mara ya 3 Sheria, Japo Umefanywa na Binadamu tuu, Una Roho wa Mungu!. Je Prof Kabudi Atatimiza Mapenzi ya Mungu au ya Binadamu? na hivi Asante Rais Samia Kumteua Prof. Assad, ni Mkweli, Atakusaidia Sana Kukuambia Ukweli, Tatizo Viongozi Wengi Hawapendi Kuambiwa Ukweli, Je Uko Tayari?.

Na kunapotokea pangua pangua ambazo watu wazuri, weledi wanatumbuliwa kimya kimya, huwa tunajiuliza kama hivi Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani? na kujiuliza kama Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Kuna watu wazuri wameteuliwa na kuperfom vizuri kama Jerry Slaa pale Ardhi mara ghafla ametolewa, au Paul Makonda pale kwenye uenezi akaanza kufanya wonders... mara katolewa, aliyeletwa is no match!.

Hii maana yake ama kuna washauri ama wanamshauri rais wetu erratically au kama ni uamuzi wake yeye rais mwenyewe then be it kwasababu she is a human being.

Ushauri: The Best Way Forward.
1. Kazi ya panga pangua iendelee mpaka tupate watu sahihi kote.
2. Katika panga pangua, ikitokea mtu ana perform vizuri na ana deliver kama Jerry Slaa pale Ardhi, asipanguliwe kwa haraka, na akipanguliwa iwe ni kupelekwa mahali pa juu zaidi panapostahili utendaji mahiri. Kumtoa Jerry Slaa pale Ardhi kutuletea huku kwenye habari is like a waste!.
3. Rais Samia endelee kutengeneze a Professional Cabinet, Wizara Professional kama sheria ziongozwe na Mwanasheria nguli, Wizara ya Afya iongozwe na Daktari bingwa, Wizara ya Fedha iongozwe na mchumi, Wizara ya Biashara iongozwe na mfanyabiashara etc.
4. Good performers waliondolewa kama Jerry Slaa Ardhi na Makonda uenezi, warejeshwe, na ikitokea ni lazima watoke, then the replacement ifananie na sio unamtoa mtu mzuri na kuleta flip-flops.
5. Wasaidizi wa Rais Samia kazi yao sio kumsifu Mama anaupiga mwingi, bali kumsaidia rais wetu kuwahudumia wananchi kwa kumshauri ushauri wa ukweli, wasio na uwezo wa kusaidia rais kwa ushauri wa ukweli wakae tuu pembeni na kuendelea kusifu wakiwa nje, watupishe tulete more able people ambao watasaidia na wata deliver.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali

Rais alifanya makosa mapema kabisa baada ya kukabidhiwa madaraka akaanza kupambana na teuzi za Magufuli akawarudisha wahuni waliokataliwa na Magufuli ili aonekane yeye ni mwema sana kwao na kuwaondoa wachapa kazi walioteuliwa na Magufuli. Leo tunaona anaanza kuwarudisha wale aliowatumbua na badala yake anawaondoa wahuni japo bado kuna wahuni wawili (Mwigulu na Bashe), akiwaondoa hao kidooogo tutaanza kuwaelewa, hao bado kawakumbatia.
 
Wanabodi

Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa ambazo huwa na maswali yakifuatiwa na hoja halafu jibu utatoa wewe mwenyewe. Swali la leo ni kuhusu hizi panga pangua au pangua pangua za Rais Samia kwa wateule wake kila uchao, je zote zina maslahi kwa Taifa au kuna pangua pangua nyingine ni Flip-flops hazina maslahi kwa taifa?.

Naomba kuanza na Angalizo.
Kwa mujibu wa katiba yetu presidential appointment powers ni fully discretionary powers of the appointing authority at his/her pleasure na teuzi hizi hazihojiwi na yeyote, hivyo naomba hili bandiko lisihesabiwe kuwa ni kuhoji mamlaka ya rais katika uteuzi.

Hili ni bandiko la kuangazia kama hizi panga pangua za Rais Samia za kuteua, kutengua, kutumbua na kuhamisha kila uchao, je zote zina maslahi kwa taifa?, na jinsi zilivyo nyingi, na kufanyika kwa muda mfupi mfupi, inawezekana kukawa na watendaji wazuri wanatumbuliwa au kuhamishwa na kuletwa watendaji wa viwango vya chini?.

Naamini hakuna ubaya wowote kumpongeza Rais Samia kwa uteuzi wa watendaji wazuri, majembe kazi, na pia sio vibaya kuwaangazia baadhi ya wateule ambao performance zao ni sub standard, hivyo mabandiko tunduizi kama haya yakajikuta yanamsaidia Rais Samia kama performance appraisal ya awali kwa baadhi ya wateule wake, wale wazuri wawe rewarded kwa uzuri wao na wale wabovu wawe treated accordingly.

Na kufuatia uelewa mdogo wa Katiba yetu kwa walio wengi, wanadhani Rais wa JMT atashauriwa na wale wasaidizi wake na washauri wake rasmi pekee!. No!.

Kwa mujibu wa katiba Rais wa JMT ni mtumishi wetu sisi wananchi ndio waajiri wake. Sisi wananchi ndio wenye nchi na ndio wenye katiba, Rais wa JMT ni mtumishi wetu sisi tumemuajiri kwa kura zetu, na tunamlipa mshahara wake (tena tax free) kwa kodi zetu as privileges wakati tukisisitiza kila mtu alipe kodi. Hili niliwahi kulishauri Kuepuka Double Standards ya Kodi, Nashauri Rais Uongezwe Mshahara, Ili Alipe Kodi, Wote Tulipe Kodi! hivyo sisi wananchi wa kawaida kabisa wa Tanzania, tunaweza kumshauri Rais wetu jambo lolote, ila hatuwezi kumlazimisha kupokea ushauri wetu kwasababu kwa mujibu wa Katiba yetu, Rais wa JMT ni an executive president, anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote lakini kwenye kufikia maamuzi, Rais atafikia maamuzi yeye kama yeye na hapaswi kufuata ushauri wa yeyote!.

Sasa kwa vile Rais wetu anafikia maamuzi ya mwisho yeye kama yeye, na yeye pia ni binadamu na sio malaika, kibinaadamu anaweza kukosea, hivyo pale ambapo tunapaona hapajakaa vizuri, sio vibaya kupaangazia na kutoa ushauri, na hakuna ubaya Rais wetu akisikiliza ushauri wa wananchi wa kawaida tukiwemo sisi wana jf kwasababu tayari Rais Samia ameisha onyesha kuwa yeye ni Rais msikivu Mnyonge Mnyongeni Haki yake Mpeni, Rais Samia ni Msikivu, Apewe Maua Yake! Vipi Serikali Yake, Bunge na Mahakama, Ni Wasikivu? Kama Sio Inamanisha... na
kuna uwezekano hao washauri wake rasmi baadhi yao wanamuogopa, Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..? sisi wananchi wa kawaida, hatupaswi kumuogopa rais, tunapaswa kumheshimu ndio maana watu kama sisi tunapokutana na Rais wetu, tunampiga tuu maswali yoyote kama hapa
View: https://youtu.be/kws2YUVqNq0?si=86Z4Lyd9UVXV2Cko na hapa
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=mOGUZE6vfppl03kr
Na sio na Rais wetu tuu, hata marais majirani zetu
View: https://youtu.be/VS3dGmNY1XQ?si=otyjzZ5p2aNGvNyE

Tukirudi kwenye hizi panga pangua au pangua pangua za Rais Samia, kila kukitokea panga pangua nzuri zenye maslahi kwa taifa, huwa tunapongeza kama hivi Asante Rais Samia Kutuletea Prof. Kabudi Pale Sheria, Ni Best Brain, High IQ.na Bingwa wa Katiba. Je Atakuwa Mkweli Ubatili wa Katiba na Sheria au?. na hivi Uteuzi wa Prof Kabudi Mara ya 3 Sheria, Japo Umefanywa na Binadamu tuu, Una Roho wa Mungu!. Je Prof Kabudi Atatimiza Mapenzi ya Mungu au ya Binadamu? na hivi Asante Rais Samia Kumteua Prof. Assad, ni Mkweli, Atakusaidia Sana Kukuambia Ukweli, Tatizo Viongozi Wengi Hawapendi Kuambiwa Ukweli, Je Uko Tayari?.

Na kunapotokea pangua pangua ambazo watu wazuri, weledi wanatumbuliwa kimya kimya, huwa tunajiuliza kama hivi Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani? na kujiuliza kama Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Kuna watu wazuri wameteuliwa na kuperfom vizuri kama Jerry Slaa pale Ardhi mara ghafla ametolewa, au Paul Makonda pale kwenye uenezi akaanza kufanya wonders... mara katolewa, aliyeletwa is no match!.

Hii maana yake ama kuna washauri ama wanamshauri rais wetu erratically au kama ni uamuzi wake yeye rais mwenyewe then be it kwasababu she is a human being.

Ushauri: The Best Way Forward.
1. Kazi ya panga pangua iendelee mpaka tupate watu sahihi kote.
2. Katika panga pangua, ikitokea mtu ana perform vizuri na ana deliver kama Jerry Slaa pale Ardhi, asipanguliwe kwa haraka, na akipanguliwa iwe ni kupelekwa mahali pa juu zaidi panapostahili utendaji mahiri. Kumtoa Jerry Slaa pale Ardhi kutuletea huku kwenye habari is like a waste!.
3. Rais Samia endelee kutengeneze a Professional Cabinet, Wizara Professional kama sheria ziongozwe na Mwanasheria nguli, Wizara ya Afya iongozwe na Daktari bingwa, Wizara ya Fedha iongozwe na mchumi, Wizara ya Biashara iongozwe na mfanyabiashara etc.
4. Good performers waliondolewa kama Jerry Slaa Ardhi na Makonda uenezi, warejeshwe, na ikitokea ni lazima watoke, then the replacement ifananie na sio unamtoa mtu mzuri na kuleta flip-flops.
5. Wasaidizi wa Rais Samia kazi yao sio kumsifu Mama anaupiga mwingi, bali kumsaidia rais wetu kuwahudumia wananchi kwa kumshauri ushauri wa ukweli, wasio na uwezo wa kusaidia rais kwa ushauri wa ukweli wakae tuu pembeni na kuendelea kusifu wakiwa nje, watupishe tulete more able people ambao watasaidia na wata deliver.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali

Sisemi mengi, ila itoshe tu kusema kwamba Hayati JPM alikuwa bonge la Rais.
Itatuchukua miaka mingi sana kama nchi kuja kumpata mwingine kama yeye.
 
 
Ina reflect vibaya sana kwenye mamlaka ya uteuzi kwamba they have no ideas what they are doing, hawana vigezo, systematic approach, due diligence, serious vetting. Seriousness on the part of mteuzi na hayuko serious kwenye majukumu yake muhimu kama teuzi sahihi.
Naunga mkono hoja, hili pia niliwahi kuliuzia humu Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?
P
 
Tija itatoka wapi wakati yeye anaamini kuwa wateule wake ni kama suti, kwamba anaweza kuwabadili apendavyo kutegemea na shughuli.
Miaka mitatu madarakani bado hajajua anataka nini.
 
Wanabodi

Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa ambazo huwa na maswali yakifuatiwa na hoja halafu jibu utatoa wewe mwenyewe. Swali la leo ni kuhusu hizi panga pangua au pangua pangua za Rais Samia kwa wateule wake kila uchao, je zote zina maslahi kwa Taifa au kuna pangua pangua nyingine ni Flip-flops hazina maslahi kwa taifa?.

Naomba kuanza na Angalizo.
Kwa mujibu wa katiba yetu presidential appointment powers ni fully discretionary powers of the appointing authority at his/her pleasure na teuzi hizi hazihojiwi na yeyote, hivyo naomba hili bandiko lisihesabiwe kuwa ni kuhoji mamlaka ya rais katika uteuzi.

Hili ni bandiko la kuangazia kama hizi panga pangua za Rais Samia za kuteua, kutengua, kutumbua na kuhamisha kila uchao, je zote zina maslahi kwa taifa?, na jinsi zilivyo nyingi, na kufanyika kwa muda mfupi mfupi, inawezekana kukawa na watendaji wazuri wanatumbuliwa au kuhamishwa na kuletwa watendaji wa viwango vya chini?.

Naamini hakuna ubaya wowote kumpongeza Rais Samia kwa uteuzi wa watendaji wazuri, majembe kazi, na pia sio vibaya kuwaangazia baadhi ya wateule ambao performance zao ni sub standard, hivyo mabandiko tunduizi kama haya yakajikuta yanamsaidia Rais Samia kama performance appraisal ya awali kwa baadhi ya wateule wake, wale wazuri wawe rewarded kwa uzuri wao na wale wabovu wawe treated accordingly.

Na kufuatia uelewa mdogo wa Katiba yetu kwa walio wengi, wanadhani Rais wa JMT atashauriwa na wale wasaidizi wake na washauri wake rasmi pekee!. No!, akina sisi pia tunashauri shauri Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?

Kwa mujibu wa katiba Rais wa JMT ni mtumishi wetu sisi wananchi ndio waajiri wake. Sisi wananchi ndio wenye nchi na ndio wenye katiba, Rais wa JMT ni mtumishi wetu sisi tumemuajiri kwa kura zetu, na tunamlipa mshahara wake (tena tax free) kwa kodi zetu as privileges wakati tukisisitiza kila mtu alipe kodi. Hili niliwahi kulishauri Kuepuka Double Standards ya Kodi, Nashauri Rais Uongezwe Mshahara, Ili Alipe Kodi, Wote Tulipe Kodi! hivyo sisi wananchi wa kawaida kabisa wa Tanzania, tunaweza kumshauri Rais wetu jambo lolote, ila hatuwezi kumlazimisha kupokea ushauri wetu kwasababu kwa mujibu wa Katiba yetu, Rais wa JMT ni an executive president, anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote lakini kwenye kufikia maamuzi, Rais atafikia maamuzi yeye kama yeye na hapaswi kufuata ushauri wa yeyote!.

Sasa kwa vile Rais wetu anafikia maamuzi ya mwisho yeye kama yeye, na yeye pia ni binadamu na sio malaika, kibinaadamu anaweza kukosea, hivyo pale ambapo tunapaona hapajakaa vizuri, sio vibaya kupaangazia na kutoa ushauri, na hakuna ubaya Rais wetu akisikiliza ushauri wa wananchi wa kawaida tukiwemo sisi wana jf kwasababu tayari Rais Samia ameisha onyesha kuwa yeye ni Rais msikivu Mnyonge Mnyongeni Haki yake Mpeni, Rais Samia ni Msikivu, Apewe Maua Yake! Vipi Serikali Yake, Bunge na Mahakama, Ni Wasikivu? Kama Sio Inamanisha... na
kuna uwezekano hao washauri wake rasmi baadhi yao wanamuogopa, Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..? sisi wananchi wa kawaida, hatupaswi kumuogopa rais, tunapaswa kumheshimu ndio maana watu kama sisi tunapokutana na Rais wetu, tunampiga tuu maswali yoyote kama hapa
View: https://youtu.be/kws2YUVqNq0?si=86Z4Lyd9UVXV2Cko na hapa
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=mOGUZE6vfppl03kr
Na sio na Rais wetu tuu, hata marais majirani zetu
View: https://youtu.be/VS3dGmNY1XQ?si=otyjzZ5p2aNGvNyE

Tukirudi kwenye hizi panga pangua au pangua pangua za Rais Samia, kila kukitokea panga pangua nzuri zenye maslahi kwa taifa, huwa tunapongeza kama hivi Asante Rais Samia Kutuletea Prof. Kabudi Pale Sheria, Ni Best Brain, High IQ.na Bingwa wa Katiba. Je Atakuwa Mkweli Ubatili wa Katiba na Sheria au?. na hivi Uteuzi wa Prof Kabudi Mara ya 3 Sheria, Japo Umefanywa na Binadamu tuu, Una Roho wa Mungu!. Je Prof Kabudi Atatimiza Mapenzi ya Mungu au ya Binadamu? na hivi Asante Rais Samia Kumteua Prof. Assad, ni Mkweli, Atakusaidia Sana Kukuambia Ukweli, Tatizo Viongozi Wengi Hawapendi Kuambiwa Ukweli, Je Uko Tayari?.

Na kunapotokea pangua pangua ambazo watu wazuri, weledi wanatumbuliwa kimya kimya, huwa tunajiuliza kama hivi Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani? na kujiuliza kama Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Kuna watu wazuri wameteuliwa na kuperfom vizuri kama Jerry Slaa pale Ardhi mara ghafla ametolewa, au Paul Makonda pale kwenye uenezi akaanza kufanya wonders... mara katolewa, aliyeletwa is no match!.

Hii maana yake ama kuna washauri ama wanamshauri rais wetu erratically au kama ni uamuzi wake yeye rais mwenyewe then be it kwasababu she is a human being.

Ushauri: The Best Way Forward.
1. Kazi ya panga pangua iendelee mpaka tupate watu sahihi kote.

2. Katika panga pangua, ikitokea mtu ana perform vizuri na ana deliver kama Jerry Slaa pale Ardhi, asipanguliwe kwa haraka, na akipanguliwa iwe ni kupelekwa mahali pa juu zaidi panapostahili utendaji mahiri. Kumtoa Jerry Slaa pale Ardhi kutuletea huku kwenye habari is like a waste!.

3. Rais Samia endelee kutengeneze a Professional Cabinet, Wizara Professional kama sheria ziongozwe na Mwanasheria nguli, Wizara ya Afya iongozwe na Daktari bingwa, Wizara ya Fedha iongozwe na mchumi, Wizara ya Biashara iongozwe na mfanyabiashara etc.

4. Good performers waliondolewa kama Jerry Slaa Ardhi na Makonda uenezi, warejeshwe, na ikitokea ni lazima watoke, then the replacement ifananie na sio unamtoa mtu mzuri na kuleta flip-flops.

5. Wasaidizi wa Rais Samia kazi yao sio kumsifu Mama anaupiga mwingi, bali kumsaidia rais wetu kuwahudumia wananchi kwa kumshauri ushauri wa ukweli, wasio na uwezo wa kusaidia rais kwa ushauri wa ukweli wakae tuu pembeni na kuendelea kusifu wakiwa nje, watupishe tulete more able people ambao watasaidia na wata deliver.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali

P pangua pangua ni kwa maslahi ya taifa,hizo ndio hutoa nafasi kwa watu mbalimbali ikiwa ni pamoja naP.
 
Ina reflect vibaya sana kwenye mamlaka ya uteuzi kwamba they have no ideas what they are doing, hawana vigezo, systematic approach, due dilligence, serious vetting. Seriousness on the part of mteuzi na hayuko serious kwenye majukumu yake muhimu kama teuzi sahihi.
Mkuu Rua, ruaharuaha , naunga mkono hoja, jambo kama hili niliwahi kuuliza Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?
P
 
Rais Samia endelee kutengeneze a Professional Cabinet, Wizara Professional kama sheria ziongozwe na Mwanasheria nguli, Wizara ya Afya iongozwe na Daktari bingwa, Wizara ya Fedha iongozwe na mchumi, Wizara ya Biashara iongozwe na mfanyabiashara etc.
Hili ndiyo la muhimu
 
Hili ni bandiko la kuangazia kama hizi panga pangua za Rais Samia za kuteua, kutengua, kutumbua na kuhamisha kila uchao, je zote zina maslahi kwa taifa?, na jinsi zilivyo nyingi, na kufanyika kwa muda mfupi mfupi, inawezekana kukawa na watendaji wazuri wanatumbuliwa au kuhamishwa na kuletwa watendaji wa viwango vya chini?.
p
Salaam Wakuu,

Nasikitikia Nchi yangu Tanzania. Nadhani na hii ndo sabababu hatuendelei.

Suzani Kaganda aliteuliwa kuwa Commissioner for Administration and Human Resources of Police badala ya kuwa IGP. Ameenda amefanya kazi nzuri, amefunga Mirija yote. Polisi wastaafu walikuwa wanasikilizwa kwa adamu.
View attachment 3172259
Kuna Polisi walikuwa wanajaza mafuta ya Polisi kwenye daladala zao ikaisha.

Polisi migogoro ilikuwa imeisha. Leo hii baada ya kupewa cheo cha IGP ili Jeshi la Polisi likae Vizuri eti wanamuondoa na kumpa ubalozi. Kwa hatua hii Mafisadi wanashangilia kwamba hayimaye tumemuweza.
View attachment 3172266
Rais Samia ana majukumu mengi ndo maana hawezi fanya kila kitu bali ana wasaidizi wa kutosha. Wasaidizi wa rais wamwmdanganya.

Suzan Kaganda bado damu Mbichi. Bado alitakiwa aendelee kutumikia wanyonge wa Nchi hii. Ubalozi wape wazee wa Nchi hii. Ni kweli Rais hakosei la anaweza kuteleza.

Hata ubalozi ni jambo jema. Lakini sisi Wanyonge unayunyang'anya Kaganda, pale Polisi pataingilika?

Tutaanza kuulizwa una appointment? Yupo kwenye Kikao, acha namba ya simu atakupigia.

Kwanini mnapenda kuona Walala hoi tunateseka? Kosa letu nini?
View attachment 3172267
Kwanini Kaganda ameondolewa TPF? Kwanini?

Suzani kaganda ni mwanamama muadirifu, msomi, mwenyekupenda haki, mwenye kuona sheria inaheshimiwa, mwenye kuhitaji kufahamu wajibu wako katika kazi, ukipita alipopita, unasema Mungu asante kwa kuturetea viongozi hawa.

Rais Samia, suzana sina shaka

Camillus Mongoso Wambura ndo alitakiwa apewe Ubalozi huko Syria au Kuwait. Sababu kiuhalisia kashindwa kwenda na kasi ya Watekaji.

Unamtoa Kaganda?🤔🤔🤔

Nani alimshauri Rais hivi? Washauri wengine wanataka kumdhalilisha Rais kumbe🤔
View attachment 3172268
naunga mkono hoja
P
 
Hapa namzungumzia zaidi Professor Palamagamba Kabudi. Huyu nguli wa sheria amekuwa ni mtu wa kuteuliwa na kutenguliwa au kuhamishwa na kurudishwa alikotoka na kuhamishwa tena kwenda kwingineko.

Professor aliteuliwa kuwa waziri wa sheria kabla ya kuhamishwa na kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje ya nchi. Baadaye Professor Kabudi aliachwa na kuondolewa kwenye baraza la mawaziri kabla ya kuja kurudishwa hvi majuzi tu kuwa waziri wa sheria na katiba.

Sasa ameondolewa wizara ya sheria ambayo ndio fani yake kitaaluma na amepelekwa wizara ya habari na utamaduni.

Tulifikiri amerudishwa mahali pake kumbe sio hivyo, nani anajua prof atahamishiwa wizara gani mwakani?

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Kwa maoni yangu teuzi za namna hii zinasema mengi ikiwa na pamoja na wafanya teuzi kutojua kwanini wanamteua mtu flani, kukosa mipango mkakati, kukurupuka au hata kutothamini heshima ya mtu.

Kama mtu anafaa, anafaa, kama hafai, hafai.

Nawashauri wateuliwa wa nchi hii sio lazima ukubali uteuzi kila wakati, unaweza pia kukataa.
Naunga mkono hoja。
niliuliza humu Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?
kisha nikauliza Hizi pangua pangua za Rais Samia kwa wateule wake kila uchao zote zina maslahi kwa taifa au kuna flip-flops ?.
kisha nikashauri Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
 
Wanabodi

Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa ambazo huwa na maswali yakifuatiwa na hoja halafu jibu utatoa wewe mwenyewe. Swali la leo ni kuhusu hizi panga pangua au pangua pangua za Rais Samia kwa wateule wake kila uchao, je zote zina maslahi kwa Taifa au kuna pangua pangua nyingine ni Flip-flops hazina maslahi kwa taifa?.

Naomba kuanza na Angalizo.
Kwa mujibu wa katiba yetu presidential appointment powers ni fully discretionary powers of the appointing authority at his/her pleasure na teuzi hizi hazihojiwi na yeyote, hivyo naomba hili bandiko lisihesabiwe kuwa ni kuhoji mamlaka ya rais katika uteuzi.

Hili ni bandiko la kuangazia kama hizi panga pangua za Rais Samia za kuteua, kutengua, kutumbua na kuhamisha kila uchao, je zote zina maslahi kwa taifa?, na jinsi zilivyo nyingi, na kufanyika kwa muda mfupi mfupi, inawezekana kukawa na watendaji wazuri wanatumbuliwa au kuhamishwa na kuletwa watendaji wa viwango vya chini?.

Naamini hakuna ubaya wowote kumpongeza Rais Samia kwa uteuzi wa watendaji wazuri, majembe kazi, na pia sio vibaya kuwaangazia baadhi ya wateule ambao performance zao ni sub standard, hivyo mabandiko tunduizi kama haya yakajikuta yanamsaidia Rais Samia kama performance appraisal ya awali kwa baadhi ya wateule wake, wale wazuri wawe rewarded kwa uzuri wao na wale wabovu wawe treated accordingly.

Na kufuatia uelewa mdogo wa Katiba yetu kwa walio wengi, wanadhani Rais wa JMT atashauriwa na wale wasaidizi wake na washauri wake rasmi pekee!. No!, akina sisi pia tunashauri shauri Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?

Kwa mujibu wa katiba Rais wa JMT ni mtumishi wetu sisi wananchi ndio waajiri wake. Sisi wananchi ndio wenye nchi na ndio wenye katiba, Rais wa JMT ni mtumishi wetu sisi tumemuajiri kwa kura zetu, na tunamlipa mshahara wake (tena tax free) kwa kodi zetu as privileges wakati tukisisitiza kila mtu alipe kodi. Hili niliwahi kulishauri Kuepuka Double Standards ya Kodi, Nashauri Rais Uongezwe Mshahara, Ili Alipe Kodi, Wote Tulipe Kodi! hivyo sisi wananchi wa kawaida kabisa wa Tanzania, tunaweza kumshauri Rais wetu jambo lolote, ila hatuwezi kumlazimisha kupokea ushauri wetu kwasababu kwa mujibu wa Katiba yetu, Rais wa JMT ni an executive president, anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote lakini kwenye kufikia maamuzi, Rais atafikia maamuzi yeye kama yeye na hapaswi kufuata ushauri wa yeyote!.

Sasa kwa vile Rais wetu anafikia maamuzi ya mwisho yeye kama yeye, na yeye pia ni binadamu na sio malaika, kibinaadamu anaweza kukosea, hivyo pale ambapo tunapaona hapajakaa vizuri, sio vibaya kupaangazia na kutoa ushauri, na hakuna ubaya Rais wetu akisikiliza ushauri wa wananchi wa kawaida tukiwemo sisi wana jf kwasababu tayari Rais Samia ameisha onyesha kuwa yeye ni Rais msikivu Mnyonge Mnyongeni Haki yake Mpeni, Rais Samia ni Msikivu, Apewe Maua Yake! Vipi Serikali Yake, Bunge na Mahakama, Ni Wasikivu? Kama Sio Inamanisha... na
kuna uwezekano hao washauri wake rasmi baadhi yao wanamuogopa, Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..? sisi wananchi wa kawaida, hatupaswi kumuogopa rais, tunapaswa kumheshimu ndio maana watu kama sisi tunapokutana na Rais wetu, tunampiga tuu maswali yoyote kama hapa
View: https://youtu.be/kws2YUVqNq0?si=86Z4Lyd9UVXV2Cko na hapa
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=mOGUZE6vfppl03kr
Na sio na Rais wetu tuu, hata marais majirani zetu
View: https://youtu.be/VS3dGmNY1XQ?si=otyjzZ5p2aNGvNyE

Tukirudi kwenye hizi panga pangua au pangua pangua za Rais Samia, kila kukitokea panga pangua nzuri zenye maslahi kwa taifa, huwa tunapongeza kama hivi Asante Rais Samia Kutuletea Prof. Kabudi Pale Sheria, Ni Best Brain, High IQ.na Bingwa wa Katiba. Je Atakuwa Mkweli Ubatili wa Katiba na Sheria au?. na hivi Uteuzi wa Prof Kabudi Mara ya 3 Sheria, Japo Umefanywa na Binadamu tuu, Una Roho wa Mungu!. Je Prof Kabudi Atatimiza Mapenzi ya Mungu au ya Binadamu? na hivi Asante Rais Samia Kumteua Prof. Assad, ni Mkweli, Atakusaidia Sana Kukuambia Ukweli, Tatizo Viongozi Wengi Hawapendi Kuambiwa Ukweli, Je Uko Tayari?.

Na kunapotokea pangua pangua ambazo watu wazuri, weledi wanatumbuliwa kimya kimya, huwa tunajiuliza kama hivi Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani? na kujiuliza kama Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Kuna watu wazuri wameteuliwa na kuperfom vizuri kama Jerry Slaa pale Ardhi mara ghafla ametolewa, au Paul Makonda pale kwenye uenezi akaanza kufanya wonders... mara katolewa, aliyeletwa is no match!.

Hii maana yake ama kuna washauri ama wanamshauri rais wetu erratically au kama ni uamuzi wake yeye rais mwenyewe then be it kwasababu she is a human being.

Ushauri: The Best Way Forward.
1. Kazi ya panga pangua iendelee mpaka tupate watu sahihi kote.

2. Katika panga pangua, ikitokea mtu ana perform vizuri na ana deliver kama Jerry Slaa pale Ardhi, asipanguliwe kwa haraka, na akipanguliwa iwe ni kupelekwa mahali pa juu zaidi panapostahili utendaji mahiri. Kumtoa Jerry Slaa pale Ardhi kutuletea huku kwenye habari is like a waste!.

3. Rais Samia endelee kutengeneze a Professional Cabinet, Wizara Professional kama sheria ziongozwe na Mwanasheria nguli, Wizara ya Afya iongozwe na Daktari bingwa, Wizara ya Fedha iongozwe na mchumi, Wizara ya Biashara iongozwe na mfanyabiashara etc.

4. Good performers waliondolewa kama Jerry Slaa Ardhi na Makonda uenezi, warejeshwe, na ikitokea ni lazima watoke, then the replacement ifananie na sio unamtoa mtu mzuri na kuleta flip-flops.

5. Wasaidizi wa Rais Samia kazi yao sio kumsifu Mama anaupiga mwingi, bali kumsaidia rais wetu kuwahudumia wananchi kwa kumshauri ushauri wa ukweli, wasio na uwezo wa kusaidia rais kwa ushauri wa ukweli wakae tuu pembeni na kuendelea kusifu wakiwa nje, watupishe tulete more able people ambao watasaidia na wata deliver.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali

Wanaoteuliwa wamepwaya hivyo Rais inabidi ateuteu ili muda uende maana watu ni walewale. Hii inaonyesha hitaji la haraka la KATIBA MPYA ili kuwepo na utaratibu mpana wa namna ya kupata Viongozi wa kuteuliwa na wa kuchaguliwa.
 
Kwa sasa sifa kuu ya uteuzi na hata ajira Serikalini ni UCHAWA. Hakuna cha vetting process wala sifa ya Elimu. Ndiyo maana utendaji ni hafifu katika maeneo mengi Serikalini.
 
Wanabodi,

Zawadi yangu kwa Birthday ya Mama nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,

Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.

Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!

HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.

If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.


Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.

Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
HBD Rais Samia!.
P
 
Back
Top Bottom